The Chant of Savant

Thursday 20 October 2011

Breaking News Gadaffi ameuawa


Habari zilizorushwa na kituo cha Televisheni cha Al Jazeera zinasema kuwa imla wa zamani wa Libya Muamar Gadaffi ameuawa leo baada ya kustukiwa na wapiganaji wa serikali ya mpito (NTC). Hata hivyo habari za uhakika hazijatolewa na serikali. Hivyo habari zinazozidi kutoka zinachukuliwa kwa umakini mkubwa. Habari za uhakika ni kwamba msemaji wake Musa Ibrahim yumo mbaroni baada ya kuanguka mji wa Sirte ambao ni nyumbani kwa Gadaffi na ngome ya mwisho ya imla huyu.

No comments: