Mosi, hasira baada ya kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais.
Pili, imani kuwa angeweza lau kushinda kupitia upinzani hata kushindwa bila kupoteza lolote zaidi ya upinzani.
Tatu, alitaka kulipiza kisasa kwa namna upinzani ulivyombomoa na kumtangaza kuliko mafisadi wengine uliotaja.
Tatu, alitaka kuukomesha upinzani na kujijengea nafasi maalumu kwa CCM ambayo, nayo bila shaka, ilijua kuwa alichokuwa akifanya kada wake huu kingeisaidia kwenye uchaguzi husika. Sababu ziko nyingi. Ila hizi tatu ndizo zingemfanya mchambuzi yeyote mahiri kutabiri kurejea tena kwa Lowassa CCM siku moja kama ambayo amefanya leo. Kimsingi, kama kuna aliyeuua upinzani si mwingine bali aliyeushauri kumpokea Lowassa.
Sasa Lowassa ametimiza malengo yake yote. Kuna haja gani ya kubakia upinzani?
KWA HABARI ZAIDI BONYEZA HAPA
No comments:
Post a Comment