The Chant of Savant

Sunday 8 January 2012

Likitokea la kutokea tuseme kazi ya Mungu hapa?


Picha kwa hisani ya Michuzi blog.
Ingawa watu wetu ni maskini, tukubaliane kuwa umaskini wa kichwani ndiyo unaanza kutawala. Maana picha hii inatisha hata kuangalia acha kutokea lolote? Je wahusika hapa likitokea la kutokea, tuanze kumlaumu Mungu kweli au njaa zetu vichwani na ujinga wa kupita kiasi? Je watawala wetu waliotuahidi maisha bora wanajifunza nini hapa? Je hapa wa kulaumiwa si wote? Du jamaa wanavyojiamini utadhani wanateka maji!

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Yaani hapo hakuna wanalowaza zaidi ya kile wanachotaka..