Free Thinking

I Fear Nothing But Fear Itself

The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Saturday, 26 November 2016

Miaka mitatu bila Dk Sengondo Mvungi

 
            Leo ni miaka mitatu na siku chache tangu Dk Sengodo Mvungi afariki dunia.  Kwanza, niwatahadharishe wasomaji wa safu hii. Makala hii nimeiandika nikiwa soba kabisa bila kupata kitu chochote. Hivyo, msishangae mkidhani nimedesa kwa mtu. Hii inaonyesha sura yangu ya pili ambayo wengi hawaijui. Hayo tuyaache.
            Japo Mvungi alizikwa, kuombolezwa hata kupendwa na wengi, sijui kama bado wengi hao wanamkumbuka. Sijui kama wanakumbuka yale mema yote aliyosimamia na kutenda.  Sijui kama wanamkumbuka kama moja wa watu waliosukuma taifa mbele taifa. Sijui kama kama ndani ya kipindi kifupi tu cha miaka mitatu aliyotoweka angesahaulika kirahisi hivi hasa kwa wale walioangusha kazi pevu aliyofanya. Kusema ukweli; kitendo kilichofanywa cha kuzika Katiba Mpya ni dharau ya aina yake kwa marehemu Dk Mvungi. Kwa utamaduni wa kiafrika, mja anapoaga dunia, waliosalia hupenda kuyaenzi yale aliyoyatenda hasa katika mwisho wa uhai wake.  Hata hivyo, tokana na dhuluma na dharau hii, sijui kama hao watukufu bado wana hamu naye kwa namna wanadamu tulivyo wasahaulifu kana kwamba kuna watakaoishi milele.  Dk Mvungi aliyefia nchini Afrika Kusini mnamo 21 Novemba, 2013 wakati akifanyiwa matibabu baada ya kushambuliwa na majambazi nyumbani kwake. Heri wangemwimbia wakamwachia uhai wake ili aendelee kulitumikia taifa lake na watu wake bila kinyongo wala kuchoka katika nafasi zote alizotumika nchini. 
            Kwa tunaomfahamu na kumkumbuka, Mvungi alikuwa msomi mbobezi wa sheria, mchangamfu, asiye na makuu ambaye angeweza kujichanganya na makapuku bila kujali hadhi yao kimaisha, mwanasiasa na mtetezi wa haki za binadamu wa kupigiwa mfano. Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) wanalifahamu hili na ni mashahidi tosha wa umahiri wa Mvungi katika kutetea haki za wanyongo. Mbali na hiyo, mchango wake katika kuandika Katiba Mpya iliyouawa na mafisadi haumithiliki ingawa umesahaulika kutokana na kuzikwa kwa katiba husika na majahiri wasiojua kuwa siku yao nao ipo. Wale waliofanya kazi naye kwenye tume hii wanajua umahiri na kujitoa mhanga kwake kwa niaba ya wenzake. Wale waliobahatika kukutana naye iwe ni kikazi au nje ya kazi, ni mashahidi tosha wanaoweza kumweleza marehemu Mvungi alivyokuwa mtu wa watu. Kwa maana hiyo, wengi walidhani; wenye mamlaka walilomteua kuwa mjumbe wa kamati ya kukusanya maoni ya wananchi ya Katiba Mpya wangeipitisha tena bila kuichafua na kuichakachua kama njia mojawapo ya kumuenzi mzalendo huyu mtoto wa taifa hili aliyelipenda bila shaka yoyote. Hata hivyo, hii haikuwa. Ni kiburi na kujilisha pepo kiasi gani? Kwani, wao wataishi au kudhulumu milele? Binadamu ni nini zaidi ya kuwa mavumbi yanayongoja kutawanyishwa na upepo na wadudu?
            Dhumuni ya kuandika waraka huu–licha ya kumkumbuka Mvungi angalau iwe faraja kwake, familia yake, marafiki zake na wapendwa wake–nalenda kumrejesha kwenye hadhira lau kutafakari urathi alioacha kama mwadamu muadilifu na mpenda na mtetea haki. Najua hawezi kujibu waraka wangu; lakini anaona. Kwani walichoua ni mwili si roho ya marehemu. Katika kumbukumbu yangu ya Dk Mvungi, licha ya kuongea na wasomaji, naongea na wenye madaraka watende haki kama sehemu ya kumuenzi Dk Mvungi aliyekuwa mpigania haki mahiri na asiyechoka.
            Pili, tupambane na ujambazi na kila aina ya jinai vilivyotamalaki nchini mwetu. Kwani, kilichomuua Mvungi si kingine bali ujambazi huu huu ambao utawala uliopita ulionekana kuridhika nao kiasi cha kuulea kutokana na serikali kuwa goigoi na iliyokuwa ikijiendesha bila uongozi imara na wenye visheni. Sasa mambo yamebadilika. Tuna serikali mpya yenye makali angalau. Tunawaomba wenye mamlaka waliopo kulifanyia kazi hili ili tusipoteze Dk Mvungi wengine ambao taifa linawahitaji. Hatutaongelea waliomuua Dk Mvungi kwa vile kesi iko mahakamani.
            Tatu, tupambane na ufisadi na ulafi wa kimfumo unaohamasisha wahalifu kutafuta utajiri wa haraka hata kwa kuwaua wenzao. Ningependa siku moja kila mtanzania aeleze alivyochuma mali zake ili wanaopata utajiri kwa njia haramu wataifishwe na kuwajibishwa kisheria jambo ambalo bila shaka litaondoa motisha wa baadhi ya wenzetu kutenda maovu kama, kuwadhuru, kuwaua na kuwaibia wenzao.
            Nne, katika kutenda haki kwa watanzania wote, tunapaswa kurejesha kanuni na maadili ya utumishi wa umma. Maana bila kanuni hizi tutapoteza muda kwa kutegemea ukereketwa wa viongozi wachache.
            Mwisho, napenda kuiomba jamii ya watanzania popote ilipo, imuenzi marehemu Mvungi kwa kupigania na kutenda haki; vitu ambavyo vilimtambulisha ulimwenguni. Pia tunaipa mkono wa rambirambi familia ya marehemu katika kuadhimisha miaka mitatu ya kifo cha Mvungi. Najua wao huadhimisha maisha ya marehemu kila sekunde, kila dakika, kila siku, kila wiki, kila mwezi na kila mwaka. Nawaombea faraja katika safari hii ngumu yenye kila majaribu na kukatisha tamaa. Faraja kubwa ni moja kuwa yeye alitangulia, sie tuko nyuma yake. Kwa wale waliozoea ulevi naomba wanisamehe. Huu ni msiba. Auhitaji utani hasa ikizingatiwa kuwa kila nafsi itaonja mauti.
Chanzo: Nipashe Jumamosi leo.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 09:20

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Cordially and unlimitedly welcome to this blog.


Writing and reading are two different processes but which share the same goal-to educate, communicate and entertain.
It is my pleasure to have you as the guest of this tablet.
I, thus, warmly and always, welcome you to share ideas.
Importantly and eminently, shall there be anything amiss or you think can advance this blog, please donate it.
Allow me to humbly and kindly welcome you once again.
Nkwazi N Mhango- A Man And a Half

When wisdom brings no profit, to be wise is to suffer. Not all thoughts are good and constructive. Others are even worse than bullets. The good thinkers are the ones that think constructively for the manumission of all bin-Adams regardless their diversity. Mwl. Nkwazi N Mhango,
Canada.


Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

I Love My Country Tanzania

I Love My Country Tanzania

The Curse of Salvation

The Curse of Salvation

Gen Z and Internet Revolution

Gen Z and Internet Revolution

I Cry for Ambazonia and Darfur

I Cry for Ambazonia and Darfur

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

The Story of Stories

The Story of Stories

The Chant of Savant

The Chant of Savant

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

Epistle to Afrophobic South Africa

Epistle to Afrophobic South Africa

Magufulification

Magufulification

BORN NUDE

BORN NUDE

Total Pageviews

Heko Rais Magufuli

Heko Rais Magufuli

DECOLONISING EDUCATION

DECOLONISING EDUCATION

Kudos President Magufuli

Kudos President Magufuli

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

The Family Friend of Animals

The Family Friend of Animals
Children's Book

Matembezi Mbuga ya Wanyama

Matembezi Mbuga ya Wanyama
Kitabu cha Watoto

Our Heritage

Our Heritage
Children's Book

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

Perpetual Search

Perpetual Search

Africa's Best and Worst Presidents

Africa's Best and Worst Presidents

Psalm of the Oppressed

Psalm of the Oppressed
Psalm of the Oppressed

AFRICA REUNITE or PERISH

AFRICA REUNITE or PERISH
A new approach towards empowering Africa

BORN WITH VOICE

BORN WITH VOICE

Soul on Sale

Soul on Sale

Soul on Sale

Nyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

We are one

We are one

SAA YA UKOMBOZI

SAA YA UKOMBOZI

Feel at home

You are always welcome to this epistle again and again time after time, ad infinitum.


Most read Posts

  • Sarkozy’s Take on African Fat Cats a Welcome Move
    At last the chicken are coming home to roost! French authorities made a groundbreaking decision by culling three most corrupt African presid...
  • Napanga kuanza kuuza mitumba na si maneno
    Ingawa mimi si mtumba, napanga kuuza mitumba. Nimechoshwa na jamii ya mitumba. Kila kitu mitumba. Mitumba, mitumba mitupu. Siasa za mitumba...
  • Better or Bitter Life for all?
    When I deeply muse on how an arrogant and brutal cabal of hoity toity (Coverted Con Men (CCM)) is tirelessly hoodwinking and dividing the ho...
  • Africa's Becoming more Despotic and Nepotistic
    "King of Kings" Gaddaffi The seven-day 40th anniversary of Libya strongman’s autocratic rule and charade elections in Gabon where...
  • Kuna siku tutataifisha haya mahekalu haki ya nani
    Taarifa kuwa waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige alinunua nyumba kwa zaidi ya shilingi bilioni moja licha ya kuwastua wananchi na...
  • Nyangumi mdogo akutwa amekufa ufukweni BC
    Hii ni picha iliyotolewa ya Nyangumi aina ya Humpback ambaye alikumbwa na maji na kutupwa kwenye ufukwe wa bahari ya Pasifiki kwenye eneo l...
  • Kikwete, Charity Begins at Home!
    President Jakaya Kikwete Pea...
  • Kweli binadamu si chochote wala lolote, wamkumbuka huyu?
    Walioko madarakani mkiabudiwa kama miungu au sanamu kumbukeni vijana hawa hata baba zao  ambao maiti zao zinaoza jangwani. Ungewaambia...
  • Pinda kulia hakutoshi, awajibike
    INGAWA kilio cha Waziri Mkuu, Mizengo Peter Kayanza Pinda, kinaonekana kuyeyusha hasira za Watanzania kwa muda, kuna haja ya kudodosa zaidi....
  • Hawa si wachungaji bali ni fisi na mbwa mwitu
    KUMEZUKA mtindo mchafu na wa rejareja wa baadhi ya wachumia tumbo na matapeli kumtania hata kumtumia Mwenyezi Mungu kufanya utapeli na ujamb...

Followers

Blog Archive

  • ►  2025 (84)
    • ►  December (1)
    • ►  November (11)
    • ►  October (9)
    • ►  September (7)
    • ►  August (12)
    • ►  July (8)
    • ►  June (7)
    • ►  May (5)
    • ►  April (4)
    • ►  March (6)
    • ►  February (8)
    • ►  January (6)
  • ►  2024 (92)
    • ►  December (7)
    • ►  November (4)
    • ►  October (11)
    • ►  September (9)
    • ►  August (7)
    • ►  July (9)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (7)
    • ►  March (6)
    • ►  February (7)
    • ►  January (8)
  • ►  2023 (118)
    • ►  December (10)
    • ►  November (10)
    • ►  October (9)
    • ►  September (2)
    • ►  August (4)
    • ►  July (6)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (18)
    • ►  March (13)
    • ►  February (9)
    • ►  January (20)
  • ►  2022 (208)
    • ►  December (14)
    • ►  November (14)
    • ►  October (20)
    • ►  September (20)
    • ►  August (12)
    • ►  July (25)
    • ►  June (22)
    • ►  May (18)
    • ►  April (13)
    • ►  March (18)
    • ►  February (18)
    • ►  January (14)
  • ►  2021 (323)
    • ►  December (23)
    • ►  November (34)
    • ►  October (26)
    • ►  September (13)
    • ►  August (19)
    • ►  July (21)
    • ►  June (29)
    • ►  May (25)
    • ►  April (23)
    • ►  March (43)
    • ►  February (29)
    • ►  January (38)
  • ►  2020 (290)
    • ►  December (33)
    • ►  November (37)
    • ►  October (28)
    • ►  September (35)
    • ►  August (31)
    • ►  July (26)
    • ►  June (17)
    • ►  May (21)
    • ►  April (18)
    • ►  March (15)
    • ►  February (17)
    • ►  January (12)
  • ►  2019 (160)
    • ►  December (8)
    • ►  November (7)
    • ►  October (12)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (18)
    • ►  June (18)
    • ►  May (11)
    • ►  April (11)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (14)
  • ►  2018 (162)
    • ►  December (12)
    • ►  November (6)
    • ►  October (13)
    • ►  September (10)
    • ►  August (20)
    • ►  July (9)
    • ►  June (14)
    • ►  May (9)
    • ►  April (16)
    • ►  March (21)
    • ►  February (17)
    • ►  January (15)
  • ►  2017 (306)
    • ►  December (20)
    • ►  November (23)
    • ►  October (20)
    • ►  September (26)
    • ►  August (31)
    • ►  July (31)
    • ►  June (34)
    • ►  May (26)
    • ►  April (24)
    • ►  March (20)
    • ►  February (28)
    • ►  January (23)
  • ▼  2016 (269)
    • ►  December (22)
    • ▼  November (21)
      • Makonda na Sirro wachunguzwe wote
      • Kijiwe chamuunga mkono askofu Mokiwa
      • Nchi ya viwanda Escrow, UDA, NSSF nk wapi na wapi?
      • Miaka mitatu bila Dk Sengondo Mvungi
      • Kijiwe chashangaa wanaoshupalia njuluku ya tetemeko
      • Magufuli unangoja nini kumtumbua Makonda?
      • Je Tanzania inao wageni wanaohodhi ardhi wangapi?
      • Mlevi afuta safari kwenda kutibiwa Ughaibuni
      • Exiting the ICC: This is Lovely
      • How the West Depends on Africa but not vice versa
      • Kama Magufuli hataki kuchimbua makaburi anyamaze
      • Kijiwe champongeza Dk Kanywaji na mkewe
      • Bila kufukua ‘makaburi’ tutakufa kwa uoza
      • Kijiwe chashangaa Makufuli kuogopa ‘makaburi’
      • If Clinton loses it Michelle Obama Should Warm up ...
      • If Clinton trumps Trump Tomorrow
      • Mihadarati: Kwanini Kikwete hamsaidii Magufuli?
      • Mpayukaji aitwa kwa Joji Kichaka kupiga tafu kampeni
      • Kwa Hili, Naingia Bongolalaland Kuwekeza Ardhini
      • Magufuli aache kulalamikia maovu atumbue
      • Onyo na Ushauri: Mlioghushi Msingonje Kifo Kiwafichue
    • ►  October (22)
    • ►  September (15)
    • ►  August (12)
    • ►  July (27)
    • ►  June (24)
    • ►  May (23)
    • ►  April (29)
    • ►  March (26)
    • ►  February (27)
    • ►  January (21)
  • ►  2015 (399)
    • ►  December (34)
    • ►  November (24)
    • ►  October (22)
    • ►  September (34)
    • ►  August (29)
    • ►  July (37)
    • ►  June (22)
    • ►  May (32)
    • ►  April (35)
    • ►  March (46)
    • ►  February (47)
    • ►  January (37)
  • ►  2014 (502)
    • ►  December (47)
    • ►  November (49)
    • ►  October (47)
    • ►  September (37)
    • ►  August (40)
    • ►  July (42)
    • ►  June (30)
    • ►  May (35)
    • ►  April (47)
    • ►  March (44)
    • ►  February (39)
    • ►  January (45)
  • ►  2013 (399)
    • ►  December (37)
    • ►  November (27)
    • ►  October (31)
    • ►  September (26)
    • ►  August (33)
    • ►  July (39)
    • ►  June (28)
    • ►  May (40)
    • ►  April (44)
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (29)
  • ►  2012 (597)
    • ►  December (27)
    • ►  November (26)
    • ►  October (27)
    • ►  September (30)
    • ►  August (47)
    • ►  July (94)
    • ►  June (86)
    • ►  May (119)
    • ►  April (83)
    • ►  March (23)
    • ►  February (17)
    • ►  January (18)
  • ►  2011 (261)
    • ►  December (20)
    • ►  November (19)
    • ►  October (20)
    • ►  September (21)
    • ►  August (27)
    • ►  July (12)
    • ►  June (15)
    • ►  May (20)
    • ►  April (27)
    • ►  March (32)
    • ►  February (24)
    • ►  January (24)
  • ►  2010 (205)
    • ►  December (25)
    • ►  November (23)
    • ►  October (23)
    • ►  September (23)
    • ►  August (17)
    • ►  July (13)
    • ►  June (12)
    • ►  May (10)
    • ►  April (18)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (16)
  • ►  2009 (163)
    • ►  December (19)
    • ►  November (14)
    • ►  October (11)
    • ►  September (6)
    • ►  August (12)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (20)
    • ►  April (22)
    • ►  March (14)
    • ►  February (12)
    • ►  January (13)
  • ►  2008 (191)
    • ►  December (12)
    • ►  November (11)
    • ►  October (14)
    • ►  September (15)
    • ►  August (16)
    • ►  July (23)
    • ►  June (10)
    • ►  May (19)
    • ►  April (16)
    • ►  March (19)
    • ►  February (17)
    • ►  January (19)
  • ►  2007 (33)
    • ►  December (13)
    • ►  November (20)

About Me

My photo
View my complete profile

Travel theme. Powered by Blogger.