The Chant of Savant

Tuesday 31 October 2017

Leo ni Halloween waswahili msiigize mkashererehekea msichojua

Haloween ni siku ya kipangani iliyoanzia huko Ireland ya Kaskazini kwa jamii ya Ki-celt ikiadhimisha mavuno. Baadaye sherehe hii ilitwaliwa na mataifa ya Ulaya na kuifanya rasmi kwa minajili ya kuuuza bidhaa hasa vinyago vya kutisha kwa wavaaji. Leo nimeona waswahili Dar wakiingiza kuadhimisha Black Friday bila kujua maana ya siku yenyewe na matusi dhidi ya weusi wao.  Hivyo, wakati wenzenu wanaadhimisha sherehe za miungu na mila zao, msikurupuke na kuonekana malimbukeni.
Image result for photos of halloween

No comments: