Miaka sasa imetimu tangu mtunzi maarufu wa wimbo wa Charonyi ni Wasi Habel Kifoto afariki ghafla huko nchini Kenya. Mwanamuziki huyu wa Maroon Commandos alikonga nyoyo za wengi. Leo tumemkumbuka gwiji huyu hasa ikizingatiwa kuwa alikuwa mwezi huu mwaka 2011 jijini Nairobi-Kenya
The Curse for Salvation
Wednesday, 12 August 2020
MIAKA 9 TANGU KUONDOKA KIFOTO
Tuesday, 11 August 2020
Lissu hana hoja hapa eti Magufuli kajenga uwanja wa ndege kwao!
Kitendo cha serikali ya awamu ya tano kujenga uwanja wa ndege mkoani Geita kinaonekana kuwakera baadhi ya watanzania hasa wapinzani wa serikali. Mmojawapo aliyeshupalia na kuvalia njuga uwanja huu pamoja na mbuga ya wanayama aliyoinzisha mkoani Geita si mwingine bali mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu ambaye hivi karibuni alisikika majukwaani akiligeuza hili kuwa sera. Jamani, kama hamna cha kumpinga rais John Magufuli heri mjinyamazie kuliko kujiaibisha. Lissu anasema hii ni aibu na watanzania si wajinga. Ni kweli. Watanzania si wajinga kiasi cha kuamini ujinga wake. Hivi kwanini haulizi vigezo vilivyotumika kujenga uwanja husika huko Chato mkoani Geita? Je Lissu hajui kuwa kwa sasa madini ya dhahabu ambayo yanapatikana sana mkoani humo ni ya pili kwa kuchangia pato la taifa? Je hajui kuwa wachambaji wengi wa dhahabu huko Geita licha ya kampuni kubwa kuliko zote ya Geita Gold Mine Ltd (GGML) wako Geita? Je hajui kuwa wachimbaji wengi ni matajiri wanaotaka usafiri haraka? Je kama mkoa wenye kuzalisha dhahabu nyingi kiasi hiki kosa liko wapi kuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa?
Mbali na Chato kuwa strategic kwa usalama wa nchi na alternative kwa ndege zinapokuwa na dharura si Tanzania bali hata nchi jirani, Geita ina vivutio kama vile mbuga ya wanyama ya Burigi Chato ambavyo vinahitaji watalii na usafiri wa haraka. Lissu hajui kuwa mbuga anayolalamikia ni ya tatu kwa ukubwa baada ya Ruaha na Serengeti. Je alitaka hii mbuga iendelee kuwa vitalu vya uwindaji wa kifisadi kama zilivyokuwa nyingine alizoanzisha hivi karibuni? Mbona Lissu halalamikii mbuga nyingine zilizoanzishwa sambamba na mbuga hii wala viwanja vya ndege vilivyojengwa sambamba na hiki kinachomnyima uzingizi?
Kwanini Lissu na CHADEMA wasifanye japo homework kidogo wajiulize ni kwanini Geita inayoingiza mabilioni ya shilingi kwenye uchumi wa taifa isiwe na uwanja wa ndege lakini Zanzibar ambayo pato inaloiingiza haliwezi kulingana na Geita iwe na uwanja wa ndege wa kimataifa? Kwanini halalamikii Mbeya kuwa na uwanja wa kimataifa wa ndege wala Mwanza? Hata angepanua uwanja wa ndege wa Mwanza na kuacha kujenga wa Chato bado wangesema anapendelea Kanda ya Ziwa. Haya ndiyo mawazo ya watu wanaoshindwa kufikiri sawa sawa na kuhukumu mambo kama yalivyo baada ya kufanya hivyo kwa kusukumwa na hasira na kutaka umaarufu rahisi na kulipiza kisasi. Wanaobeza juhudi za Magufuli wanapaswa kuwa na busara japo kidogo.
Siku moja nilimsikia profesa mmoja wa lugha mstaafu aking’aka eti watu wanasifia barabara, madaraja, ndege na reli. Anataka wasifie umaskini tulio kuwa nao hadi tukazidiwa na viinchi kama Kenya visivyo na raslimali hata nusu yetu? Profesa huyu wa CHADEM alisikika akimnukuu na kumsingizia Marehemu baba wa taifa Mwl Julius Nyerere kuwa alisema kuwa maendeleo lazima yawe ya watu. Ama! Kwani hizo barabara, madaraja, ndege na reli vimejengwa visafirishe Wanyama au majini? Si hawa hawa wanaopiga kelele watakuwa wa kwanza kuvitumia?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni jamani. Wapo waliowahi kusema kuwa hata makaburu wa Afrika ya Kusini walijenga hiyo miundombinu. Kwanini hawajiulizi hao makaburu walimjengea nani kama siyo weupe tu waliokuwa wamewezeshwa kufaidi vitu hivyo kwa jasho la Mswahili? Ajabu ya maajabu hao hao wanaomzodoa na kumlaani Magufuli kwa kujenga vitu ‘badala ya utu’ ni wale wale waliokuwa wakisafiri toka kwao kupitia wengine Uganda na wengine Kenya kwenda Dar es Salaam. Yaani tumekuwa wepesi wa kusahau hivi kiasi cha kujigeuza kwa makusudi wezi wa fadhila? Walitaka Magufuli ajenge nini zaidi ya miundombinu ili kufanya mageuzi ya uchumi wa kisasa? Hao hao wakienda Ulaya wakapanda vipandwa wanavyolalamikia wakija huku wanaanza kusema kwanini hatuwi kama Ulaya? Tukitaka kuwa kama Ulaya wanayoiabudia, tena wanaanza nongwa. Hii ni tabia ya kitoto. Mtoto ukimpa mpira achezee akaupoteza anakulaumu. Ukimnyima asiuchezee ili asiupoteze anakulaumu. Ama kweli hawa ni akina Siwema.
Bila kusema mengi, wanaotaka kumpinga Magufuli watafute na kujenga hoja zenye mashiko badala ya uzushi na siasa za maji taka kwa kukopa toka kwa marehemu Samuel Sitta. Tuache siasa chafu. Watanzania si wajinga hivyo. Watanzania si wasahaulifu hivyo. Wala watanzania si vipofu na viziwi jamani.
Serikali ya awamu ya tano sasa iko mbiyoni kujenga hospitali za rufaa mikoani. Kesho utasikia Magufuli kajenga hospitali ya rufaa kwao. Je kwao hawaugui? Je kwao si watanzania sawa na wengine wanaohitaji huduma hii? Je Geita––kumzaa Magufuli––inapoteza haki zinazopewa mikoa mingine? Ni ajabu kumsikia Lissu akisema eti Geita hakuna biashara ya kuhitaji ndege. Ama! Mbona Arusha na Kilimanjaro kuna uwanja wa ndege wa kimataifa? Juzi Lissu alisikika akisema eti uwanja wa ndege wa Chato hauna kazi bali kutumika kumsafirisha Magufuli na mama yake. Haya ni matusi ya nguoni. Anasema eti Nyerere hakujenga uwanja wa ndege kwao. Angejengaje wakati ule vipaumbele vilikuwa ni siasa za ukombozi na si ukombozi wa kiuchumi? Angejengaje wakati hata barabara zenyewe hazikuwa zimejengwa tokana na jukumu la Tanzania kumpiga nduli Idi Amin na kuongoza mapambano Kusini mwa Afrika? Nina hakika hata Nyerere angekuwa hai leo, angemwambia Magufuli akachape kazi kama ambavyo mzee Ali Hassan Mwinyi na Marehemu Benjamin Mkapa walichagiza si mara moja wala mbili.
Kwa leo itoshe kuwasaidia wenzetu kufikiri kuwa kinachoendelea Tanzania, si kwa faida ya Tanzania tu bali hata majirani zetu hasa nchi zisizokuwa na bandari kama vile Rwanda, Uganda, Zambia na DRC. Cha msingi ni kukubali na kuelewa kuwa ndege zitazidi kununuliwa, barabara na madaraja kujengwa na mbuga mpya za Wanyama penya Wanyama kuanzishwa kwa faida ya watanzania watake wasitake. Na hakika huku ndiko kushindwa hata kabla ya kuanza uchaguzi.
Nkwazi Mhango masomoni Kanada
Covid-19: Issues and Questions to Ponder On
When I look at all good even controversial measures many countries have put in place in combating Covid-19, I just can’t help or stop asking some thorny questions that many seem haven’t yet asked or have ignored. For example, are the measures that we’ve put in place fittingly right for battling the plague realistically and for good? Are the ways we interact and treat each other appropriate to thwart the pandemic? Are we together in this or just severally everybody going solo? Are we prepared to resolve the conflict originating from our different and opposing approaches in dealing with the pandemic? How long will Covid-19 torment us and how long will it take for us to be out of the woods? How much our economies are to pay thereof; and when are we to face this reality by taking adequate measures aiming at benefiting everybody collectively but not severally?
Of all, our attention has been paid to humans but not to other non-human members such as measures and systems. Our attention is now paid to how to survive the pandemic without considering other areas that are crucial for our nonbiological survival such as trade among ourselves, peaceful coexistence and cooperation among many. Have we ever considered to impose lockdown on animals or, at least, stop eating them for a while? If we stop eating animal products, what are the alternatives thereof? What is the state of affairs vis-à-vis animals? Are our systems able to test animals; and thereby put them on the lockdown or reduce our interactions with them? What’s the right way to address the pandemic? Because of the convolution the pandemic has caused and the fear it has inflicted on us, recently we evidenced two East African countries, Kenya and Tanzania, banning each other from using their respective airports. Such a tiff lays bare another soft underbelly as far as Africa is concerned, disunity. This shows how our relationships and systems are broken-down and feeble. If I may say it, we need to unite as people and countries and the continent to successfully win the war against this pandemic.
If Africa were united, what’s ongoing between Kenya and Tanzania won’t have happened. To put it in the context, recently, Kenya and Tanzania found themselves in a very stroppy situation after taking two opposing stances on how to tackle and deal with COVID-19 pandemic. Because of different and opposing slants on how to deal with COVID-19 pandemic, Kenya found itself firing the first shot after issuing a list of airplanes that are allowed to land on its land. This list excluded Tanzania which retaliated by barring Kenyan planes from landing on its land. Slamming bans on each other doesn’t do anything good for both or any. Essentially, banishing each other is likely to weigh heavily on the already tanking economies of two countries because of COVID-19. Actually, there won’t be any winner in this melee.
However, what can be seen as tit for tat speaks volumes as far as the relationships of African countries are concerned. It is but a typical replica of what’s been ongoing in postcolonial Africa wherein neighbouring countries pointlessly live in an acrimonious netherworld for their peril. All this happens simply because postcolonial Africa refused to unite and form a very meaningful and strong state of Africa. Disunity and division are but postcolonial Africa’s coloniality. To refuse to unite Africa makes Africa’s independence meaningless. Africa’s freedom should mean free movements for Africans in their continent; should mean the reunification of Africa; should mean to decolonise Africa by refusing to labour under the colonial division that has always weakened Africa and Africans.
If the East African Community (EAC) had aimed at truly uniting its member states, this the Kenya-Tanzania shame won’t have occurred. If the duo were truly committed to each other, such an awkward situation would have been easily averted. Similarly, if Africa were united, Ethiopia and Egypt won’t have been wasting their precious time on squabbling about who’s the right to Nile waters. They won’t have been wasting needed money to plot against or threaten each other over the resource that’s supposed to be theirs equally if they’re united. Where will we get the kahunas who’ll help us out of this needless imbroglio?
If we realistically face it, the models we’ve in place for combating the pandemic are the results of fear and vulnerability as a human race. Thanks to the panic resulting from the pandemic, we seem to have either got it wrong or ignored some other pertinent elements we need to seriously consider. Instead of fearing one another, we need to think out; and without the box together and protect each other. Are animals such as chicken, cows, goats and all other animals we daily consume free of Covid-19? Do we close our borders for them not to contaminate us?
Ironically, thanks to the action the authorities once took in Tanzania where animals and even fruits were found to be Covid-19 positive, if truly are, are we safe really? What’s amiss here? Are our systems, instruments or personnel feeble or what? How serious have we taken this? Where are the right answers about this? The independent (May 6th, 2020) cited Tanzania’s President Dr John Pombe Magufuli as saying that “there is something happening. I said before we should not accept that every aid is meant to be good for this nation.” Essentially, Magufuli raise very crucial questions on what should be done to address the problem. Again, was he taken seriously or politicised? Neither the WHO nor any scientific society responded to such suspicion concerning this novel unfolding ‘reality.’ To add salt to injuries, we are now shunning each other for the fear of COVID-19.
My argument is that we need to dig deeper to see if we’re braced for yet a bigger problem so that we can take adequate actions, quickly and timely. For example, some countries have decided to go solo in fighting the pandemic while it unfortunately spreads indiscriminately. I don’t see the so-called developed and wealthy countries playing their roles as world leaders––the role many like to play in political and social matters but not in this foreboding pandemic! Where are the EU and the US in this war? Everybody is locked in his or her jurisdiction as if the pandemic does reciprocate equally and similarly. If wealthy countries are going to maintain their silence in helping poor and more vulnerable countries, their success in cutting down the spread; and thereby eradicating the pandemic in their jurisdictions won’t help anything.
Rich countries need to assume their responsibility accountably instead of working solo. They did the same when Ebola broke in Africa. Instead of concentrating on their jurisdictions, they need to globalize the strategies of combating the pandemic. For example, people with poor health infrastructure need to be helped out. That’s because all humans, thanks to a globalized world, are the members of one village known as earth. This includes even animals and plants. This needs a very cyclic approach that traditional societies apply in responsibly living on this planet. Everything does count; whether we like it or not. This is the only way to go.
In sum, on a country level, authorities need to get act together and tax wealthy citizens in order to raise funds for helping the poor out of the danger. For, if this isn’t done, we’ll all perish foolishly as we helplessly and individually watch. Failure to think out or without a box, we’ll collectively perish. Is the world going to embark on aut vincere aut mori, namely either to conquer or to die? No doubt about this. If anything, Covid-19 provide an opportunity for the world to come together and fight together in order to survive together instead of foolishly and irresponsibly perishing together. Instead of socially distancing ourselves, we need to financially, socially and strategically come together to take on the pandemic collectively.
Source: African Executive Magazine today.
Sunday, 9 August 2020
Friday, 7 August 2020
REMEMBERING PETER MPOULY CAMEROONIAN MAKOSSA LEGEND
THREE YEARS AFTER THE PASSING ON OF LIZA T
Thursday, 6 August 2020
Wednesday, 5 August 2020
TOWARDS THE 2020 GENERAL ELECTIONS.
In today’s article we will examine this particular aspect, namely, the prospect of having “comparative teams” competing in this year’s general election.
Their declared noble intentions are most probably true, and may indeed be the main reason for this wave of defections to CCM; which therefore shows the great amount of confidence and satisfaction that many people have in President Magufuli’s leadership; plus the additional confidence that once an aspirant is selected by CCM, his success at the polls is almost assured.
MEMBE KAMA LOWASSA UKIACHIA MBALI TUNDU LISSU
Tuesday, 4 August 2020
Psychosomatically, Perpetrators Can Unconsciously or Otherwise Be Racists
Racism’s grown exponentially since it was invented in Asia and Europe before being exported to other places. Globally, it also has precipitated problems almost in all aspects of contemporary life economically, politically and socially. Further, racism has become another global pandemic that needs to be seriously addressed before creating more problems. I decided to write this piece after one teacher in my locality kindly questions and satirically addresses racism as an endemic and systemic global and local problem. The person was asking if white people might be racist consciously or unconsciously based on how they view some of us who were not born in the West, and if we did, we’ve more melanin than our hosts who see us as foreigners because of that. However, two things, inter alia, defined this phenomenon in the year 2020 as far as global racism nature is concerned. Before the two occasions, racism was there but no collective world efforts were ever exerted against ever since apartheid South Africa was brought down in early 90s not to mention American one. The two things that redefined racism globally are COVID-19 and the death of an American George Floyd in Minnesota in the US resulting from endemic and systemic police brutality and racial discrimination that defines the situation in the West in general. Thus, rekindling the struggle that Black American movement known as Black Lives Matter (BLM). This movement’s been active for a long time. However, this time around, it became bold and vocal so as to cross borders and oceans globally and became a world phenomenon. There is BLM in every continent currently to signify the endemicity of the phenomenon as far as the West and other non-African countries are concerned. It is only in Africa where BLM does not exist simply because Africans do not discriminate white or brown people though in South Africa they discriminate against their black brethren.Historically and realistically, racism is the product of universal collective ignorance and perpetual mental diseases be they personal or systemic. We can point at collective Delusional Disorders, Narcissistic Personality Disorder, Paranoia, psychosis among other mental ailment associated with racism behaviours. Let me offer an exemplification revolving around a metaphor in order to simplify and put it in the context. Everybody, if not many, know the animals I’m going to use in this metaphor. They are common as pets or foods to most of the people globally. Put another way, critically look at a cow, dog or goat even a rabbit. Ask yourself. Do they smell putrid? Do they brush their teeth every morning like humans do? Do they shower every now and then compared to human beings? Do we discriminate against them? To know who’s superior in this scenario, forget about what’s inculcated in your heads through colonial and criminal education. Are we better than other creatures? Who’s destroying the world today comparably? Do insects need us to live or vice versa; not to mention other nonhuman creatures we, out of our ignorance, like to refer to as beasts? Who need between beasts and humans? Just imagine what’d happen if humans and those animals above exchange their lifestyles. Who will be who? It is obvious that animals are superior to humans when it comes living without depending on sanitary services. Again, because of sickness of the mind, racists don’t compare themselves with those they discriminate. They forget that we’re who we are not because of our abilities to be who we’re. Racists, because of the disease of the mind, don’t know or concur to the fact that our differences are not human engineering as racism is but are beyond our abilities, choices and control.
Sunday, 2 August 2020
DO WE NEED TO HOODWINK EACH OTHER OR FACE IT?
For yet another time, two East African giants are at it. It came to light that Tanzania ordered its airports closed to Kenya's plane as a reciprocal move after Kenya issued its list of the countries allowed to fly in wherein Tanzania was missing. This is not the first, and maybe, the last time for the duo to indulge in such counter-measurements. As neighbours and siblings, the duo needs each other whether they like it or not. The reason behind this kerfuffle-cum-imbroglio is nothing but how the duo addressed COVID-19 pandemic. Whereas Kenya ordered a total lockdown, Tanzania kept everything normal. They both have very good reasons for taking the stance they have taken. For example, is it possible for a poor country to apply lockdown while it does not have financial muscles to take care of its poor people that makes the majority of the population not to mention testing being another thorny issue? While Kenyans have been in the total lockdown so as to affect them economically so as to start facing hunger, Tanzanians have, since the pandemic broke out been doing their activities as usual as they take some precautions. President John Pombe Magufuli has squarely refused to introduce lockdown let alone total lockdown. He once told his people that they need to work hard while others are facing a total lockdown so that, once they start complaining about hunger, they might supply them with food produced at the time they were in a lockdown. Now that the two are at it once again, what should be done? Are the measures the duo has taken appropriate? Are such measures the solution they envisaged to address the problem? Methinks nobody is a cut above the rest as far as how to deal with the pandemic is concerned. Instead, the duo needs to start contemplating talking themselves out of this unnecessary impasse resulting from unnecessary tug of war. For, nobody is right or wrong in this catch-22 situation.
Wednesday, 29 July 2020
AN OBITUARY: BURIANI BENJAMIN WILIAM MKAPA.
That Institution was, in reality, an “ivory tower”, established by the British Authorities in this East Africa part of the then vast “British Empire”. (There was an exact replica Institution in West Africa, then known as “The University College of West Africa” based in Accra, Ghana, also affiliated to London University; which was catering for that part of the very vast British Empire “upon which”, it was proudly asserted, “the sun never sets”.
These Educational Institutions were established, partly for the grand purpose of spreading the ‘Gospel’ of British culture, language being an essential component of any culture. Thus, the relevant University Authorities decided to introduce at Makerere, a single-subject first degree programme, then known as the ‘B.A. English (Honours)’ degree; and Benjamin William Mkapa was one of the very few students who qualified for admission to that programme. He therefore graduated from Makerere with a London University Bachelor’s (Honours) degree in English Literature.