Free Thinking

I Fear Nothing But Fear Itself

The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Wednesday, 26 July 2017

Kijiwe kwenda Ukonga kuwasalimia akina Escrew

          Leo Mgoshi Machungi amekuja na mpya. Si alikishangaza kijiwe aliposema kuwa alikwenda Keko kumuona Mgoshi Semtwashua na kuambiwa kuwa wale watuhumiwa wa Escrew wanaishi kwenye vyumba vya VIP lupango.
            Baada ya kuamkua anakula mic “wagoshi jana niishangaa sana.” Kabla ya kuendelea Mbwamwitu anadakia “kwani ulikwenda feri au bandari kushangaa namna vichwa 15 vinavyoweza kuingia na kupakuliwa bandarini bila kujulikana mwenyewe? Au ulikuwa chumbani ambako maji huingia sehemu na kugeuka kiumbe? Si ulisikia juzi namna watasha walivyotengeneza kondoo Dolly kwenye chupa tena kwa kutumia maji ya nonihino?”
            Mgoshi anajibu “hii hainishangazi hasa tikizingatia kuwa bado tina watu wanaodhani kuwa Dokta Kanywaji hawezi kuwatumbua kama aivowafanyia akina Eskoo ambao hata hivyo niiambiwa kuwa wanaisha kwenye vyumba vya VIP wakitanua kama vie hawako upango.”
            Kapende anampoka Mgoshi mic “ina maana Dokta Kanywaji amezidiwa ujanja na ndata wa lupango au ni uzushi wa kawaida? Nitashangaa na kusikitika kama habari hizi zitakuwa za kweli. Ama kweli ukishangaa ya Escrew utaona ya IPTL! hata hivyo, nani ajuaye? Lolote lawezekana kwenye kaya hii ya maajabu.”
            Kabla ya kujibu Kanji anakwanyua mic “na mimi iko sikia toka vatu yangu ya karibuni kuva ile vatu ya escrew naishi kama iko jumbani yao. Iko moja naambia mimi kuva napelekewa hata bibi kuburudisa yeye. Hii kaya iko complications mingi dugu yangu. Mimi ikodhani kuwa Svahili sana nagombea ile Singasinga kama bwabwa.”
            Kabla ya kuendelea mzee Maneno anamchomekea “hii kweli kali! acha ndugu yangu Kanji nikuchomekee. Mana sikuelewi. Unamaanisha nini unaposema kuwa Swahili nagombea Singasinga kama ubwabwa? Sasa kama napelekewa bibi kwanini isigombee hiyo bibi badala ya kugombea Singasinga au wanagombea yote kiasi cha Singasinga kulalamika kuwa haipati singizi tokana na hofu kama vilivyoripoti vyombo vya umbea hivi karibuni?”
            Kabla ya kujibu Mpemba anajibu “hapa mie ndhani huyu aongelea yale mambo ya Popobawa. Maana, nasikia haya mambo yako sana kule ati. Kwani yeye nani asiliwe? Mie ningependa nisikie kuwa nao yakhe waliwa kama walivokula njuluku zetu wallahi.”
            Mijjinga anakatua mic “mie Singasinga hanipi taabu. Nitasherehekea na kuwamwagia ofa ya kahawa kama nikisikia kuwa na Nshomile Rugetumbuliwa naye anashikishwa ukuta. Kwanini wao watutese wasiteseke? Kwanini wale vyetu vyao visiliwe? Natamani ningekuwa kule niwasheherehekee kama walivyosherehekea njuluku zetu.”
            Mchunguliaji anachomekea “mbona wanashikishwa ukuta sana kila wakitoka na kuingia. Mie nayajua maisha ya lupango. Ukitoka kwa pilato unavuliwa nguo zote ili kuhakikisha huiingii na mabomu kama vile bangi, fedha na mambo mengine. Jamaa kule wana laana ile mbaya. Wanakupekuwa kila mahali tena ukiwa uchi wa mnyama. Hivyo, kushikishwa ukuta wala si ajabu wala adhabu. Ni utaratibu wa kawaida.”
            Msomi Mkatatamaa aliyekuwa akibukua jarida moja la kimataifa liitwalo Corrupt Poor Countries anakula mic “Mtu binafsi akiliwa siyo real deal. Kama wao walituibia, kuna kosa gani yakawakuta haya? Hata hivyo, dua la kuku halimpati mwewe.  Kama alivyosema Mgoshi na Kanji, intelligence yangu inaniambia kuwa hawa jamaa wanaishi kama wako uraiani hasa ikizingatiwa kuwa wana njuluku ya kuhonga na kupewa upendeleo. Kama bangi na simu za mkononi zinapenyezwa, watashindwa kuhonga na kupewa upendeleo hasa ikizingatiwa kuwa kwao njuluku ambao hawakuzitolea jasho si tatizo. Sitashangaa kukuta madai haya ni ya kweli hasa ikizingatiwa kuwa bado kaya yetu ina ufisadi ambao umegeuka donda ndugu. Kinachofurahisha ni kwamba angalau Dokta Kanywaji amethubutu waliposhindwa wengi kiasi cha kuwatia kiwewe hadi wakamfuata kwake kumramba makalio kama alivyofanya Tunituni Makapi hadi akapayuka kuwa wapingaji ni wapumbavu asijue naye ni wale wale.”
            “Msomi usinikumbushe fisadi huyu mjivuni ambaye, hata hivyo, vyombo vya umbea havikumlazia damu zaidi ya kumpa kavu kavu aache upumbavu na upayukaji asijeishia walikoishia wenzake wa Brazil na Korea ya Kusini hivi karibuni walipofikishwa mbele ya haki bila kutarajia,” anachomekea Mipawa huku akiendelea kufyonza kipisi chake cha sigara kali.
            Mheshimiwa Bwege aliyekuwa akisikiliza kwa makini anaamua kutia guu “mie mpaka sasa sina imani na mazingaombwe na sanaa zinazoendelea mbele ya mapilato hasa kutokana na kuachiwa na wale jamaa wa Bandarini ambao walipiga wazi wazi wakaishia kuchomoka. Sijui walitembeza chochote kitu au waliowanasa hawakufanya homework yao vizuri. Maana system sasa inaonekana bwege na cha mtoto kiasi cha kuwadaka mafisadi wakachomoka kirahisi. Je hapa tatizo liko wapi au kuna namna mapilato nao wanafanya kama siyo mandata wanaochunguza kesi husika?”
            Sofia Lion aka Kanungaembe anakwanyua mic “kaka lolote linawezekana. Unategemea nini mapilato wanapokuwa kama yule aliyekwanyua njuluku za Escrew aliyelazimishwa kutema ulaji hivi majuzi? Sijui naye ataunganishwa na akina Bill Gereza na Endelea Chenga na profwedheha Anae Kajuamlo kwenda lupango lau kufanya vitu vyao kwenye mtondoo?”
            Kijiwe kikiwa kinaendelea si likapita shangingi la Bashite? Acha tumzomee tukitaka naye apelekekwe lupango kwa kughushi.
Chazo; Tanzania Daima Jumatano leo.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 10:16

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Cordially and unlimitedly welcome to this blog.


Writing and reading are two different processes but which share the same goal-to educate, communicate and entertain.
It is my pleasure to have you as the guest of this tablet.
I, thus, warmly and always, welcome you to share ideas.
Importantly and eminently, shall there be anything amiss or you think can advance this blog, please donate it.
Allow me to humbly and kindly welcome you once again.
Nkwazi N Mhango- A Man And a Half

When wisdom brings no profit, to be wise is to suffer. Not all thoughts are good and constructive. Others are even worse than bullets. The good thinkers are the ones that think constructively for the manumission of all bin-Adams regardless their diversity. Mwl. Nkwazi N Mhango,
Canada.


Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

I Love My Country Tanzania

I Love My Country Tanzania

The Curse of Salvation

The Curse of Salvation

Gen Z and Internet Revolution

Gen Z and Internet Revolution

I Cry for Ambazonia and Darfur

I Cry for Ambazonia and Darfur

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

The Story of Stories

The Story of Stories

The Chant of Savant

The Chant of Savant

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

Epistle to Afrophobic South Africa

Epistle to Afrophobic South Africa

Magufulification

Magufulification

BORN NUDE

BORN NUDE

Total Pageviews

Heko Rais Magufuli

Heko Rais Magufuli

DECOLONISING EDUCATION

DECOLONISING EDUCATION

Kudos President Magufuli

Kudos President Magufuli

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

The Family Friend of Animals

The Family Friend of Animals
Children's Book

Matembezi Mbuga ya Wanyama

Matembezi Mbuga ya Wanyama
Kitabu cha Watoto

Our Heritage

Our Heritage
Children's Book

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

Perpetual Search

Perpetual Search

Africa's Best and Worst Presidents

Africa's Best and Worst Presidents

Psalm of the Oppressed

Psalm of the Oppressed
Psalm of the Oppressed

AFRICA REUNITE or PERISH

AFRICA REUNITE or PERISH
A new approach towards empowering Africa

BORN WITH VOICE

BORN WITH VOICE

Soul on Sale

Soul on Sale

Soul on Sale

Nyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

We are one

We are one

SAA YA UKOMBOZI

SAA YA UKOMBOZI

Feel at home

You are always welcome to this epistle again and again time after time, ad infinitum.


Most read Posts

  • Sarkozy’s Take on African Fat Cats a Welcome Move
    At last the chicken are coming home to roost! French authorities made a groundbreaking decision by culling three most corrupt African presid...
  • Napanga kuanza kuuza mitumba na si maneno
    Ingawa mimi si mtumba, napanga kuuza mitumba. Nimechoshwa na jamii ya mitumba. Kila kitu mitumba. Mitumba, mitumba mitupu. Siasa za mitumba...
  • Better or Bitter Life for all?
    When I deeply muse on how an arrogant and brutal cabal of hoity toity (Coverted Con Men (CCM)) is tirelessly hoodwinking and dividing the ho...
  • Africa's Becoming more Despotic and Nepotistic
    "King of Kings" Gaddaffi The seven-day 40th anniversary of Libya strongman’s autocratic rule and charade elections in Gabon where...
  • Kuna siku tutataifisha haya mahekalu haki ya nani
    Taarifa kuwa waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige alinunua nyumba kwa zaidi ya shilingi bilioni moja licha ya kuwastua wananchi na...
  • Nyangumi mdogo akutwa amekufa ufukweni BC
    Hii ni picha iliyotolewa ya Nyangumi aina ya Humpback ambaye alikumbwa na maji na kutupwa kwenye ufukwe wa bahari ya Pasifiki kwenye eneo l...
  • Kikwete, Charity Begins at Home!
    President Jakaya Kikwete Pea...
  • Kweli binadamu si chochote wala lolote, wamkumbuka huyu?
    Walioko madarakani mkiabudiwa kama miungu au sanamu kumbukeni vijana hawa hata baba zao  ambao maiti zao zinaoza jangwani. Ungewaambia...
  • Pinda kulia hakutoshi, awajibike
    INGAWA kilio cha Waziri Mkuu, Mizengo Peter Kayanza Pinda, kinaonekana kuyeyusha hasira za Watanzania kwa muda, kuna haja ya kudodosa zaidi....
  • Hawa si wachungaji bali ni fisi na mbwa mwitu
    KUMEZUKA mtindo mchafu na wa rejareja wa baadhi ya wachumia tumbo na matapeli kumtania hata kumtumia Mwenyezi Mungu kufanya utapeli na ujamb...

Followers

Blog Archive

  • ►  2025 (84)
    • ►  December (1)
    • ►  November (11)
    • ►  October (9)
    • ►  September (7)
    • ►  August (12)
    • ►  July (8)
    • ►  June (7)
    • ►  May (5)
    • ►  April (4)
    • ►  March (6)
    • ►  February (8)
    • ►  January (6)
  • ►  2024 (92)
    • ►  December (7)
    • ►  November (4)
    • ►  October (11)
    • ►  September (9)
    • ►  August (7)
    • ►  July (9)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (7)
    • ►  March (6)
    • ►  February (7)
    • ►  January (8)
  • ►  2023 (118)
    • ►  December (10)
    • ►  November (10)
    • ►  October (9)
    • ►  September (2)
    • ►  August (4)
    • ►  July (6)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (18)
    • ►  March (13)
    • ►  February (9)
    • ►  January (20)
  • ►  2022 (208)
    • ►  December (14)
    • ►  November (14)
    • ►  October (20)
    • ►  September (20)
    • ►  August (12)
    • ►  July (25)
    • ►  June (22)
    • ►  May (18)
    • ►  April (13)
    • ►  March (18)
    • ►  February (18)
    • ►  January (14)
  • ►  2021 (323)
    • ►  December (23)
    • ►  November (34)
    • ►  October (26)
    • ►  September (13)
    • ►  August (19)
    • ►  July (21)
    • ►  June (29)
    • ►  May (25)
    • ►  April (23)
    • ►  March (43)
    • ►  February (29)
    • ►  January (38)
  • ►  2020 (290)
    • ►  December (33)
    • ►  November (37)
    • ►  October (28)
    • ►  September (35)
    • ►  August (31)
    • ►  July (26)
    • ►  June (17)
    • ►  May (21)
    • ►  April (18)
    • ►  March (15)
    • ►  February (17)
    • ►  January (12)
  • ►  2019 (160)
    • ►  December (8)
    • ►  November (7)
    • ►  October (12)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (18)
    • ►  June (18)
    • ►  May (11)
    • ►  April (11)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (14)
  • ►  2018 (162)
    • ►  December (12)
    • ►  November (6)
    • ►  October (13)
    • ►  September (10)
    • ►  August (20)
    • ►  July (9)
    • ►  June (14)
    • ►  May (9)
    • ►  April (16)
    • ►  March (21)
    • ►  February (17)
    • ►  January (15)
  • ▼  2017 (306)
    • ►  December (20)
    • ►  November (23)
    • ►  October (20)
    • ►  September (26)
    • ►  August (31)
    • ▼  July (31)
      • Waswahili Wasiojua Mateso na Umaskini wa Magabacho...
      • Kwanini Hamad na Lipumba wamejivika kitanzi?
      • Kafulila, Magufuli,Tumbili na We-rema
      • Farewell Robert Mugabe!
      • Time for our neighbours to right their past mistakes
      • Baada ya Escrow Lugumi na UDA nao watumbuliwe
      • Kijiwe kwenda Ukonga kuwasalimia akina Escrew
      • Wiki hii namkumbuka shujaa wangu Mahlathini
      • Magufuli atafanikiwa kutumikia mabwana wawili?
      • Je ni kweli Magufuli anapanga kuiba kura Kenya?
      • Kwa Weekend faidi hii kitu
      • Wanaopinga si wapumbavu bali wasiotaka kupingwa
      • IPTL is not a grave – it’s a massive graveyard
      • Leo Tumetimiza miaka 19 ya Ndoa
      • Baada ya Escrow Lugumi na UDA nao watumbuliwe
      • Kijiwe kwenda Ukonga kuwasalimia akina Escrew
      • Je ni kipi kimemsibu rais Kabila hadi akavimba jicho?
      • Mkapa: Better keep your mouth shut
      • Uwajibikaji: Heri Mkapa angejinyamazia
      • Barua ya wazi kwa wanufaika wa Escrew
      • Kati ya wapinzani na Mkapa nani mpumbavu?
      • Is DART transformative or transgressive?
      • Barua ya wazi kwa Halima Mdee
      • Kijiwe chakumbushia uchunguzi wa uvamizi wa Klouds
      • Will Kenyans Celebrate or Mourn Nicholas Biwott?
      • Kumpinga rais au serikali si jinai
      • Bi Mkubwa wangu kweli Mwanaume kama Akashia!
      • Fighting corruption: A lesson from South Korea
      • Ama kweli aliyeko juu mngoje chini! Nani alitegeme...
      • Wizi wa Escrow tuanze na IPTL
      • Sijui hapa binadamu ni yupi na wanyama ni wapi
    • ►  June (34)
    • ►  May (26)
    • ►  April (24)
    • ►  March (20)
    • ►  February (28)
    • ►  January (23)
  • ►  2016 (269)
    • ►  December (22)
    • ►  November (21)
    • ►  October (22)
    • ►  September (15)
    • ►  August (12)
    • ►  July (27)
    • ►  June (24)
    • ►  May (23)
    • ►  April (29)
    • ►  March (26)
    • ►  February (27)
    • ►  January (21)
  • ►  2015 (399)
    • ►  December (34)
    • ►  November (24)
    • ►  October (22)
    • ►  September (34)
    • ►  August (29)
    • ►  July (37)
    • ►  June (22)
    • ►  May (32)
    • ►  April (35)
    • ►  March (46)
    • ►  February (47)
    • ►  January (37)
  • ►  2014 (502)
    • ►  December (47)
    • ►  November (49)
    • ►  October (47)
    • ►  September (37)
    • ►  August (40)
    • ►  July (42)
    • ►  June (30)
    • ►  May (35)
    • ►  April (47)
    • ►  March (44)
    • ►  February (39)
    • ►  January (45)
  • ►  2013 (399)
    • ►  December (37)
    • ►  November (27)
    • ►  October (31)
    • ►  September (26)
    • ►  August (33)
    • ►  July (39)
    • ►  June (28)
    • ►  May (40)
    • ►  April (44)
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (29)
  • ►  2012 (597)
    • ►  December (27)
    • ►  November (26)
    • ►  October (27)
    • ►  September (30)
    • ►  August (47)
    • ►  July (94)
    • ►  June (86)
    • ►  May (119)
    • ►  April (83)
    • ►  March (23)
    • ►  February (17)
    • ►  January (18)
  • ►  2011 (261)
    • ►  December (20)
    • ►  November (19)
    • ►  October (20)
    • ►  September (21)
    • ►  August (27)
    • ►  July (12)
    • ►  June (15)
    • ►  May (20)
    • ►  April (27)
    • ►  March (32)
    • ►  February (24)
    • ►  January (24)
  • ►  2010 (205)
    • ►  December (25)
    • ►  November (23)
    • ►  October (23)
    • ►  September (23)
    • ►  August (17)
    • ►  July (13)
    • ►  June (12)
    • ►  May (10)
    • ►  April (18)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (16)
  • ►  2009 (163)
    • ►  December (19)
    • ►  November (14)
    • ►  October (11)
    • ►  September (6)
    • ►  August (12)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (20)
    • ►  April (22)
    • ►  March (14)
    • ►  February (12)
    • ►  January (13)
  • ►  2008 (191)
    • ►  December (12)
    • ►  November (11)
    • ►  October (14)
    • ►  September (15)
    • ►  August (16)
    • ►  July (23)
    • ►  June (10)
    • ►  May (19)
    • ►  April (16)
    • ►  March (19)
    • ►  February (17)
    • ►  January (19)
  • ►  2007 (33)
    • ►  December (13)
    • ►  November (20)

About Me

My photo
View my complete profile

Travel theme. Powered by Blogger.