Tuesday, 20 October 2015

Je Amani ni pale Lowassa anapokuwa na tonge akinyang'anywa si amani tena


2 comments:

  1. Watanzania watafanya makosa ya karne ikiwa watamchagua mgojwa kwenda ikulu muwongo na hafai
    tunataka mabadiliko lakini sio kupitia c.c.m B

    ReplyDelete
  2. Anon naungana nawe kuwa yatakuwa ni makosa makubwa kumchagua fisadi aliyeishiwa. Ni vizuri wakatafakari vizuri maana rais si rafiki wala mshirika wa muda mfupi ni sawa na ndoa.

    ReplyDelete