The Chant of Savant

Monday 6 February 2012

Kujivua gamba CCM tushike la nani au ndiyo mwanzo wa mwisho?


“Haiwezekanitukaendelea kuwa na watu wa hovyo, lazima chama kijipange na kujiweka sawa ilikisipoteze sifa kwa jamii,” Jakaya Kikwete akiwa Mwanza jana. Anaongeza, "Hivi karibuni nikiwana NEC hapo Dodoma, nilitumia kauli ‘Nyoka Kujivua Gamba’. Usemi huo ulienezwatofauti kabisa. Kimsingi tulipitisha maazimio mengi, lakini wenzetu wameonaazimio moja tu la kujivua gamba.”


“Hatuwezi kuwa nachama imara kama hatukuondoa magamba, mwenyekiti wetu wa chama taifa lazimatuyaondoe magamba yanayokipaka chama matope.” Fredrick Sumaye akiwa Pangani mkoani Jana.


“Hata Waingerezawanatabia moja. Wakiona jambo linawasumbua, wanaunda Royal Commission, jambo hilolitachunguzwa kwa muda mrefu. Wakimaliza, watu wameshasahau,” Wilson Mukama katika mahojiano maalum na gazeti la Mwananchi wiki jana. Aliongeza,“Kufukuzana siyo dawa, si unaona jinsi jamii ilivyowageuka NCCR Mageuzi kwa kumfukuza David Kafulila au kufukuzwa kwa Hamad wa CUF. Sisi tumesema, kufukuzana siyo suluhisho.., utakuwa unashughulikia tu dalili wakati ugonjwa wenyewe haujaufikia,”

Kwa kauli hizo hapo juu tutegemee nini?

1 comment:

Anonymous said...

view discount designer wallets and check coupon code available