The Chant of Savant

Wednesday 15 February 2012

Rais huyu mstaafu anatufundisha nini kwa anavyoadhirika?

Nani angeamini kuwa baada ya rais kuitumikia nchi kwa miaka minne na kuweka miundo mbinu ya demokrasia bila kuiba hata shilingi moja angejikuta akifadhiliwa na mama
yake kwenye mabanda? Huyu simwingine bali rais mstaafu wa Sierra Leone, Valentine Esegragbo Melvine Strasser aliyetawala tangia mwaka 1992 hadi 1996 baada ya kunyakua madaraka kwa kuangusha Jenerali Joseph Momoh. Je hali hii inatufundisha nini? Je kwanini tunakuwa wepesi kufadhili mafisadi ilhali tukiwasulubu waadilifu? Huyu angekuwa amekwapua asingeteseka. Je nafsi yake ingekuwa huru? Inachanganya na kukera God knows. Kwa habari zaidi,BONYEZA HAPA

2 comments:

Anonymous said...

Soccer Jerseys
[url=http://www.jerseysqueens.com/]Wholesale Jerseys Price[/url] Custom Soccer Jerseys
[url=http://www.jerseysqueens.com/]Wholesale Soccer Jerseys[/url]

Anonymous said...

Get free stuff here:
http://blog.erolove.in/?new-ey.html
http://blog.erolove.in/land?browse-fe.html