The Chant of Savant

Monday 28 July 2014

Picha ya mwezi ya blog hii

Tulitoa picha hii katika maadhimisho ya ndoa yetu hapo Julai 18. Katika kuangalia picha za mwezi huu, tumeona tujipendelee angalau turejeshe picha hii kwa vile ilionekana kuwa picha nzuri ya mwezi huu.

7 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ni kweli ni picha nzuri na HONGERENI SANA kwa siku yenu ya ndoa ila hamjasema ilikiwa miaka mingapi:-) kapulya huyooo

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Asante da Yacinta. Tunaikimbiza ishirini hivi. Tunamshukuru Mungu.

Anonymous said...

Mnapendeza kweli kweli.

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kaka Mhango kujibu...Hongera sana kwa mara nyingine tena. Na mlitokezea safi wenyewe

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Shukrani tena da Yacinta kwa hongera zako. Ubarikiwe sana.

Anonymous said...

Mkuu mnatisha sana. Mmetoka kweli kweli. Hongera sana.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon tunakushukuru sana. Ubarikiwe sana nawe.