The Chant of Savant

Sunday 26 March 2017

Kwa Sasa Rais wa Tanzania ni Nani?

Image result for photos of magufuli na makonda

Tokana na mkanganyiko utokanao na upendeleo wa wazi tena wa kuvunja sheria na kulealea jinai baina ya rais John Pombe Magufuli na mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda aka Daudi Albert Bashite unashindwa kuelewa nani anatawala Tanzania kwa sasa. Hili ndilo chimbuko la swali hilo hapo juu. Je kati ya Magufuli na Makonda, nani anamtumia nani na kwanini?

No comments: