Free Thinking

I Fear Nothing But Fear Itself

The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Tuesday, 12 September 2017

Kijiwe chafunga kumuombea Lissu

    Image result for photos of tundu lissu   Taarifa za kushambuliwa kwa risasi na kujeruhiwa kamanda Tunduni Lissu zimesikitisha kijiwe. Baada ya kuzinyaka, kila mmoja alionyesha kusononeka huku tukilaani ujinga, upumbavu na unyama huu.
            Mijjinga anaingia akiwa anasonya na kutikisa kichwa kwa hasira, ngoa na uchungu. Tokana na ukweli kuwa tulikuwa tumeishapata breaking news toka radio mbao, tulijua wazi kilichokuwa kimechukiza na kumsikitisha. Baada ya kuamkua anasema “hivi nani ataishi milele tumuone lau mjanja kuliko wauaji na washamba wanaoanza kuhalalisha utekaji na uaji kayani? Ama kweli kiburi ni fimbo ya mpumbavu. Unamwaga damu ya mtu asiye na hatia halafu utegemee mafanikio? Kawadanganya nani wapumbavu na wauaji nyie msio na akili wala maono?”
            Kabla ya kuendelea Msomi Mkatatamaa anamfariji kwa kumpigapiga mgongoni.  Anasema “brother hili tukio la kushambuliwa kwa mwanakijiwe mwenzetu Tunduni Lissu hata kama huwa hashiriki kijiwe limetuhuzunisha na kutuchukiza hakuna mfano. Hawa wanahizaya waliojificha nyuma ya kinachoitwa wahalifu wasiojulika ni woga na washamba wasiojua maana ya kuvumiliana. Wanadhani wanaweza kutunyamazisha. Wanaweza kumuua Lissu lakini si mawazo yake. Akifa Lissu mmoja wanaibuka kumi. Hivyo, dhamira yao ovu haitafanikiwa.”
             “Usemayo ni ya kweli. Kwani alivofishwa Ntikila si alikuja huyu Tundu? Waweza ua Tundu lakini hatoliziba hili tundu linilosababishwa waja wanene hata kuweka maisha yao hatarini ati. Kwani hao walotaka kumua wataishi milele wakati kila kit ki wazi kuwa kul nafsi zalikatul maut yaani kula nasi itaonya mauti?” Mpemba anajibu kwa hasira huku wanakijiwe wakishangaa anavyotafuna kimanga kama wamanga wenyewe. Laiti kingekuwa kimombo huenda angekuwa mbali na hapa kijiweni.
            Kapende anakula mic “sikutegemea kuwa tungefika hapa na kuonekana kama kaya katili na ya hovyo kama zile zinazotawaliwa na maimla katili na mauaji. Hapa lazima kuwa na mkono wa mtu. Je SMG walotumia hawa wahalifu ilipatikana wapi? Hapa ndata lazima watoe maelezo inakuwajekuwaje wahalifu wanatesa mchana kweupe bila kuwanyang’anya silaha wakati rahis alishaagiza wawanyang’anye hizo silaha?”
            Kabla ya kuendelea Mgoshi Machungi anamnyang’anya mic “hii shambuio inashangaza sana.
Je seikai iichukua hatua gani pae Lissu aipotoa taiifa kuwa anafuatwa na wahalfu wanaotishia usaaama wake zaidi ya kunyamaza?  Je hapa kwei itazuia wachovu kusema mambo tena yasiyopendeza? Je hawa ndata waikuwa wanafanya kazi gani wakati tinajua kuwa wamekuwa wakimfuata mjengoni na kumkamata au ni kwa vile si wa chama chao?”
            “Chungi veve sema kweli kweli. Kwanini data napata guvu ya kamata yeye jengoni lakini hapana linda yeye kama hapana tatizo? Hii tisa sana” anachangia Kanji.
            Msomi Mkatatamaa aliyekuwa akisiliza na kutikisa kichwa kila mara anaamua kutia guu “Kanji umesaidia kujibu swali kubwa yaani nini wajibu wa lisirikali kwa usalama wa wapingaji. Linachoweza kukufanyia si jingine bali kukusweka ndani kwa kulalamikalalamika. Tujulize maswali mengine. Je waliomshambulia Liisu si wale waliomtishia kwa bunduki Mapepe Ninaye alipochunguza hujuma ya Bashit dhidi ya Klaudz? Je hawa wahalifu walipata wapi SMG na jeuri ya kufanya uhalifu mchana kweupe tena kwenye makao makuu ya kaya? Je kwenye nyumba za wahishiwa hakuna walinzi? I can’t understand this game really. Je wafe wangapi ndipo lisirikali listuke na kutimiza wajibu wake au kwa vile Liisu ni mpingaji? Wameshindwa kupambana na majambazi na mafisi yanaoiba mawe yetu kila uchao wanahangaika na wapingaji wanaowapa vipande vyao? Hawa wahalifu wanapaswa kusakwa, kama alivyosema rahis, wakamatwe na kujibu mashtaka haya ya uuaji na upumbavu.”
            Sofia Lion aka Kanungaembe anakula mic “kusema ukweli haya mambo yanatisha. Ni ukatili, upumbavu na unyama vya hali ya juu. Nadhani kama kaya tunapaswa kuangalia historia yetu na kuzingatia umuhimu wa amani. Sidhani kama hawa wanaotaka kunyamazisha au kutoa roho za wenzao wana nafasi katika kaya hii. Sidhani kama hawa wanaotumia njia za giza ni wenzetu au wanataka kutuchonganisha? Maana haiwezekani mja aeleze maoni yake auawe. Hawa wana nia mbaya na kaya yetu. Hivyo, nashauri mamlaka ziwashughulikie haraka kabla mambo hayajavuka mipaka.”
            Mheshimiwa Bwege aliyekuwa kimya muda wote anaamua kukamuua mic “ nimewasikilizeni sana kwa muda mrefu. Hivyo nisemacho si kipya bali kutia msisitizo. Kwanza, nakubaliana huu ni ubwege wa mwaka kufikiri kuua nafsi kutaondoa tatizo. Pili, nakubaliana kabisa kuwa hapa lazima uwepo mkono wa mtu. Swali muhimu ni: kwanini ndata walipotaarifiwa hawakuchukua hatua wakati wanasifika kwa kumsweka Tunduni ndani bila makosa mara kwa mara? Lazima tuelezwe tujue. Maana hii kaya ni yetu sote bila kujali nani ni nani ilmradi uwe raia halali wa kaya hiii iliyozoeleka kuitwa kisiwa cha amani ambacho sasa kinageuka kisiwa cha mauaji na unyamazishaji. Hatuwezi woe kuwa mabwege kama hao wanaotaka kuua wenzao. Lazima tuseme hapana. Hivyo ndiyo sivyo.  Mtatupeleka pababaya mshindwe kututoa huko. Kubomoa ni rahisi kuliko kujenga. Ni bwege pekee adhaniaye kubomoa ni sehemu ya kujenga.”
            Kijiwe kikiwa kinanoga si likapita shangingi jeupe. Sie kwa hasira tulidhani ni la mabashite watekaji na wauaji. Tukiwa tumeliweka kati si akatoka mshikaji wetu ambaye jina sitaji!
Chanzo Tanzania Daima J'tano kesho.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 16:54

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Cordially and unlimitedly welcome to this blog.


Writing and reading are two different processes but which share the same goal-to educate, communicate and entertain.
It is my pleasure to have you as the guest of this tablet.
I, thus, warmly and always, welcome you to share ideas.
Importantly and eminently, shall there be anything amiss or you think can advance this blog, please donate it.
Allow me to humbly and kindly welcome you once again.
Nkwazi N Mhango- A Man And a Half

When wisdom brings no profit, to be wise is to suffer. Not all thoughts are good and constructive. Others are even worse than bullets. The good thinkers are the ones that think constructively for the manumission of all bin-Adams regardless their diversity. Mwl. Nkwazi N Mhango,
Canada.


Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

I Love My Country Tanzania

I Love My Country Tanzania

The Curse of Salvation

The Curse of Salvation

Gen Z and Internet Revolution

Gen Z and Internet Revolution

I Cry for Ambazonia and Darfur

I Cry for Ambazonia and Darfur

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

The Story of Stories

The Story of Stories

The Chant of Savant

The Chant of Savant

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

Epistle to Afrophobic South Africa

Epistle to Afrophobic South Africa

Magufulification

Magufulification

BORN NUDE

BORN NUDE

Total Pageviews

Heko Rais Magufuli

Heko Rais Magufuli

DECOLONISING EDUCATION

DECOLONISING EDUCATION

Kudos President Magufuli

Kudos President Magufuli

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

The Family Friend of Animals

The Family Friend of Animals
Children's Book

Matembezi Mbuga ya Wanyama

Matembezi Mbuga ya Wanyama
Kitabu cha Watoto

Our Heritage

Our Heritage
Children's Book

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

Perpetual Search

Perpetual Search

Africa's Best and Worst Presidents

Africa's Best and Worst Presidents

Psalm of the Oppressed

Psalm of the Oppressed
Psalm of the Oppressed

AFRICA REUNITE or PERISH

AFRICA REUNITE or PERISH
A new approach towards empowering Africa

BORN WITH VOICE

BORN WITH VOICE

Soul on Sale

Soul on Sale

Soul on Sale

Nyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

We are one

We are one

SAA YA UKOMBOZI

SAA YA UKOMBOZI

Feel at home

You are always welcome to this epistle again and again time after time, ad infinitum.


Most read Posts

  • Sarkozy’s Take on African Fat Cats a Welcome Move
    At last the chicken are coming home to roost! French authorities made a groundbreaking decision by culling three most corrupt African presid...
  • Napanga kuanza kuuza mitumba na si maneno
    Ingawa mimi si mtumba, napanga kuuza mitumba. Nimechoshwa na jamii ya mitumba. Kila kitu mitumba. Mitumba, mitumba mitupu. Siasa za mitumba...
  • Better or Bitter Life for all?
    When I deeply muse on how an arrogant and brutal cabal of hoity toity (Coverted Con Men (CCM)) is tirelessly hoodwinking and dividing the ho...
  • Africa's Becoming more Despotic and Nepotistic
    "King of Kings" Gaddaffi The seven-day 40th anniversary of Libya strongman’s autocratic rule and charade elections in Gabon where...
  • Kuna siku tutataifisha haya mahekalu haki ya nani
    Taarifa kuwa waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige alinunua nyumba kwa zaidi ya shilingi bilioni moja licha ya kuwastua wananchi na...
  • Nyangumi mdogo akutwa amekufa ufukweni BC
    Hii ni picha iliyotolewa ya Nyangumi aina ya Humpback ambaye alikumbwa na maji na kutupwa kwenye ufukwe wa bahari ya Pasifiki kwenye eneo l...
  • Kikwete, Charity Begins at Home!
    President Jakaya Kikwete Pea...
  • Kweli binadamu si chochote wala lolote, wamkumbuka huyu?
    Walioko madarakani mkiabudiwa kama miungu au sanamu kumbukeni vijana hawa hata baba zao  ambao maiti zao zinaoza jangwani. Ungewaambia...
  • Pinda kulia hakutoshi, awajibike
    INGAWA kilio cha Waziri Mkuu, Mizengo Peter Kayanza Pinda, kinaonekana kuyeyusha hasira za Watanzania kwa muda, kuna haja ya kudodosa zaidi....
  • Hawa si wachungaji bali ni fisi na mbwa mwitu
    KUMEZUKA mtindo mchafu na wa rejareja wa baadhi ya wachumia tumbo na matapeli kumtania hata kumtumia Mwenyezi Mungu kufanya utapeli na ujamb...

Followers

Blog Archive

  • ►  2025 (84)
    • ►  December (1)
    • ►  November (11)
    • ►  October (9)
    • ►  September (7)
    • ►  August (12)
    • ►  July (8)
    • ►  June (7)
    • ►  May (5)
    • ►  April (4)
    • ►  March (6)
    • ►  February (8)
    • ►  January (6)
  • ►  2024 (92)
    • ►  December (7)
    • ►  November (4)
    • ►  October (11)
    • ►  September (9)
    • ►  August (7)
    • ►  July (9)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (7)
    • ►  March (6)
    • ►  February (7)
    • ►  January (8)
  • ►  2023 (118)
    • ►  December (10)
    • ►  November (10)
    • ►  October (9)
    • ►  September (2)
    • ►  August (4)
    • ►  July (6)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (18)
    • ►  March (13)
    • ►  February (9)
    • ►  January (20)
  • ►  2022 (208)
    • ►  December (14)
    • ►  November (14)
    • ►  October (20)
    • ►  September (20)
    • ►  August (12)
    • ►  July (25)
    • ►  June (22)
    • ►  May (18)
    • ►  April (13)
    • ►  March (18)
    • ►  February (18)
    • ►  January (14)
  • ►  2021 (323)
    • ►  December (23)
    • ►  November (34)
    • ►  October (26)
    • ►  September (13)
    • ►  August (19)
    • ►  July (21)
    • ►  June (29)
    • ►  May (25)
    • ►  April (23)
    • ►  March (43)
    • ►  February (29)
    • ►  January (38)
  • ►  2020 (290)
    • ►  December (33)
    • ►  November (37)
    • ►  October (28)
    • ►  September (35)
    • ►  August (31)
    • ►  July (26)
    • ►  June (17)
    • ►  May (21)
    • ►  April (18)
    • ►  March (15)
    • ►  February (17)
    • ►  January (12)
  • ►  2019 (160)
    • ►  December (8)
    • ►  November (7)
    • ►  October (12)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (18)
    • ►  June (18)
    • ►  May (11)
    • ►  April (11)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (14)
  • ►  2018 (162)
    • ►  December (12)
    • ►  November (6)
    • ►  October (13)
    • ►  September (10)
    • ►  August (20)
    • ►  July (9)
    • ►  June (14)
    • ►  May (9)
    • ►  April (16)
    • ►  March (21)
    • ►  February (17)
    • ►  January (15)
  • ▼  2017 (306)
    • ►  December (20)
    • ►  November (23)
    • ►  October (20)
    • ▼  September (26)
      • Kujenga uzio ni kumaliza tatizo la 'danganyikanite...
      • Picha ya wiki: Aliyeko juu mngoje chini
      • The s-called Unknown people must be made known
      • Miaka miwili bila Mtikila
      • Kijiwe chamuunga mkono Dk Kanywaji Magu
      • Somo toka shambulizi dhidi ya Lissu
      • Long live African kings
      • Mlevi kupambana na watu wasiojulikana
      • Will the world let Qatar be bullied?
      • Wilaya ya Ilala isiwaonee ombaomba
      • Kijjiwe kwenda Nairobi kumjulia hali Lissu
      • Watu wasiojulikana: Barua ya wazi kwa rais Magufuli
      • Pole Tundu mwana wa Lissu
      • Tanzania: Island of peace or in pieces?
      • Zetu ni Uhamiaji au uhamishaji, biashara au bi has...
      • Kijiwe chafunga kumuombea Lissu
      • Magufuli anapaswa kusikiliza wimbo huu kwa makini
      • Wigs, robes a carryover of colonial courts
      • Barua ya wazi kwa maaskofu Kilaini na Nzigilwa
      • Mlevi ataka Katiba Mpya kama Kenya
      • Presidential rerun; Kenya isn't out of the wood yet
      • Katiba Mpya: Barua ya wazi kwa rais John Magufuli
      • Kijiwe champongeza pilato mkuu wa Kenya
      • Katiba mpya somo toka Kenya
      • The Photo of the week
      • Mlevi kuanzisha chuo cha uchungaji na ushehe
    • ►  August (31)
    • ►  July (31)
    • ►  June (34)
    • ►  May (26)
    • ►  April (24)
    • ►  March (20)
    • ►  February (28)
    • ►  January (23)
  • ►  2016 (269)
    • ►  December (22)
    • ►  November (21)
    • ►  October (22)
    • ►  September (15)
    • ►  August (12)
    • ►  July (27)
    • ►  June (24)
    • ►  May (23)
    • ►  April (29)
    • ►  March (26)
    • ►  February (27)
    • ►  January (21)
  • ►  2015 (399)
    • ►  December (34)
    • ►  November (24)
    • ►  October (22)
    • ►  September (34)
    • ►  August (29)
    • ►  July (37)
    • ►  June (22)
    • ►  May (32)
    • ►  April (35)
    • ►  March (46)
    • ►  February (47)
    • ►  January (37)
  • ►  2014 (502)
    • ►  December (47)
    • ►  November (49)
    • ►  October (47)
    • ►  September (37)
    • ►  August (40)
    • ►  July (42)
    • ►  June (30)
    • ►  May (35)
    • ►  April (47)
    • ►  March (44)
    • ►  February (39)
    • ►  January (45)
  • ►  2013 (399)
    • ►  December (37)
    • ►  November (27)
    • ►  October (31)
    • ►  September (26)
    • ►  August (33)
    • ►  July (39)
    • ►  June (28)
    • ►  May (40)
    • ►  April (44)
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (29)
  • ►  2012 (597)
    • ►  December (27)
    • ►  November (26)
    • ►  October (27)
    • ►  September (30)
    • ►  August (47)
    • ►  July (94)
    • ►  June (86)
    • ►  May (119)
    • ►  April (83)
    • ►  March (23)
    • ►  February (17)
    • ►  January (18)
  • ►  2011 (261)
    • ►  December (20)
    • ►  November (19)
    • ►  October (20)
    • ►  September (21)
    • ►  August (27)
    • ►  July (12)
    • ►  June (15)
    • ►  May (20)
    • ►  April (27)
    • ►  March (32)
    • ►  February (24)
    • ►  January (24)
  • ►  2010 (205)
    • ►  December (25)
    • ►  November (23)
    • ►  October (23)
    • ►  September (23)
    • ►  August (17)
    • ►  July (13)
    • ►  June (12)
    • ►  May (10)
    • ►  April (18)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (16)
  • ►  2009 (163)
    • ►  December (19)
    • ►  November (14)
    • ►  October (11)
    • ►  September (6)
    • ►  August (12)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (20)
    • ►  April (22)
    • ►  March (14)
    • ►  February (12)
    • ►  January (13)
  • ►  2008 (191)
    • ►  December (12)
    • ►  November (11)
    • ►  October (14)
    • ►  September (15)
    • ►  August (16)
    • ►  July (23)
    • ►  June (10)
    • ►  May (19)
    • ►  April (16)
    • ►  March (19)
    • ►  February (17)
    • ►  January (19)
  • ►  2007 (33)
    • ►  December (13)
    • ►  November (20)

About Me

My photo
View my complete profile

Travel theme. Powered by Blogger.