The Chant of Savant

Sunday 16 July 2017

Je ni kipi kimemsibu rais Kabila hadi akavimba jicho?

Hivi karibuni picha ya rais Joseph Kabila wa DRC ilisambaa kwenye mitandao akiwa amevimba jicho baada ya kuumizwa vibaya. Je aliumizwa na nini? Wengi wangependa kujua kilichomvibisha jicho rais Kabila kiasi hiki. Kila alikuwa na lake kiasi cha kuzua mtafaruko. Fuatilieni mjue kilichomsibu king'ang'anizi huyu aliyerithi urais baada ya baba yake kuuawa kwa kupigwa risasi.

No comments: