Free Thinking

I Fear Nothing But Fear Itself

The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Saturday, 24 June 2017

Mlevi kutia timu Ukanadani kudai njuluku

President John Magufuli has met with Prof John
            Baada ya wanene kutupiga changa la macho kuwa wale waliowaita majizi sasa ni “wanaume” kama alivyokaririwa dingi akisema, nimeamua kutia timu Ukanadani kudai changu. Yule anatikisa kichwa; akidhani natania. Sitanii. Lazima nifanye kweli hasa baada ya kuona kama tunapikiwea zengwe.
Wanaodhani ulevi na ulimbukeni vinanisumbua kama wale waliogeuza kaya ya walevi shamba la bibi halafu sasa wanatwambia kuwa tuwasulubu makuwadi wao wenyewe wakikingiana vifua utadhani kaya yetu ni mali ya kaisari pekee yake wanakosea. Nitafanya kweli.
Zifuatazo ndizo sababu za nguvu zinazonisukuma kulianzisha ili nipate changu mapema usawa huu wa Chukua Chako Mapema:
Mosi, nimeamua kudai changu baada ya kupata ushahidi kwa dingi mwenyewe kuwa kumbe wale tuliaminishwa na bingwa wa uvivu wa kufikiri Brother Denjaman Tunituni ni wawekezaji kumbe wachukuaji na wezi wa kawaida wanaopaswa kuchomwa moto na si kujadiliana nao. Hivyo, lazima niwabane wanipe changu mapema kabla sijamnyotoa mwizi roho. Wakikomaa nawapeleka kwa pilato tena kule ICC ambapo nitafungua mashitaka ya mauaji ya halaiki ya walevi kwenye migodi kule Bulyankulu na North Mara ukiachia mbali wanaofishwa na umaskini wa kutengenezwa. Nina ushahidi kibao; wachukuaji hawa wezi walinyotoa roho za walevi.
Pili, nimestuka kusikia kuwa jamaa sasa wamegeuka washirika na washikaji tena wakipongezana kuwa ni wanaume kiasi cha kuanza mikakati ya kujadiliana ili kulipana. Tangu lini mwenye mali akajadiliana na mijizi? Mbona vibaka hamjadili nao zaidi ya kuwachoma moto; au ni kwa vile kuna wanene nyuma ya jinai hii? Hivi nani alituroga waswahili kiasi cha kuwashobokea watasha; na kusahau; hawa jamaa wana mizungu; na wamekuwa wakitukwamisha kiuchumi halafu wakitutukana kuwa sisi ni hamnazo na maskini wa kujitakia. Acheni uvivu wa kufikiri. Badilini sheria kabla ya kuingia kwenye mazungumzo. Mnakwenda kule na sheria zipi wakati zilizopo zinaruhusu upigaji?  Kama hamjui basi jueni. Kinachotaka kufanywa ni ukoloni wa kujitakia. Mtajuta halafu muanze kuja na rongorongo nyingine.
Tatu, nimeamua kuchukua hatua hii adhimu baada ya kugundua kuwa lile zoezi la kubadili sheria za kijambazi za kaya ili kuziba mianya yote ya uchukuaji na umakinikia sasa limeota mbawa baada ya kuja na sinema hii ya majadiliano. Lazima niseme wazi. Nitakuwa na uhakika gani kuwa wale watakaoshiriki haya majadiliano hawatakuwa na roho mtakakitu kama wale mbweha waliouza kaya yetu kwa wachukuaji kiasi cha kugeuka ombaomba wakati tuna raslimali kibao? Naweza kusema huu ni ubaguzi wa rangi. Hivi hii jinai ingekuwa ingetendwa na mswahili mweusi kungekuwa na cha kuongea au kufunga maisha? Hivi kweli nani alituroga kiasi cha kuwa kama ndondocha huku tukifanya mchezo na mambo muhimu ukiachia mambo ya hovyo kuyageuza ya maana kana kwamba hatuna maana? Hivi huu ujambazi ungekuwa umetendwa na kaya ya Kiswahili dhidi ya kaya ya kitasha unadhani kungekuwa na majadiliano? Kawaulize Wairaki na walibywa watakwambia jamaa hawa wasivyo na mchezo na kaya uchwara ombaomba kama zetu.
Tano, baada ya kugundua kuwa mambo yenyewe sasa yatafanywa kwa kutegemea usongo wa dingi na si sheria kiasi cha kugeuka kama mali binafsi, nami sina budi kuanza madai binafsi. Hapa lazima nikomae na kuwa makini na si makinikia. Lazima nidai hata njuluku za madini na si makinikia yaliyogawiwa na majambazi wakubwa wasio na umakini bali umakinikia kiakili. Naona yule anasonya. Atakayechukia uje yumo. Kwani hawa waliogawa madini yetu walitumia nini zaidi ya makinikia ya akili badala ya akili yenyewe? Kama si hivyo, inakuwaje tushupalie makinikia huku tukifumbia macho madini yenyewe? Kama siyo hivyo, inakuwaje tutegemee usongo wa mtu mmoja badala ya sheria na mkakati wa kaya kwa ujumla?
Sita, napanga nikipewa changu najea kaya kuanza kudai mchakato wa katiba mpya. Kwa vile nitakuwa na njuluku kibao, nitazitumia kuwahamasisha walevi kuhakikisha katiba mpya inapatikana ili iweze kutusaidia kupambana na mibaka yote iliyohusika na uchafu huu bila huruma wala upendeleo kama ilivyo. Hapa lazima nihakikishe natumia njuluku yangu kuanzisha kile kinachoitwa haki sawa kwa walevi wote bila kujali sura, vyeo, ubashite na upuuzi mwingine ninaoona kila siku kilevi kayani. Bila shaka hapa walevi watanipongeza kwa kila hatua badala ya kupongeza wale wale walioasisi ujambazi huu.
Kumbe nafasi imeisha! Acha nijikate kwenda kutafuta pasipoti tayari kwa kuwatokea wamakinikia kwa umakini.
Chanzo: Nipashe Jumamosi leo.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 07:32

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Cordially and unlimitedly welcome to this blog.


Writing and reading are two different processes but which share the same goal-to educate, communicate and entertain.
It is my pleasure to have you as the guest of this tablet.
I, thus, warmly and always, welcome you to share ideas.
Importantly and eminently, shall there be anything amiss or you think can advance this blog, please donate it.
Allow me to humbly and kindly welcome you once again.
Nkwazi N Mhango- A Man And a Half

When wisdom brings no profit, to be wise is to suffer. Not all thoughts are good and constructive. Others are even worse than bullets. The good thinkers are the ones that think constructively for the manumission of all bin-Adams regardless their diversity. Mwl. Nkwazi N Mhango,
Canada.


Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

I Love My Country Tanzania

I Love My Country Tanzania

The Curse of Salvation

The Curse of Salvation

Gen Z and Internet Revolution

Gen Z and Internet Revolution

I Cry for Ambazonia and Darfur

I Cry for Ambazonia and Darfur

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

The Story of Stories

The Story of Stories

The Chant of Savant

The Chant of Savant

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

Epistle to Afrophobic South Africa

Epistle to Afrophobic South Africa

Magufulification

Magufulification

BORN NUDE

BORN NUDE

Total Pageviews

Heko Rais Magufuli

Heko Rais Magufuli

DECOLONISING EDUCATION

DECOLONISING EDUCATION

Kudos President Magufuli

Kudos President Magufuli

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

The Family Friend of Animals

The Family Friend of Animals
Children's Book

Matembezi Mbuga ya Wanyama

Matembezi Mbuga ya Wanyama
Kitabu cha Watoto

Our Heritage

Our Heritage
Children's Book

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

Perpetual Search

Perpetual Search

Africa's Best and Worst Presidents

Africa's Best and Worst Presidents

Psalm of the Oppressed

Psalm of the Oppressed
Psalm of the Oppressed

AFRICA REUNITE or PERISH

AFRICA REUNITE or PERISH
A new approach towards empowering Africa

BORN WITH VOICE

BORN WITH VOICE

Soul on Sale

Soul on Sale

Soul on Sale

Nyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

We are one

We are one

SAA YA UKOMBOZI

SAA YA UKOMBOZI

Feel at home

You are always welcome to this epistle again and again time after time, ad infinitum.


Most read Posts

  • Sarkozy’s Take on African Fat Cats a Welcome Move
    At last the chicken are coming home to roost! French authorities made a groundbreaking decision by culling three most corrupt African presid...
  • Napanga kuanza kuuza mitumba na si maneno
    Ingawa mimi si mtumba, napanga kuuza mitumba. Nimechoshwa na jamii ya mitumba. Kila kitu mitumba. Mitumba, mitumba mitupu. Siasa za mitumba...
  • Better or Bitter Life for all?
    When I deeply muse on how an arrogant and brutal cabal of hoity toity (Coverted Con Men (CCM)) is tirelessly hoodwinking and dividing the ho...
  • Africa's Becoming more Despotic and Nepotistic
    "King of Kings" Gaddaffi The seven-day 40th anniversary of Libya strongman’s autocratic rule and charade elections in Gabon where...
  • Kuna siku tutataifisha haya mahekalu haki ya nani
    Taarifa kuwa waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige alinunua nyumba kwa zaidi ya shilingi bilioni moja licha ya kuwastua wananchi na...
  • Nyangumi mdogo akutwa amekufa ufukweni BC
    Hii ni picha iliyotolewa ya Nyangumi aina ya Humpback ambaye alikumbwa na maji na kutupwa kwenye ufukwe wa bahari ya Pasifiki kwenye eneo l...
  • Kikwete, Charity Begins at Home!
    President Jakaya Kikwete Pea...
  • Kweli binadamu si chochote wala lolote, wamkumbuka huyu?
    Walioko madarakani mkiabudiwa kama miungu au sanamu kumbukeni vijana hawa hata baba zao  ambao maiti zao zinaoza jangwani. Ungewaambia...
  • Pinda kulia hakutoshi, awajibike
    INGAWA kilio cha Waziri Mkuu, Mizengo Peter Kayanza Pinda, kinaonekana kuyeyusha hasira za Watanzania kwa muda, kuna haja ya kudodosa zaidi....
  • Hawa si wachungaji bali ni fisi na mbwa mwitu
    KUMEZUKA mtindo mchafu na wa rejareja wa baadhi ya wachumia tumbo na matapeli kumtania hata kumtumia Mwenyezi Mungu kufanya utapeli na ujamb...

Followers

Blog Archive

  • ►  2025 (84)
    • ►  December (1)
    • ►  November (11)
    • ►  October (9)
    • ►  September (7)
    • ►  August (12)
    • ►  July (8)
    • ►  June (7)
    • ►  May (5)
    • ►  April (4)
    • ►  March (6)
    • ►  February (8)
    • ►  January (6)
  • ►  2024 (92)
    • ►  December (7)
    • ►  November (4)
    • ►  October (11)
    • ►  September (9)
    • ►  August (7)
    • ►  July (9)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (7)
    • ►  March (6)
    • ►  February (7)
    • ►  January (8)
  • ►  2023 (118)
    • ►  December (10)
    • ►  November (10)
    • ►  October (9)
    • ►  September (2)
    • ►  August (4)
    • ►  July (6)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (18)
    • ►  March (13)
    • ►  February (9)
    • ►  January (20)
  • ►  2022 (208)
    • ►  December (14)
    • ►  November (14)
    • ►  October (20)
    • ►  September (20)
    • ►  August (12)
    • ►  July (25)
    • ►  June (22)
    • ►  May (18)
    • ►  April (13)
    • ►  March (18)
    • ►  February (18)
    • ►  January (14)
  • ►  2021 (323)
    • ►  December (23)
    • ►  November (34)
    • ►  October (26)
    • ►  September (13)
    • ►  August (19)
    • ►  July (21)
    • ►  June (29)
    • ►  May (25)
    • ►  April (23)
    • ►  March (43)
    • ►  February (29)
    • ►  January (38)
  • ►  2020 (290)
    • ►  December (33)
    • ►  November (37)
    • ►  October (28)
    • ►  September (35)
    • ►  August (31)
    • ►  July (26)
    • ►  June (17)
    • ►  May (21)
    • ►  April (18)
    • ►  March (15)
    • ►  February (17)
    • ►  January (12)
  • ►  2019 (160)
    • ►  December (8)
    • ►  November (7)
    • ►  October (12)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (18)
    • ►  June (18)
    • ►  May (11)
    • ►  April (11)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (14)
  • ►  2018 (162)
    • ►  December (12)
    • ►  November (6)
    • ►  October (13)
    • ►  September (10)
    • ►  August (20)
    • ►  July (9)
    • ►  June (14)
    • ►  May (9)
    • ►  April (16)
    • ►  March (21)
    • ►  February (17)
    • ►  January (15)
  • ▼  2017 (306)
    • ►  December (20)
    • ►  November (23)
    • ►  October (20)
    • ►  September (26)
    • ►  August (31)
    • ►  July (31)
    • ▼  June (34)
      • Ulimbukeni, umalaya na uoza kimaadili Magufuli ain...
      • When a shepherd become a hyena the flock is in tro...
      • Government can still help teen moms
      • Byakanwa alitumwa au anajikomba tu?
      • Kijiwe chataka kujua nini sharia za madini zitaanz...
      • Baada ya Ramadhani nilisherekea Idd na Maimuna
      • Uhuru wa habari: Mbona viongozi wetu wanapingana?
      • Unamtafsiri vipi spika wa Bunge Job Ndugai hapa?
      • Mlevi kutia timu Ukanadani kudai njuluku
      • Magufuli na Mimba mashule: Nini ushauri na mawazo ...
      • Hivi bado Eliakim Maswi ni Mwanaume au Mwanamke kw...
      • THE BOTTOM LINE : In voting, fear the politics of ...
      • Natamani Tanzania ingekuwa Korea ya Kusini
      • Ufisadi: Kijiwe chataka haki sawa kwa wote
      • ESCROW NA HISTORIA NA MTANDAO WAKE
      • What a powerful message!
      • KUSHITAKIWA WEZI WA ESCROW: Nampongeza Magufuli Ja...
      • Mpaka Mtu Atoke Kuna Juhudi Nyingi
      • Bila katiba mpya Magufuli anajipiga mtama
      • Kashfa ya IpTL: Barua ya wazi kwa EWuuRA
      • Adui Magufuli si Magazeti bali Yeye Mwenyewe
      • Ewura should stop taking Tanzanians for a ride
      • IPTL Serikali Ikiri Kushindwa
      • Kijiwe Kupeleka Maazimio Yake Ewuuura
      • Gaddafi's Dirty Linens and Racism against Blacks E...
      • Wahamiaji Haramu: Kuna siku Tanzania itatawaliwa n...
      • Taasisi ya kuzuia rushua inaponuka rushua!
      • Huu ni Ubinafsi, Ulimbukeni, Upofu au Utukufu?
      • Let’s Rekindle The New Draft Constitution Process
      • Barua Ya Wazi Kwa IGP Sirro
      • Kwanini Twaliwa Mbele na Nyuma Hivi?
      • Nimemkumbuka Casimir Zoba aka Zao wa Ancient Comba...
      • Waliocheza hizi jiandaeni kustaafu
      • Wizi wa madini: Mlevi kuleta smelter
    • ►  May (26)
    • ►  April (24)
    • ►  March (20)
    • ►  February (28)
    • ►  January (23)
  • ►  2016 (269)
    • ►  December (22)
    • ►  November (21)
    • ►  October (22)
    • ►  September (15)
    • ►  August (12)
    • ►  July (27)
    • ►  June (24)
    • ►  May (23)
    • ►  April (29)
    • ►  March (26)
    • ►  February (27)
    • ►  January (21)
  • ►  2015 (399)
    • ►  December (34)
    • ►  November (24)
    • ►  October (22)
    • ►  September (34)
    • ►  August (29)
    • ►  July (37)
    • ►  June (22)
    • ►  May (32)
    • ►  April (35)
    • ►  March (46)
    • ►  February (47)
    • ►  January (37)
  • ►  2014 (502)
    • ►  December (47)
    • ►  November (49)
    • ►  October (47)
    • ►  September (37)
    • ►  August (40)
    • ►  July (42)
    • ►  June (30)
    • ►  May (35)
    • ►  April (47)
    • ►  March (44)
    • ►  February (39)
    • ►  January (45)
  • ►  2013 (399)
    • ►  December (37)
    • ►  November (27)
    • ►  October (31)
    • ►  September (26)
    • ►  August (33)
    • ►  July (39)
    • ►  June (28)
    • ►  May (40)
    • ►  April (44)
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (29)
  • ►  2012 (597)
    • ►  December (27)
    • ►  November (26)
    • ►  October (27)
    • ►  September (30)
    • ►  August (47)
    • ►  July (94)
    • ►  June (86)
    • ►  May (119)
    • ►  April (83)
    • ►  March (23)
    • ►  February (17)
    • ►  January (18)
  • ►  2011 (261)
    • ►  December (20)
    • ►  November (19)
    • ►  October (20)
    • ►  September (21)
    • ►  August (27)
    • ►  July (12)
    • ►  June (15)
    • ►  May (20)
    • ►  April (27)
    • ►  March (32)
    • ►  February (24)
    • ►  January (24)
  • ►  2010 (205)
    • ►  December (25)
    • ►  November (23)
    • ►  October (23)
    • ►  September (23)
    • ►  August (17)
    • ►  July (13)
    • ►  June (12)
    • ►  May (10)
    • ►  April (18)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (16)
  • ►  2009 (163)
    • ►  December (19)
    • ►  November (14)
    • ►  October (11)
    • ►  September (6)
    • ►  August (12)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (20)
    • ►  April (22)
    • ►  March (14)
    • ►  February (12)
    • ►  January (13)
  • ►  2008 (191)
    • ►  December (12)
    • ►  November (11)
    • ►  October (14)
    • ►  September (15)
    • ►  August (16)
    • ►  July (23)
    • ►  June (10)
    • ►  May (19)
    • ►  April (16)
    • ►  March (19)
    • ►  February (17)
    • ►  January (19)
  • ►  2007 (33)
    • ►  December (13)
    • ►  November (20)

About Me

My photo
View my complete profile

Travel theme. Powered by Blogger.