The Chant of Savant

Wednesday 10 July 2013

Viongozi wa CCM "A" na CCM "B" wanapopata picha ya pamoja!



Waingereza husema a picture speaks a million words. Sijui hii picha hapo juu inakukumbusha au kumaanisha nini? Wapo waliovuma wakavumishwa na mwisho wakaishia kuwa wala makombo. Wapo waliopaa wakaishia kukatwa mbawa na kuishia kuwa mabingwa wa kujikomba ili waweze kuishi. Hakika katika picha hii imenoga hasa kutokana na kuongezeka wengine watatu yaani profesa Ibrahim Lipumba, maalim Seif Shariff Hamad na 'mchungaji' Christopher Mtikila. Hakika ngoma ya kisaliti inogile!

2 comments:

Jaribu said...

Kikwete na bottom feeders wake.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Wow! I mistook them of hidden courtiers little knowing that their brains are in their stomachs. I feel bad to see a prof of economics easily dressing himself down.I used to like Mtikila little knowing that his stomach is the only master he ever has.