The Chant of Savant

Monday 28 July 2014

Mkono wa Idd unapogeuka rushwa ya Idd!

Pichani ni mbunge wa Temeke (CCM) Abass Mtemvu akitoa box lenye zawadi za vikombe, vijiko. chupa ya chai na upuuzi mwingine kama mkono wa Idd. Unajiuliza, zawadi gani ina picha ya rais kama siyo rushwa ya Idd? Hata ukiangalia kinachoitwa zawadi ni udhalilishaji na umaskini mtupu. Viongozi wetu na wanasiasa wataacha lini kutukana dini kwa kuzitumia kisiasa?

6 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Duh kaaazi kwelikweli!!

Yasinta Ngonyani said...

Nimeiona ndugu wangu!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

D Yacinta kazi kweli kweli. Umeiona hiyo?

Anonymous said...

Zawadi zimetolewa na mbunge mtemvu au kikwete
Mbona mambo bongo poleni

Anonymous said...

Zawadi zimetolewa na mbunge mtemvu au kikwete
Mbona mambo bongo poleni

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon hata nami nilishangaa upuuzi huu. Matapeli watupu!