The Chant of Savant

Sunday 31 January 2016

Kijiwe chastukia Escrow Mjengoni


            Baada ya Jobless Nduguy kutangaza vifaa vyake vitakavyotumika kutubamiza mkenge Mjengoni, Kijiwe kimestuka na kuamua kutoa tamko kama taasisi inayoheshimika sana Kayani kikionya kuhusu muendelezo wa ujembuzi na ujambazimbuzi.
            Baada ya kuweka gazeti mezani, Mpemba leo ndiye analianzisha. Anabwia kahawa yake na kung’ata kashata na kumwaga pwenti.
            “Jamani mmeona njama za Chama Cha Maulaji (CCM) kuendelea kutubamiza nkege kwa kuwapa ulaji watuhumiwa wakubwa wa Escrew? Inatisha na kusikitisha kiasi cha kuanza kunfanya nistukie hata huu utumbuaji wa majipu wakati mabusha yakidekezwa wallahi,” analalamika Mpemba.
            Kapende anadaka mic, “Mimi tangu alipochaguliwa huyu Jobless Nduguy imani na Mjengo ilitoweka. Sioni tofauti ya Jobless na yule manzi kidhabi aliyepachikwa na mafisadi baada ya Mjengo kuonyesha unaweza kung’ata. Kama tofauti ipo basi ni jinsia zao lakini si zaidi ya hapo.”
            Baada ya Kapende kumwaga pwenti, Msomi Mkatatamaa anakula mic. Kabla ya kutoa ya moyoni anachukua gazeti na kuonyesha kichwa cha habari kisomekacho, “‘Vigogo kashfa ya Escrew’ kuongoza Kamati za Mjengo.” Anaweka gazeti pembeni ambako linanyakuliwa na Mchunguliaji. Anasema, “Mwanzoni niliposoma kuwa Daktari Kanywaji kamteua Sossie Muongo sikuamini. Kwanza, nilidhani ni uongo. Baada ya kugundua ni kweli nikamvuita pumzi. Sasa hili la kuteua waescrow waje watuumize limenimaliza kabisa ukiachia kuondoa imani yangu na haya mazingaombwe na sanaa vinavyoendelea. Hivi kweli mzee wa Joni Chenga aka mzee wa Vijisenti au Bill Ngereza ukiachia mbali Hawa wana Ghasia anayetuhumiwa kuwa nyuma ya wizi wa UdA wana nini cha kutoa zaidi ya kuendeleza libeneke hata kwa kuanzisha Escrew nyingine?”
            Kabla ya kuendelea, Mbwamwitu anachomekea, “Kumbe wewe hujui! Hawa licha ya kulindana na kupeana ulaji, wanakatiana.”
            Kabla ya kuendelea Mgosi Machungi ananyakua mic na kuzoza, “Hebu tiambie tieewe. Wanakatiana nini hawa na nani anamkatia nani?”
            Msomi anajibu, “Wanakatiana wao kwa wao. Wapo wanaomkatia Nduguy ambaye naye anao anaowakatia. Hapa ni kukatiana kila kitu au vipi.” Msomi huwa si mtu wa utani. Hii ya leo mpya na inaacha kijiwe hakina mbavu kutokana alivyowaunganisha katika kukatiana huku ambako kimsingi ni balaa kwa Kaya.
            Mipawa anaamua kutia buti, “Mie wote wangechaguliwa kusingekuwa na shobo. Lakini kuteuliwa kwa hawa ngosha wawili na Hawa wana Ghasia hata Mery Nyago kumeniumiza sana. Kwani lazima wakatiane wao au ni ile roho mbaya kama siyo kulinda ufisadi wao?”
            Mijjinga aliyekuwa anamaliza kuongea na bi Mkubwa wake anayeonekana kuwa na ugomvi, anakwanyua mic na kuzoza, “Hapa hakuna chamabadiliko na kama yapo ni ya kuelekea kulekule tulikotaka kutoka.  Hata hivyo, tusisahau kuwa hii ni CCM bwana. Hamuoni vifaa kama Mzito Kabwela vilivyotupwa nje. Kama Nduguy angetaka kutenda haki, tulitegemea vifaa kama Joni Munyika, Saed Kube na Halima Mndee viwemo uone ambavyo mafisadi wangejinohino kwenye nguo zao. Sasa jamaa yangu Muongo anatesa na kuchelea.”
            “Hapa bila shaka waliofanya uteuzi siyo Nduguy. Nadhani ni akina Singasinga na Jimmy Rugemalayer ambao kimsingi ndiyo Escrew yenyewe,” anachomekea Kapende.
            Mheshimiwa Bwege hajivungi. Anakula mic, “Kumbe hamjui! Escrew siyo hawa gendaeka wa kinshomile na kigabacholi. Hawa wanatumiwa na wazito wenyewe akiwemo Njaa Kaya na Ben Tunituni wenyewe. Hata Dk Kanywaji pamoja na mbwembwe zake, hana ubavu wa kuigusa Escrew. Ataonea vibaka wa bandarini lakini hatawagusa majambazi papa wa Escrew. Hata hivyo, tunapaswa kufahamu kuwa nyani wote ni wale wale tena kwenye mstitu ule ule. Tutegemee nini?”
            Sofia Lion aka Kanungaembe anakwanyua mic, “Tangu wavunje nyumba ya mjomba wangu wala sina hamu nao wala cha kutumaini toka kwao. Wanapeana ulaji huku wakiwaacha wanyonge wakinyongeka bila kujali. Hili nalo ni balaa jingine kwetu walalahoi. Sijui nani atatupigania iwapo mambo yenyewe ni haya?”
            Msomi anarejea tena, “Kuna haja ya kuangalia chanzo cha tatizo ambacho –nionavyo mimi –ni mfumo mzima ambao unahitaji kufumuliwa na kusukwa upya. Na bila kuhanikiza kurejea mchakato wa Katiba ya wanakaya, yote tufanyayo ni kutwanga maji kwenye kinu. Wataendelea kutuibia huku wakikatiana kama ilivyojidhihirisha kwenye sanaa hizi za Nduguy. Huwezi kurejesha wezi watupu na gendaeka wabovu ukategemea mabadiliko wala maendeleo. Tuatendelea katika kutokuendelea huku walaji na mafisadi wetu wakijiridhisha na kutuhadaa kuwa wameleta maendeleo wakati wanachofanya ni maanguko matupu.” Kabla ya kuendelea kirongaronga chake kililia hivyo akaamua kupokea simu na kuchonga kidogo.
            Kanji kuona hivyo kapata upenyo. Anabwia mic, “Sasa kama nakata katana hivi, si wataumiza vatu dogo ya chini jamani? Sasa ile zee ya jisenti nakwisa iba juuku nyingi wanaongezea laji ya nini kama siyo chezo chafu nyuma ya pazia?”
            Kijiwe kikiwa kinashika kasi si lakapita shumbwengu la Nduguy. Acha tulimwagie kahawa ya moto!
Chanzo: Tanzania Daima Januari 31, 2016.

Magufuli still has more boils to clean


            When President Joni Kanywaji Mugful dealt a blow to some ambassadors who were just hanging out abroad, those who know the whole scandal started smiling waiting for yet more to be done. Nonetheless, there are still many boils that need to be cleaned. So, too, there are many big and chronic lymphatic filarariasis tka or aka mabusha that need to be sanitized.  When it comes to satisfaction, there are some who are happy about what Dr. Mugful’s been doing. To the contrary however, there others who think that much need to be done. For example, they see many boils in various public offices. They say that all District Commissioners (DC), Ambassadors and Regional Commissioners (RC), judges, chairs in various ulaji boards who were appointed just because they were connected to the power that appointed them are but boils.
            Apart from boils which are a lesser disease, there’s lymphatic filararias tka mabusha which is caused by infected mosquitoes. Don’t confuse it with loa loa filarariasis. Scientifically speaking, lymphatic filarariasis in point is caused by greed, myopia, selfishness, heartlessness and above all, corruption and lack of patriotism. Lymphatic filararias we’re talking about here is like Escrow, EPA, UDA, Richmond, Buzwagi and other mega scams that swallow billions of dosh. The other day I heard IpTL bumbling goons trying to bully the House saying that it has no wherewithal to deliberate on it as if it is not a crime that needs to be taken on from all fronts. Where does IpTL get the guts to rant and rave at honourable MPs in the first place? Is IpTL a government within the government of Dr. Mugful? Is it because some of its architects were retained recently?  Hopefully, Dr. Mugful will see the light the same he did when he recalled A Liar Kim Maswimaswi recently. Obviously, my friend Muongo will soon follow suit.
            Apart from mabusha like Escrow and others, there are some boils in many public officers. I, sometimes, wonder how Po MCkonda who terrorized mzee Jose Waryuba former PM, AG and chair of CRC, can still be in office. So, too, it sickens me to find that the DC Mihingy Rweyependekeza who was used to tarnish some reputable presidential candidates in 2005 is still in the office doing simian business. I think, all DCs and RCs that were appointed after losing in parliamentary elections must be recalled back urgently. Also, there are incompetent RCs who were speedily promoted from being DCs. These, too, must pack and go not to forget judges whom MP Tundu Lissu accused of maladroitness and venality for those who were in private business before being appointed favorably. No stone will be left unturned. Mugful I know is impatient with boils. Refer to how he stopped hangers-on who used to rob our dosh funding their trips abroad. Nowadays I see many hangs-on who used to accompany Vasco da Gama around heads down. Mugful abolished foreign trips and other preposterous practices.  Boozers were overjoyed when they heard that Dr. Mugful axed some hangers-on abroad. They’re waiting other boils in our embassies in Canada, the DRC, Mozambique, China, Russia, Washington DC, and elsewhere to be brought home so that they can be cleaned. The other day the little bird told me that there were retirees abroad who are still being paid for just doing nothing. Furthermore, boozers are waiting to see all bigwigs’ kids that litter our embassies to be purged mercilessly. Our hunk was rotten before Mugful burst into the scene.
            Importantly, Dr. Mugful must make sure that all earthlings touched by any scandal such as escrow, forgery and whatnot are purged. I know two whom he retained. One is connected with escrow and another is allegedly to have forged his academic credentials. I think my friends Muongo and Bill Luku-vii know what I mean hither.
                        Given that boozers were asked to volunteer information that will lead to nabbing some culprits, let me volunteer info.  There are other bushas such as UdA which is in partnership with DRT whose top was axed recently. For those who know how UdA was grabbed, they wonder why Dr. Mugful’s been patient with it. Additionally, boozers still wonder why bogus contract involving bogus investors are still safe and sound at this time Dr. Tumbua Busha is at work. Is he buying time or what? When it comes to drug barons, I have hollered about this and now my throat is burning. Again, I’ll never stop bellowing so that Dr. Mugful can hear my cry and do the needful.
            Suffice it to say, we need a healthy hunk free of majipu and mabusha. Let me go and clean my ganja busha before cleaning my bottle of swallow. Hopefully, Dr. Kanywaji will also clean another bush, the Chama cha Maulaji which grabbed many plots in the hunk not to forget SUkiTA scam.
Source: Guardian Jan., 31, 2016.

Tuesday 26 January 2016

WEF Does Not Add Value to Africa


Every year, government and business leaders congregate in Davos Switzerland to discuss business under the so-called World Economic Forum (WEF).  Many African leaders like to also go there to beg and court some investors. They spend much money and time travelling and staying in luxurious hotel in Davos.  What do African countries get from this business symposium apart from being dined and wined by business people who end up getting good deals from them which are however bad deals to their people?
            Tanzania’s former presidents, Benjamin Mkapa and Jakaya Kikwete liked to attend these summits but their participation yielded little in investment. President John Magufuli is hard pressed to declare some of the investment agreements null and void and craft new ones that’ll benefit Tanzanians.  The Davos policies favour investors; and are a contributing factor to why the gap between rich and poor countries is growing wider and wider. Arguably, multinational corporations have more power than politicians whom they dine and wine with. According to a recent Oxfam Report, “The world’s 62 richest billionaires have as much wealth as the bottom half of the world's population.” This may show us how rich people become richer and richer sometimes at the expense of poor people especially where corruption, bad and poor governance are the norms.  
            In Tanzania, investors enjoy five-year-tax holiday. When the first five years of tax holiday come to an end, the same companies or bodies that enjoyed five years of trading without paying tax change their names; and get more five-year-tax holiday. When the famous Kilimanjaro hotel was privatized, it kept on changing names every five years. The same applies to another five-star hotel Sheraton all in downtown Dar es Salaam. They both kept on changing names every five years. After oiling the hands of politicians and other bigwigs in ministries responsible for business and investment, investors get carte blanche to operate in poor even rich countries as they please. They pay their workers low salaries compared to what they produce. Business people, especially in poor and corrupt countries, sometimes decide who should become president. They finance elections not to mention to manipulate the whole corrupt political system. 
            In Kenya, during Moi’s corrupt regime, for example, businessmen who happened to be con men and criminals such as Kamlesh Pattni who invented Goldenberg were treated with more respect than many politicians. Kamlesh was the government within a government.  Oxfam’s reports goes on saying that, “The top 62 saw their net worth rise by more half a trillion dollars between 2010 and 2015, while the 3.6 billion people in the bottom half of the heap lost a trillion dollars.” Where did this money go in this game chaperoned by globalization all aimed at benefiting Western countries at the detriment of poor countries that have never been treated equally and equitably in world markets and trades? 
            In 2013, in South Africa, the Gupta brothers poked a hole on President Jacob Zuma’s government after they used a military base to land their private jet that went to South Africa to deliver party goers from India.  Jeff Radebe, South African Justice Minister –in trying to cool down the anger at the time –was quoted by the Global Post as saying, “Our particular concern is that the aircraft was carrying international passengers who do not fit the category of government officials or VIPs on official duty.”  Since then, nobody has ever faced the music for compromising national security. Who would take on the president’s business partners that the Gupta brothers are? 
The Oxfam report has some recommendations on how to bridge the gap between the poor: pay workers a living wage, protect the workers ‘right to unionize; end the gender pay gap, promote equal inheritance and land rights for women; minimize the power of big business and lobbyists nongovernment’s; shift the tax burden away from labor and consumption and towards wealth and capital gains, and use public spending to tackle inequality.  Additionally, one may argue that bridging the gap between the poor and rich countries will never make any sense if all the obstacles Western and rich countries imposed on poor country in trade are not pulled down. So, too, there must be efforts and plans to address the colonial legacy.
            Suffice it to say, if Africans equip themselves with arguments to defend Africa's position vis-à-vis the current exploitative and unfair international trade regime, WEF would make sense. Africa doesn't need handouts but partnership in business and exchange of skills, technology and resources. Africa needs fair trade based on equality and equity but not horse-joker footing.
Source: African Executive Magazine, Jan., 27, 2016.

Sunday 24 January 2016

Congrats JK on being chancellor of University of Manzese


            Dear readership, I know you are wondering if I am intending to go back to teaching in the universities. Last week delved into education biz. And today I am doing the same. Sweat it not. I am trying to pave way for your kitegemezis to get an education that is worth.
            When President JPM appointed Jake Kiquette the Chancellor of the University of Manzese many eye brawls were raised. Those dissatisfied were many more than those sanctioning the appointment.
            The boozer was overjoyed. There are some logical reasons for the boozer to buy into this technical know who. Firstly, Kiquette is the fella who titivated our education system by appointing his pal J4 Majembe whom Dr. Kanywaji retained not just he is fit but for regional balance and J4 Kawadog.
            Secondly, JK is an educationist who likes to use honorary PhD as real, as if he toiled for it. Why should someone toil for a PhD while pay-up ones are always available from diploma mills? Why should one, especially the high and mighty suffer for a PhD while you can tip someone and offer you a PhD and still use it just like those who toiled for it? This shows how the dude values education to the extent that after his regime packed and jumped into the water, Prof Ndali had to go back to the drawing back. What success for JK who enacted Kata schools that his detractors like to call kataa schools thanks to their underperformance.
            Thirdly, JK is credited for having saved many people from torturing their heads in classrooms. He had a very simple solution. Invest in art and drag stuff and get your dosh and avoid destroying or torturing your medulla oblongata.
            Fourthly, knowing how reading destroys brain, through J4, Kiquette abolished the scores of books students used to read in secondary school. To simplify everything and making it spiffy, J4 decided that students should read a few books those in his fold or call it mtandao if not networks authored and published.  Interestingly, hither qualifications were not the quality of the books but that of who authored it based on technical know-who theory whereby every dosh must go to the members of the fold. For J4 and the power that cloned him benefiting friends even at the expenses of the sons and daughters of boozers was the right thing to do given that they enrolled theirs in the best schools abroad all catered and paid for by the pauperized tax cougher.
            Again, why would they bother while we’ve such wonderful international schools and so-and-so academics whose academic qualifications are nothing but fleecing gullible fat cats as it was recently unearthed that some schools are fleecing up to Tsh Madafu 60 million annually? Given that making dafus in Danganyika aka Bongolalaland is not a tussle after drug peddling was legalized, it was not something to sweat out.  Those who were gullible enough so as to not making dosh, must go hang. Au vipi?
            Knowing the importance of making dosh and paying for education, JK offered some holidays to fisadis, drug barons and thugs whose lists he had but didn’t like to take on them. He knew they needed dosh for footing the bills for their kids. More important, he appointed Kawadog to make things much easier for students to sail through without destroying their heads. Another additional strategy that Dr. JK invented along with ignoring drug pushers was tolerating forgerers.  Under his stewardship, forgery was not a crime that deserved to be deal with. He used to say raha jipe mwenyewe namely make yourself happy by all means even if it meant forging your academic credentials.
            Off-the-cuff comment: One naïve, but pragmatically smart, boozer left us in stitches. He said that JPM offered JKM chancellorship as lull to let him offer him Chama Cha Ulaji’s chairmanship that he needs to not leave any stone unturned. He went on saying that you can’t trap a fish without a bite. Knowing the type of the big fish approaching his nets after getting the baton, Mr. Boil Cleaner aka Mtumbua Jipu had to lull the fish into his traps. Again, we booed and scorned him so much that he ran away and since then he’s never seen at our swallowing joint.
            By the way, does it make sense to ask the pig how to become clean? Sometimes Swahili sage has it that if you want to spare the child. Entrust it or give it to the witch.  Congrats UM aka UDS on having JK as your chancellor. Please don’t look back at J4 Magembe and Shcool Kawadog’s eras. When JK teams up with the nshomile he appointed thanks to political connection, surely, the UM will perform miraculously. Warning, shall any undesired results happen, don’t blame me that I didn’t tell you. Kaa chonjo guys.
Source: Guardian, Jan.,24, 2016.

Biashara ya dini-Anonymous

Biashara ya dini imeaanza tangu zama za kale pale mwanadamu alipoaanza kujielewa kuwepo kwake hapa dunia na kuanza kujiuliza na kutafuta maana hiyo ya kuwepo hapa duniani.Tukiangalia kwa mapana zaidi maana ya dini kuanzia uchawi na makuhani wake,dini ya mababu na makuhani wake hatimae dini zinazojulikana za mbiguni au za ardhini na makuhani wake,tunakuta tu kwamba mfumo wote wa dini hizo za aina mbali mbali zimekuwa zenye kuanzisha biashara kubwa ya kidini tangu zama hizo hadi dunia itapokwisha.
Ukweli usiopingika ni kwamba dini ni biashara kubwa na mtaji wake ni uwongo unaopambwa na kuonekani ni kweli na wateja wake ni wale ambao hawana wakati wa kutafakari kuhusu biashara hiyo na kuwaachia makuhani wa dini hizo kutafakari kwa niaba yao na makuhani hao wamefanikiwa katika biashra hiyo baada ya kuwahakikishia na kuwakinaisha waumini wao kwamba wao kama makuhani wanauhusiano mkubwa sana na wakaribu sana na miungu yote ya dini hizo mbali mbali,na baada wateja hao kufikia imani hiyo wamejikuta wakiibiwa mchana kweupe ili hali wenyewe wakiridhika. kwa kutoa sadaka ambazo haziwafikii waungu wa dini hizo wala haziwahudumia wao kama ilivyokuwa inapaswa.
Jambo la kushangaza zaidi la makuhani wa dini zote hizo tangu zama hizo hadi hii leo ni kujisogeza kwao sana kwa watu wenye madaraka na nguvu za kiuchumi na kisiasa ujisogezaji ambao umewafanya wawe kitu kimoja katika kuwakandamiza wananchi wao kwa kutumia biashara hiyo ya dini.Wenzetu wa bara la ulaya katika karene ya 15 waliishitukia na hatimae waliikataa biashara hiyo baada ya kuwagunduwa makuhani hao ni mizigo isiobebeka tena katika jamii na kuiondoa biashara hiyo kabisa na waliokuwepo madarakani hawakuwasogeza tena makuhani hao karibu yao zaidi ya huduma zao ambazo zinachukuliwa ni kama huduma za kijamii tu ndani ya makanisa yao,hii ukiondoa nchi kama Marekani ambapo biashara hiyo ya kidini imkuwa ni kubwa mno lakini tofauti yao na sisi waafrika kwamba wanaoibiwa huko Marekani ni waumini wa kawaida ambao wametawaliwa na kuzongwa na maisha ya Mada(materialism) na hatimae hawana pa kukimbilia isipokuwa mikononi mwa makuhani hawa wa kidini.
Mwalimu Mhango,tatizo la kwetu Afrika au kwa nchi za ulimwengu wa tatu ni kwamba makuhani takriba wote wanajipendekeza kwa watawala kwa imani tu kwamba wakiwa karibu na watawala hao biashara yao itazidi kuwaletea faida ya kiuchumi,kuzidi kukubalika kwa jamii kubwa na kuzidisha haiba yao ya kidini na kijamii,Ilikuwa juu ya viongozi wetu wawaone tu kama ni wafanya biashara tu wa dini ambao wanataka kujitajirisha kupitia migongo yao,lakini kwa bahati mbaya viongozi wetu wengi wanajikuta wamekamatwa na makucha ya wafanya biashra hao kwa vile malezi yao ya awali ya kijamii hayatofautiani sana na wale waumini wa kawaida na hatimae wamejikuta na wao ni wateja wazuri tu kwa makuhani hao.
Mwalimu Mhango,ebu na tuuone ukweli huu kwamba dini ni uhusiano wa yule anaeamni,anachokiamini na anachokiabudu tunakuta tu kwamba ni uhusiano binafsi(private) ambao muumini huyo inabidi awe mwenye kujiamini na kuwa huru kuabudu anachokiabudu na kuomba anachokiabudu bila ya kuingiliwa na mtu mwingine katikati na kumuombea kwa niaba yake kwa hicho anachokiabudu kwa njia yyote ile anayoiona ni muwafaka,lakini inapotokea kuwapa makuhani haki ya kuwaombea wengine kwa niaba au kufikia mpaka ujasiri wa kuiombea Kaya au kumuombea mtawala awe Rais au Mfalme hapo sasa ndio utapeli wa wazi na wa hali ya juu ambao biashra hiyo ya dini inakuwa na mafanikio makubwa.
anaaamini kama wanavyoamini wanadamu wengine iweje leo tuwape makuhani hao haki ya kutuombea au kuombea Kaya?Je ni wapi walipopewa uhakika kwamba maombi yao yanakuwa na nguvu au uhakika au dhamana ya kujibiwa huko wanapo omba?Je kwa nini tuwape nguvu hiyo ya maombi makuhani hao kama si sisi wenyewe kuamini kwamba kumekuwa na makubaliano kati yao na hao miungu yao kwamba wakiomba hawatokataliwa maombi yao au na wao ni sehemu ya miungu hiyo ambayo inaishi na sisi duniani katika maumbile ya kibinadamu?
Naam,Mwalimu Mhango,umefafanunua vya kutosha na umehadharisha vya kutosha na msemo wako wa "uvivu wa kufikiri"ndio unaosababisha biashara hii ya kidini kuendelea kuwa kubwa na kuna mzsemo mwingine wa mababu zetu waliosema kwamba "wajinga ndio waliwao"na tuwaondolee wafanya biashra hii ya dini uvivu wa kufikiri inawezekana ikapatikana nafuu kubwa sana kama walivyo waobdelea watu wa bara la Ulaya wafanya biashara hawa.Je tutaweza kufanikiwa hilo katika jamii yetu ambayo mihimili yote ya Primitive Society bado inatutawala hata kama tunaishi katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia na wengine wetu tunamiliki shahada za juu za kielimu?
Chanzo: Anonymous

Friday 22 January 2016

Mlevi kuiambia -si kuiombea -kaya na ombaomba

            Baada ya kugundua na kushuhudia kuwa kuombea Kaya imekuwa fasheni ukiachia njia ya siri ya wahusika kujisogeza karibu na wenye ulaji na kuchangisha sadaka nyingi. Kwa mlevi huu ni mkenge ambao lisirikali na Kaya kwa ujumla vinapaswa kuuepuka kwa gharama zote.  Mbali na kuwasogeza wahusika karibu na wenye ulaji, mkenge huu husaidia kuwafanya wahusika kupata umaarufu kwa mgongo wa wanasiasa maarufu kama rais. Utakuta wengi wakitafuta nafasi adimu ya kupiga picha na wazito wa serikali kama vile rais –ambaye hata hivyo, haonyeshi kushabikia ujinga huu –mawaziri na wazito wengine wenye umaarufu ambao unaweza kuchotwa na makapuku ombaomba wasiojulikana. Hivyo, ni juu ya wahusika kupokea tahadhari hii toka kwa mlevi mwenyewe ambaye ameshastukia dili zima. Hii nayo ni aina ya ufisadi wa kimfumo inayoanza kujengeka. Nani kawambia kuwa Kaya tajiri kama vile Marekani, Japan na Uchina yameendelea kutokana na kuombewa zaidi ya kuchapa kazi kwa juhudi na maarifi huku uwajibikaji na kutenda haki vikiwekwa mbele?
 Tokana na mvuto wa maombi, si ajabu kusikia wafanya fujo wakiombea amani au wezi wakiombea haki.  Hapa dawa si kuomba au kufunga bali kuacha maovu.  Dawa si kuomba ni kuchapa kazi. Dawa ni kuwajibishana na kutendeana haki badala ya kuingizana mkenge. Wapo wanaoombea eti kuongezeka kwa joto, kuongezeka mafuriko, kuongezeka ubomoaji wa nyumba za mabondeni na mabalaa mengine yatokanayo na maumbile na shughuli za ngurumbili. Dawa hapa si kuomba bali kuacha kukata miti hovyo. Dawa mujarabu hapa ni kupanda miti na kutunga sheria zinazozuia uchafuzi wa mazingira utokanao na ufisadi na upogo na uwepo wa serikali mbovu kama iliyopita ambayo iliacha kila kitu kwenye autopilot.
Kesho utasikia wakiombea vijana waache kubwia madawa ya kulevya. Dawa hapa ni kuwakamata na kuwanyonga wauza unga. Mchezo huu hatari na mchafu hauishii hapa. Wapo wanaoomba kurejea kwa maadili mema. Hapa dawa si kuomba bali kupambana na uchafuzi wa maadili utokanao na ulimbukeni , miigizo, ujinga, unywanywa na ujinga. Badala ya kufungia magazeti yanayofichua maovu, fungieni magazeti ya udaku ambayo Mlevi hupenda kuyaita magazeti ya uchafu. Kwani, magazeti haya –licha ya kuuza na kusambaza ujinga na uchafuzi wa maadili sana –yamegeuza taifa letu kuwa taifa la wadaku, wambea na wapuuzi bila sababu. Nenda mkaone nchi za jirani. Hazina utitiri wa magazeti ya udaku kwa vile si mataifa ya wadaku na wapuuzi.  Yote fanyeni, msije kuingilia bangi na ulabu wetu. Hatuhitaji kuombewa tuache ulabu. Kwani Mwana wa Maria aliyegeuza maji kuwa mvinyo mnadhani alikuwa  njinga kama nyinyi siyo? Acha tujipigie ulabu na kututika mibangi. Kwani ndiyo nyenzo pekee tulizobaki nazo za kujiliwaza tokana na kunyonywa na kupigika kwa muda mrefu.
Wapo wanaombea hata wenye kesi kama zile za makontena bandarini ili serikali iwasahau wao na mali walizojilimbikiza. Hapa dawa ni kuiambia serikali kuwakamata, kuwafilisi na kuwanyonga. Dawa ni kufichua ajira za kujuana ambapo watoto wa vigogo wanajazwa kwenye sehemu nyeti kama Bandari, Viwanja vya ndege, Mipakani, Benki kuu, Uhamiaji, Biashara, Madini, Utalii, Mafuta na sehemu nyingine nyeti zenye ulaji wa haraka.
Mlevi yeye si bingwa wala muumini wa kuomba omba bali kusema sema hasa kuwapa vidoge wanaohitaji.
Siyo siri, tumegeuka taifa la ombaomba, wavivu na washirikina bila sababu. Huwezi kuombea amani ikawapo kama hakuna haki. Huwezi kuomba joto lipungue duniani wakati ukikata miti na kujenga kwenye vyanzo vya maji.
Huwezi kumwombea rais wakati hufuati falsafa yake ya “Hapa kazi tu”. Sidhani kama rais Kanywaji anaamini kama kuomba ni kazi zaidi ya kuchapa kazi na kuachana kuombaomba. Rais Dokta Kanywaji nakustua, unapaswa kuwastukia hawa ombaomba wa kiroho wenye uroho wa kutaka kukutumia kujitajirisha kwa njia ya kujifanyia mambo yao.  Inakuwaje hawa na njaa zao waingize kaya yetu kwenye udini wao? Lisirikali halina dini na halipaswi kuwa nayo. Hivyo, halipaswi kuombewa bali kuambiwa litende haki kwa ngurumbili wote wa kaya hii ya Danganyika.  Kaya yetu hahihitaji kuombewa. Wanaombewa maiti si walio hai. Kama kuomba ni dili basi kila mtu aombe kivyake na kwa imani yake. Kwanini mtulazimishe kufuata dini zetu hasa sisi ambao dini zetu ni kanywaji na si hizo zenu za kimamboleo?
            Tumalizie kwa kumnukuu Bwana mkubwa Mwana wa Adamu aliyesema, “Waache wafu wazike wafu wenzao,” (Mathayo 8:22-23). Hata profesa Paulo alisema kuwa asiyefanya kazi asile.  Kwani hakujua nguvu ya maombi kama ingekuwapo kweli?
Nami profesa Ayatolah, Daktari, Ustaadh Mlevi wa Mvuta bangi nasema tena kwa kinywa kipana, “Waache ombaomba wawaombee ombaomba wenzao lakini si kaya yetu.”
Chanzo: Nipashe, Januari 23, 2016.

Tuesday 19 January 2016

Kijiwe chamtahadharisha Dk Kanywaji na Makapi


            Baada ya kushuhudia baadhi ya waadhirika waliokuwa na majivuno na kiburi enzi zao wakienda kwa rahis Dokta Kanywaji Makufuli kuhiji, kupiga soga, kupoza hasira na wengine kusaka kibarua, Kijiwe kimeamua kutoa tahadhari kwake.
            Mgosi Machungi kama kawa yake anaamua kulianzisha kwa maaamiko. 
Anakula mic, “Wagosi muiona akina Njaa Kaya, Ben Makapi aka Big Ben wakienda ikuu kutaka kumuhaibia ais wetu kiboko ya wavivu, wezi na mafisadi huku wakitaka eti awape kazi wamhaibie? Sijui wenzangu mliitakaitafakai hii vipi. Hebu tip you anaisis.”
            Kapende anakamua mic, “Unaongelea hawa gendaeka waliovuruga wakavuliwa nguo na nguvu ya ajabu ya Dokta Kanywaji kiasi cha kutaka kujifanya wanamkubali na kumheshimu ili wawe karibu naye wapenyeze fitina zao asiendelee kuwazidi ujiko siyo? Kama unaongelea hawa wala usiwe na wasi wasi. Dk Kanywaji amekaa nao na anawafahamu sana na fitina zao ukiachia mbali wivu wa kike na uvivu wa kufikiri.”
            “Hebu tuwe serious jamani. Hivi Ben na uzee na uzito ule anaweza kufanya kazi gani ya maana kama siyo kutafuta ulaji? Je anayo rekodi ya kufanya kazi nzuri au anataka kumharibia mwenzake baada ya kuona anaanza kufichua madhambi yao?” anazoza Mijjinga huku akiweka tai yake vizuri.
            Msomi Mkatatamaa anaamua kutua, “Mimi sishangai. Unadhani Mungu akitaka kumuumbua au kumuadhibu mjivuni anafanya nini zaidi ya kumpa ujasiri wa kujivua nguo? Huyu Big Ben Tunituni Makapi ana lipi jipya wakati ndiye alitubinafsisha na kutunyakulia Kiwila yetu? Kimsingi wanachofanya hawa gendaeka ni kuendelea kujivua nguo na kutaka kupunguza aibu inayowapata baada ya Dk mwenzangu kuwaonyesha namna ya kutumia kichwa badala ya makalio.”
            Mheshimiwa Bwege anaamua kukatua mic, “Ama kweli wahenga walinena kuwa nyani haoni ninihini lake! Sikutegemea mijitu hasa hii miwili Tunituni Big Ben na Njaa Kaya kama wangekwenda kujivua nguo zaidi. Kwanza, si heshima kwa jitu kama Njaa Kaya ambalo ndani ya miezi miwili lililokaa nje ya ulaji limeishajipeleka kukuu mara mbili kana kwamba kuna kitu lilisahau.”
            Mzee Maneno anakula mic, “Kumbe nyie hamjui! Taarifa alizonipa mtoto wa dadangu anayefanya kazi Uhasama wa Taifa ni kwamba kuna mafisadi ambao ni washirika wa jamaa wamemsonga na kutaka aende kurekebisha mambo vinginevyo wanasema kama watabanwa mbavu na Dk Kanywaji watamwaga mtama kwenye kuku wengi ili na munene aliyeshirikana nao aumbuke ikiwezekana kushughulikiwa.” Kutokana na unyeti wa inshu yenyewe, wanakijiwe wanaangaliana kama kushuku kama kuna ukweli au la kwenye habari hii.
            Mipawa anakwanyua mic, “Mimi sishangai kusikia haya. Jamaa alivyoruhusu gendaeka na mafisadi wenzake wainajisi kaya, lolote lawezekana. Pia mjue lisemwalo lipo. Kama halipo basi laja. Hata nami nimesukuti kutaka kujua mantiki ya safari za mara kwa mara za jamaa ikuu kama hakuna namna.  Jamaa kwa alivyokuwa hamnazo, huenda kuna mazabe alitenda ambayo asipofunika kombe mwanaharamu akapita anaweza kujikuta lupango siku si nyingi.
            Mchunguliaji ambaye mara nyingine huwa hachangii anaamua kutia daruga. Anapoka mic, “Mna habari hawa jamaa waliopita wote kuanzia yule babu wa rukusa hakuna aliye salama hasa ikizingatiwa kuwa ndiyo waliosimika mizizi ya ufisadi unaoisumbua kaya. Hivyo, kila mmoja kivyake vyake lazima aende kwa Dokta lau kujikomba ikiwa ni mkakati wa ima kumtisha au kumfurahisha ili asiendelee kuwaua nguo hawa wajalaana watatu.”
            Kanji anakula mic, “Mimi taka tokea kama ile natokea Israel. Iko jua nini natokea Isreal? Ile waziri kuu zamani nafungwa gereza kwa kula rushwa.  Kama hapa yetu nayo nafungwa mimi iko raha sana na nakuna mimi.
            Mbwamwitu mpenda utani hamkawizi. Anampoka Kanji mic na kumchomekea, “Kanji tafadhari acha tusi veve. Eti Napata raha nakunwa na Israel ile napenda tembea usiku! Nakuna nini na wapi Kanji hebu fafanua dogo dugu yangu.”
            Kanji hajivungi. Anakula mic, “Mimi iko serious veve naleta tani. Kumbe haikosikiliza BBC English! Acha chezo na tani dugu yangu. Ile Ehud Ormet nafungwa yeye nakula rushwa zamani sana.”
            Sofia Lion aka Kanungaembe anabusu mic, “Kanji kaka yangu nakuelewa. Ila utofautishe Danganyika na Israel. Huenda anaweza kufungwa gendaeka hasa ikizingatiwa kuwa kaka Kanywaji anaonyesha si mtu wa mchezo.”
            Kapende anarejea, “Da Sofi nakuunga mkono hasa baada ya kuzaliwa mara ya pili na kuachana ushabiki na mapenzi kibubusa. Jamaa anaweza kuandika historia kuwa kiongozi wa kwanza wa kiafrika kufanya mambo kwa haki. Hakuna kilichoniacha hoi kama Big Ben kuomba kazi wakati alichofanya ni kutuuza kwa wachukuaji waliokuwa wakimkatia chake. Huyu Njaa Kaya alivyo sijui hata kama alikatiwa zaidi ya kuliwa mkenge tu.”
            Kijiwe kikiwa kinanoga si tukapokea simu toka kwa Dk Kanywaji akitaka twende ikulu kumshauri!
Chanzo: Tanzania Daima Januari 19, 2016.

Sunday 17 January 2016

Magufuli atumbue jipu Lowassa


magufuli-lowassa-front.jpg?resize=777%2C437

            Tunaandika haya kumtaka rais John Magufuli kujipanga kutumbua majipu mengine makubwa yatokanayo na mfumo mbovu aliourithi ambapo watu wasiostahiki wanalipwa stahiki wasizostahiki. Mfano mzuri ni Edward Lowassa, waziri mkuu wa zamani aliyeachia madaraka si kwa kustaafu, bali kutokana na kuwajibika tokana na kujiridhisha kuwa alishiriki kwenye kashfa iliyopoteza mabilioni ya shilingi za umma. Wapo wanaoamini kuwa Lowassa –kisheria –hapaswi kulipwa marupurupu ya kustaafu kama waziri mkuu, kwa vile hakustaafu kwa mujibu wa sharia bali kulazimika kuachia ngazi tokana na ushiriki wake kwenye kashfa ya Richmond. Wanaoamini hivyo wanadhani Lowassa analipwa mafao asiyostahiki ima kutokana na mfumo mbovu wa kulindana au urafiki wake na rais wa mstaafu, Jakaya Kikwete.
            Kadhalika, kuna haja ya kuwa na sheria inayozuia mstaafu ambaye yuko active kwenye siasa kama Lowassa na Fredrick Sumaye, kulipwa mafao ya ustaafu wakati bado anafanya siasa. Hivyo, si vibaya kumshauri rais kuwachukulia wahusika kama majipu yanayopaswa kutumbuliwa ili kuokoa fedha nyingi za umma na stahiki kama vile walinzi, wafanyakazi wa nyumbani, matibabu, na mengine wanavyopata kinyume cha sheria. Huu nao ni wizi wa kimfumo ambapo mtu analipwa mabilioni asiyostahili.
            Lowassa –japo amejitofautisha na mafungamano na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuingia kwenye upinzani, anapaswa kuangaliwa si kwa sababu ni mpinzani bali mtu aliyeachishwa kazi kwa  kashfa tena ya upotevu wa fedha za umma sawa na wahusika wengine waliosimamishwa kazi kutokana na kosa au makosa kama haya. Hivyo, tuweke wazi. Hatumshauri rais kutumbua jipu hili kwa vile Lowassa yuko upinzani. Tunasema hili wazi kwa vile –ikitokea Lowassa akanyima marupurupu anayofaidi kwa sasa –bila shaka atakuja na utetezi hafifu kuwa anafanyiwa hivyo kwa vile yuko kwenye upinzani. Hata angekuwa ndani ya CCM , bado asingestahili kulipwa marupurupu anayopewa –kama sheria na kanuni zitafuatwa bila kulindana na kuangalia u-mwenzetu.
            Sumaye –kadhalika –anaangukia kwenye mkumbo huu wa kufanya siasa –japo kisiasa analipwa kama mstaafu. Huwezi kustaafu na ukaendelea kufanya shughuli zile zile bado ukastahiki kulipwa marupururup. Tunadhani, huu nao ni uchochoro unaowagharimu walipa kodi bila sababu. Hivyo, si vibaya majipu haya nayo yakatumbuliwa sawa na majipu mangine.
            Kwa vile sera ya Magufuli ni kubana matumizi yasiyo ya lazima, kuna haja ya kuangalia hata haya malipo ya viongozi wastaafu. Kwani nayo yanakula na kupoteza fedha nyingi bila sababu wala stahiki.
            Kitendo cha kuendelea kumlipa stahiki za ustaafu Lowassa wakati hakustaafu ni moja ya vikwazo kwa uwajibikaji kwenye ofisi kubwa za umma. Analipwa kwa lipi wakati hakuleta tija bali hasara? Kinachofanya Lowassa asistahili kulipwa marupurupu ni ukweli kuwa alifanya maamuzi magumu na kuamua kuachia ngazi mwenyewe baada ya kujiridhisha kuwa alikuwa na kesi ya kujibu ingawa hakufikishwa mahakamani. Kama kweli tunataka kuwajibishana na kuonyesha mfano, mtu kama Lowassa alipaswa kufunguliwa kesi mahakamani na kusafishwa huko huko badala ya kuendelea kupoteza fedha ya umma kumlipa marupurupu asiyostahili.
            Marupurupu anayolipwa Lowassa, angalau yangeelekezwa kwa familia ya marehemu Edward Sokoine aliyefia ofisini baada ya kulitumikia taifa kwa uwajibikaji na ufanisi mkubwa. Haiingii akilini serikali kusema kuwa atakayevuruga asihamishiwe sehemu nyingine bali kufukuzwa halafu kwa upande mwingine ikaendelea kuwalipa fedha watu waliofukuzwa kama wastaafu wakati hawakustaafu. Lazima itungwe sheria kuwa: Ili kiongozi mstaafu astahiki kulipwa marupurupu ya ustaafu aishi kama mstaafu badala ya kuwa mwanasiasa active na kuendelea kupokea fedha ya umma. Pia sheria itamke wazi kuwa atakayefukuzwa –kama ilivyo sheria kwa watumishi wengine wa umma –anapoteza stahiki zake kwa vile hakutimiza masharti ya utumishi wake kwa umma.   Hata Lowassa mwenyewe anajua fika kuwa anafaidi marupurupu anayopewa kwa vile mfumo wetu ni wa kifisadi, kulindana na kupendeleana ukiachia mbali kuzawadiana kutokana na ukuruba na usuhuba.
            Kwa kuweka sheria inayowataka viongozi kuwajibika ndipo walipwe marupururupu ya ustaafu, tutaweza kutoa motisha kwa viongozi hawa kuwajibika kwenye ofisi za umma badala ya kuzitumia kwa maslahi binafsi na waondokapo –ima kwa kustaafu –au kuwajibishwa wakaendelea kupoteza fedha za umma. Mfano mzuri ni waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Olmet aliyehukumiwa kwenda jela kwa kosa alilotenda akiwa meya wa jiji la Jerusalem.
            Tumalizie kwa kushauri kuwa Lowassa asimamishwe kupokea marupurupu ya ustaafu kwa vile hakustaafu, aliachia madaraka tokana na kujiridhisha kuwa alihusika kwenye kashfa ya Richmond hata kama hajafikishwa mahakamani. Vinginevyo afikishwe mahakamani na mahakama iamue ili wananchi wajue ukweli badala ya kuendelea kuwa utata uliopo.  Wakati wa kuwajibishana ni sasa ili kuweka mfano kwa watakaokuja wakijua fika kuwa ofisi za umma na fedha za watanzania si shamba la bibi tena.  Tunaomba kutoa hoja kwa rais Magufuli ambaye tunajua fika kuwa anawasikiliza wananchi anaotaka kuwatumikia na kuwakomboa toka kwenye kadhia ya wizi na matumizi mabaya ya ofisi na fedha za umma.
Chanzo: Dira Januari 18, 2016.

Open letter to Dr. Ndalichako

  • University corner: TOP TEN BEST SCHOOLS FORM SIX NECTA RESULTS 2012
Dr. Joyce Ndalichako, uh-oh prof,
Although I don’t know you personally, I’ve known you for a long time through your excellent academic performance especially when you’re at the helms of the organization whose name sound like the juice that bees use to make honey. Was it nectar or NECTA? The latter is the one I’m referring to. Baraza la Kutunga Mitihani Bongo which was supposed to be Baraza la Kughushi Mitihani under the former corrupt and sitting-duck-like regime.
            First of all, I congratulate you on being appointed minister for Education, Science, Technology and Vocational Training. Many people applauded your appointment knowingly that Mr. president made the right choice. It is as if the fish has been take out of the desert and placed back in water. Please, don’t let us down. We know you’ve what it takes.
Bad news –which is a challenge to you –is that you’re inheriting a very much sabotaged ministry after professor J4 Majembe who’s sadly retained for the matter of regional balance and Dr.Shucool Kawadog subjected the ministry and the education in general to gullible and greedy experiments resulting from myopic and short personal interests. I’m told that students in secondary schools no longer read as many books as possible as it used to be when we’re in school in those golden days of mzee Mchonga wa Burito (MGRHP). To revamp and turn around your ministry, you must go back to Mwalimu’s education regime whereby being in school meant getting the power to analyze and synthesize things but not to cram a few books without having any know how academically. I don’t know why such bin-Adams –wrongly viewed as educated –didn’t gage the consequences of subjecting education to experiments and personal interests. Didn’t they know that –apart from mentally starving students –they’re also starving authors and publishers in the hunk? Maybe, they wanted us to buy books from Kenya and Uganda whereas our academics would be lampooned for not being competent to write books. I, for one, have already written five books that can be taught in schools and universities if corruption and technical-know who were not the only qualifications the said gentlemen wanted for someone’s book or books to qualify to be used in our schools that have been turned into institutions of reproducing ignorance.
            Secondly, when education was felled, forgery became its substitute wantonly. It involved even vigogos, their offspring and earthlings. Refer to recent findings that 209 forged their academic qualifications out of government 704 employees. I don’t know how  many forgers you’ve in the entire hunk or in the cabinet. So, too, I don’t know how many professors, teachers, doctors, ministers, nurses, cops, politicians and whatnots that forged their certificates. Work on this urgently please. As it may be, forgery is but a foul-smelling humongous boil or jipu full of cancer that needs to be cleaned, and stuffed.  As the minister responsible for education, please make sure you encourage other ministries to take on forgery that’s become an anathema to our hunk. To succeed –as Mr. President once said –you need to be merciless and steadfast.  I know many bigwigs who obtained their academic qualifications illegally by purchasing them from diploma mills abroad. If you may, you must invite Msemakweli Keinerugaba, a lawyer who authored a book on the vice.  Arguably, seriously and mercilessly taking on forgers will discourage others contemplating to do the same not to mention motivating our youths to go for education instead of wasting time in drug dealings and other loss-making undertakings as it has always been since our education system was butchered by those we wrongly thought were truly educated while they wasted their times in classes to evolve more ignorant than they entered the classes. The situation is ridiculously alarming.  Our hunk’s been raped academically. People with honoris causas, quacks and traditional healers refer to themselves as doctors while most of them didn’t even complete standard seven. So, don’t crucify monkeys as you spare elephants. They are all animals. For the biggies alleged to have forged their academic credentials that’ve been retained in the cabinet, you can advise Dr. Kanywaji to ask them to step aside up till their matters are looked into and be cleared.
            Thirdly, don’t forget to look into the whole issue of teachers’ remuneration. If you may, you can even advise Dr. Mugful to downsize ministers’ District Commissioners’, Regional Commissioners' and Members of Mjengo’s humongous salaries so as to increase teachers’ salaries. For boozers, teachers are more important than politicians who happen to waste time in politicking and squabbling while our teachers inculcate knowledge in our virgin heads. So, too, remember schools as far as laboratories, dormitories, teachers’ houses and worthy textbooks. Don't forget to stop the business of tuition. If tuition is needed should be taught during school ours without charging students. I'm sure. You didn't receive any tuition when you're in school.
            In sum, madam, you’ve gotten a full plate. I therefore should not write a missive unnecessarily. I wish you well and guts to meet boozers’ expectations especially turning our schools into factories for producing knowledge but not ignorance as they currently are.
Thank you for reading my stuff and blessed be.
 Sincerely yours
Boozer,
Uswekeni.
Source: Guardian, Jan., 17, 2016.

Saturday 16 January 2016

Magufuli atafakari sana vita dhidi ya mihadarati


            Akihutubia bunge la kwanza akiwa rais, Dk John Magufuli aliwaahidi watanzania kupambana na biashara haramu ya mihadarati ambayo imekuwa aibu, kero na tishio kwa taifa. Alisema kuwa hatakuwa na simile na wauza unga na atawasaka vinara wote wa jinai hii. Kwa kazi ambazo ameishafanya na mifano yake, Magufuli anamaanisha asemacho na kusema amaanishacho. Kwani ana mapenzi na mipango ya dhati na kweli kwa watanzania ambao kadhalika wanamuamini na kuwa tayari kushiriki; na kushirikiana naye katika vita hii ya kulikomboa taifa.
            Pamoja na dhamira safi na juhudi kubwa za kupambana na jinai ya mihadarati, rais Magufuli anapaswa kufahamu baadhi ya mambo –kama hajayafahamu na kama anafahamu abadili mkakati kutoka ukalipiaji hadi ukamataji wahusika na kuwafikisha kunakostahili. Rais Magufuli ni msemakweli anayeamini katika uwazi. Sentensi “Msemakweli ni mpenzi wa Mungu” huwa haikauki kinywani mwake. Hata hivyo, mambo mengine –hasa yanayohusiana na usalama –hayahitaji ukweli kuwekwa wazi. Kwani kufanya hivyo kunaweza kumgharimu mhusika. Na huu ni ukweli tu.  Kwa mfano, wauza unga wameonyesha kuwa na uwezo mkubwa kifedha na kimkakati kiasi cha kuyumbisha utawala uliopita kiasi cha kujenga hisia kuwa wakubwa zake walikuwa na namna walivyokuwa wakinufaika na kadhia hii. Kwa kutumia fedha, ushawishi, mitandao na mikakati yao, wauza mihadarati waliweza kuuhujumu na kuuweka mfukoni utawala uliopita ukiachia mbali kuwaua baadhi ya watu walioshupaa kupambana na kadhia hii.
            Jambo la kwanza analopaswa kufanya rais na timu yake ni kupunguza maneno na kuongeza matendo. Achukue mfano wa rais wa Marekani, Barack Obama anavyopambana na ugaidi duniani. Obama huwa hasemi atafanya nini na vipi. Badala yake hutenda na kutangaza baada ya kutenda kama alivyofanya alipofanikiwa kumuua kiongozi wa mtandao wa al-Qaeda Osama bin Laden na vinara wengine waliouawa kwa kutumia ndege za drone kwenye maeneo sugu na mazalia ya ugaidi.obama husema machache na kufanya mengi na hii ndiyo siri ya ufanisi wake katika kupambana na ufisadi.  Hivyo basi, badala ya rais kuapa na kuahidi atapambana na wauza unga, anapaswa kuanza kuwasaka na kuwakamta ndipo atangaze. Anaweza kufanya hivyo hata kwa mafisadi, vidokozi, wala rushwa, wakwepa kodi na wahalifu wengine wanaokwamisha maendeleo ya taifa letu.
            Katika makundi yote ya kihalifu, hakuna kundi hatari na linalotishia usalama wa taifa letu kama magenge ya wafanyabiashara haramu ya mihadarati. Wana fedha, ushawishi, mitandao hata ndani ya serikali kiasi cha kuweza kutumia uwezo huu haramu na hatari kuhatarisha maisha ya yeyote anayetaka kuyaangamiza. Historia ni shahidi. Wako wapi akina Amina Chifupa waliojitolea kufichua uovu huu? Rejea jinsi rais mstaafu Jakaya Kikwete alivyopewa orodha ya wauza unga na wahalifu wengine akashindwa kuzifanyia kazi. Je aliogopa au kuzuiwa na nini? Je kulikuwa na namna alivyokuwa akinufaika na jinai hii au aliogopa hatari iliyoko nyuma ya magenge haya? Hivyo, rais –japo ni taasisi –anapaswa kuzingatia na kuchukua tahadhari dhidi ya kitisho hiki hasa ikizingatiwa kuwa wakubwa wa magenge haya wengine wamo serikalini na kwenye taasisi mbali mbali za binafsi na umma. Hakuna tahadhari na mkakati bora wa kuwazidi kete wahalifu kama kuwakamata kwanza na kutangaza baadaye. Maana unawastukiza na kuwanyima nafasi ya kujihami kwa kuhujumu mikakati yako.  Magenge ya wauza mihadarati ni tishio hili si kwa Tanzania tu bali kwa dunia nzima.  Rejea kugundulika kwa wakubwa wa megenge ya wauza mihadarati wenye nchi ya Guinea Bissau ambapo mkuu wa majeshi aligundulika kuwa kingpin wa jinai hii. Rejea mauaji ya mameya, magavana na viongozi wengi wa juu nchini Brazil pale serikali ilipoamua kupambana na mihadarati. Rais bado anahitaji watendaji waaminifu na walio tayari kumsaidia katika mapambano haya.  Pia awatumie wala na wavuta unga ili kuelekeza vyombo vya upelelezi kwa wale wanaowauzia unga.
            Pamoja na ukweli kuwa rais Magufuli amekuwa serikalini kwa muda mrefu, hivyo, anajua aina ya magenge anayopambana nayo, anapaswa kuchukua tahadhari zaidi. Watanzania wanamkubali na kumpenda na wako tayari kushirikiana naye kukomboa taifa lao toka kwenye kashfa na aibu ya mihadarati, ufisadi, ujambazi, rushwa na uchafu mwingine. Pamoja na kujihami yeye binafsi, anapaswa kuwalinda watoa taarifa, wakamataji na magereza kwa ujumla kwa kuhakikisha wahusika wanapokamatwa hawataroshwi. Muhimu, rais angeaanza kukamata na kutangaza baadaye.
            Tumalizie kwa kumsisitiza rais umuhimu wa ukimya katika kuwasaka vinara wa biashara haramu ya mihadarati. Kamata kwanza, tangaza baadaye. Pia chukua hatua za haraka kuhakikisha vinara wa mihadarati wako magerezani na si uraiani wakipanga kuhujumu juhudi zako hata kukuangamiza. Kwa leo tunaishia hapa.
Chanzo: Tanzania Daima Januari 17, 2016.