The Chant of Savant

Saturday 9 May 2015

Who truly runs Bongolalaland?

 
          However, Jake Kiquette once told us that his regime is not a coop-like in that there are no shareholders to it, the bigger picture shows otherwise.  To answer the above question as to who runs Bongolalaland, I will propose three personalities in this sober piece. These are none other than Jake Kiquette who is a ceremonial head, Jimmy Rugemalayer and Seti Harbinger Singasinga (these are king makers) not to mention Roast Tamu Aziz of Kagoda who created the whole fiasco. So, behind the curtain, there are conceivably more powerful folks who can make the biggest man in the hunk cower and shiver once the names of these criminals are mentioned.
          Wait. There’s another culprit. Do you remember Smile juice produced by A One Products and Bottlers Ltd one of the chains of companies owned by Mohamed Enterprises Company?  In 2014 TBS had to destroy this dangerous juice after consumers complained about the same. Again, the same guy who prides himself of being one of the billionaires of the hunk was behind this crime. Can such a criminal really become a tycoon without sabotaging our all-time-robbed economy? How much tax holidays did this criminal enjoy in the first place? Again, how can a truly-rich person languish in politics of ubunge if he has nothing to hide? Most of the likes of Mood are in parliament to protect their rotten deals that made them rich. Sometimes I wonder. How a guy that enjoys duty free import on rice and sugar that undermine local producers when they flood the market can be tolerated, if there isn't any graft and kickbacks involved. The duty should be 75 percent; it could be reduced to 50 or even 25%, but duty free? It doesn't add up.  Such guys that make megabucks are made between the import price and the sales price--tens of millions of dollars for a single deal. Show-off Dew-jii Mood brags about his wealth and his Africa-wide investment strategy. In an honest and simple parlance Mood is a trader who undermines local manufacturers.
          In the hunk of blinds and insane, to become rich –for many – you must rob the hunk. Mzee Mengi and Bakhresa spare me. You are not among these criminals who sabotage our hunk. I have nary heard you aspiring for political offices. This informs me that you have nothing to hide like them.
          Again, why am I claiming that the actual heads of the hunk are behind scene? Point one is the fact that since they were water tightly implicated in the escrew scandal, none of them had ever had a date with either the cops or Promoting and Condoning Corruption Bureau (PCCB). Why? Simple, it is because these folks are untouchably above the law just like their guardian. In the hunk where impunity and venality are legalized, robbing the hunk is treated honorably. Lazy thinkers benefiting from this crime insanely look at it as a sort of creativity.
          If these sharks are either clean or untouchable, why then did Jake waste our time and money firing wicked small fish like Anna Kajuamlo? Why didn't he use the same hardheadedness he’s used to kill the scam and push it under rags? Why didn't he employ the same courage of the mad he applied when he felled our draft constitution? Why wasting our time in lieu of applying his theatrics, sociopathic heartlessness he employed in sending the Makondas to harass mzee Jose Waryuba or Zoka to torture Ulimboka not to mention Kibanda? Why wasting our time? Why?
          Point two: When the scam was brought to the fore, Jake observed obnoxious snobbery making people believe he’d tackle the matter. Did he? Why’d he if at all some media reported that he gets orders from Rugemalayer? Was this a lie? Not at all, if his chief of stuff Gurumoo was implicated, then what is left of him as far as guiltless is concerned?
          Point three: Look at how he has been evading commenting on the same apart from dragging feet.
          Next year when Forbes African divulges the list of billionaire in the continent you’ll be shocked to death to find that those criminals above feature high on the list. Yeah, who’d believe that Kagoda kingpin would be in the list despite being water tightly implicated in Richmonduli?
          Now let’s look at who runs the hunk practically. We've tried to imply who actually does the show. Let’s look at solid stuff.  Aren't those putas above the ones who actually run our hunk? Aren't they the beneficiary of a coop-like regime of Jake? Please don’t ask me about who runs the hunk. Jake runs the show the stage while the crooks listed above do so behind the curtains. Here we’re talking of business criminals. There are yet political ones like the one who was kicked out after being implicated in Richmonduli scam yet he goes on enjoying retirement benefits and other emoluments as if he retired. Wait. There’s another sitting one who once attempted to blot escrow after being given his cut. Mzee Mizengwe iliyo-Pinda, are you there?
Source: Guardian May 10, 2015.

4 comments:

Anonymous said...

Salaam Mwalimu Mhango,
Naandika mchango wangu huu nikiwa tayari nimeshaanza kukisoma kibau chako cha 'Nyuma ya panzia"Ningependa tu kukupongeza kwa kazi nzito hiyo ambayo ulituahidi kwamba unaifanya,na leo kwa uwezo wa Mwenyezimungu kitabu chako hicho kimeona nuru na kipo katika mikono yote,hongera!

Mwalimu Mhango,umenifungua macho na pia kuwafungua macho wananchi wa Tanzania kwa kuweka wazi nini kinachoendelea katika nchi yetu nyuma ya pazia.pia kwa mchango wangu uliopita wa makala yako ya "mlevi anusurika kufa kwa madawa ya kichina"Umekuwa umejibu swali ambalo mimi sikuuliza ktk mchango huo.Swali ambalo lilikuwa liwe, je ni nanni anatawala Tanzania nyuma ya panzia?
Kwa hali hii ambayo ndio ukweli uliopo ardhini nyuma ya panzia la Tanzania,JE mwalimu Mhango uoni kwamba wananchi wa tumekua ni wana sesere kutikiswa kuyumbishwa na hata kuburuzwa na waliopo nyuma ya panzia kwa kuhakikisha kwamba taathira yao na masilahi yako ni lazima yabaki kuendelea?Na je uoni kwamba kuna hatari ambayo nguvu kma hizi kutka kuhakikisha kwamba wanawabakiza wale ambao wanaokula nao sahani moja katika madraka kwa kila hali?Je uoni kwamba kupata mabadiliko ya kiutawala wa kuja chama kingine madarakani ni kama vile hakuna uwezekano?Kwa hofu ya hawa waliokuwa nyuma ya panzia na wale waliokuwepo mbele ya panzia kwamba kikija chama kingine uhakika wa taathira yao na masilahi yapo yapo hatarini?Kwa lugha nyingine udhani kwamba kuna hatari ya hawa waliokuwepo nyuma ya panzia kwamba ndio waamuzi wa mwisho wa hatima ya nchi yetu na rasilimali zake?Je udhani kwamba hawa waliokuwa nyuma ya panzia hawashirikiani na nguvu zote za kibepari ambazo zenye uroho na uchu wa rasilimali zetu ambazo zinabakwa kila kukicha?Mwisho je ni nini ushauri wako kwa wananchi wa Tanzania wafanye kabla ya hawa waliokuwepo nyuma ya panzia kugeuka na kufikia kuwa JIPWEZA ambalo kulingoa kwake itakuwa sio rahisi?

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon nakushukuru kwa michango yako adhimu na adimu ya mara. Pia nimefurahi kusikia kuwa umeipata NYUMA YA PAZIA na kujionea kinachoendelea nyuma ya pazia ambapo vibaka na mibaka wamelala kitanda kimoja wakinajisi taifa letu tukufu. Kuhusiana na maswali yako sijui kama nitayajibu kikamilifu japo nitajaribu.
MosiJE mwalimu Mhango uoni kwamba wananchi wa tumekua ni wana sesere kutikiswa kuyumbishwa na hata kuburuzwa na waliopo nyuma ya panzia kwa kuhakikisha kwamba taathira yao na masilahi yako ni lazima yabaki kuendelea? Ni kweli wananchi japo si wote wamegeuka mihuri ya kuhalalisha ulaji wa walio nyuma ya pazia.Na je uoni kwamba kuna hatari ambayo nguvu kma hizi kutka kuhakikisha kwamba wanawabakiza wale ambao wanaokula nao sahani moja katika madraka kwa kila hali? Hili liko wazi kuwa kila anayeondoka madarakani anataka aache stooge wake ili amlinde kama alivyofanya Kikwete kwa Mkapa na Mkapa kwa Mwinyi. Huu umeanza kuwa ustaarabu mfu na mbovu kwa taifa letu. Je uoni kwamba kupata mabadiliko ya kiutawala wa kuja chama kingine madarakani ni kama vile hakuna uwezekano? Uwezekano upo kama wenye nchi ambao ni wananchi wataamua. Hapa ni suala la wananchi kukubali waendelee kuliwa au kuondokana na kadhia hii kwa kuchagua vyama pinzani hasa kwenye uchaguzi ujajo. Kwa hofu ya hawa waliokuwa nyuma ya panzia na wale waliokuwepo mbele ya panzia kwamba kikija chama kingine uhakika wa taathira yao na masilahi yapo yapo hatarini? Hili liko wazi kuwa wana hofu ingawa siku itafika kila kitu chao kitabomolewa. Kama akina Gaddafi na Mubarak wamegeuzwa asusa watakuwa hawa vibonde na woga wasio na mashiko kwa nchi? Kwa lugha nyingine udhani kwamba kuna hatari ya hawa waliokuwepo nyuma ya panzia kwamba ndio waamuzi wa mwisho wa hatima ya nchi yetu na rasilimali zake? Waamuzi wa hatima ya nchi ni wananchi wenyewe kama watajitambu ana kuamua kujikomboa. Rejea kilichotokea hivi karibuni kule Burkina nchi maskini na yenye wajinga wengi kuliko Tanzania. Je udhani kwamba hawa waliokuwa nyuma ya panzia hawashirikiani na nguvu zote za kibepari ambazo zenye uroho na uchu wa rasilimali zetu ambazo zinabakwa kila kukicha? Wanashirikiana na mataifa ya magharibi ambayo hata hivyo huwa hayana rafiki wa kudumu bali maslahi ya kudumu. Rejea walivyogeukwa akina Mobutu na Savimbi na Saddam Hussein. Mwisho je ni nini ushauri wako kwa wananchi wa Tanzania wafanye kabla ya hawa waliokuwepo nyuma ya panzia kugeuka na kufikia kuwa JIPWEZA ambalo kulingoa kwake itakuwa sio rahisi? Japo unahitajika uamuzi mgumu, dhima ya kulikomboa au kuliangamiza taifa lolote imo mioyoni na mikoni mwa wananchi wake. Hivyo, ni jukumu la watanzania kuchagua kusuka au kunyoa.
Kila la heri na nadhani nimejaribu kudurusu na kujibu maswali yako kwa kiasi ambacho nimeelewa na kujaliwa.

Anonymous said...

Salaam Mwalimu Mhango,
Ahsante kwa kuchukua wakati wako kwa kujibu maswali yangu na umeyajibu kwa ufupi tosha kamilisha kulingana na kila swali,kizuri zaidi kwako ni kutowapuuza wasomaji wako wanapotoa michango yao katika kila makala wanapofanya hivyo hii inatupa sisi wasomaji wako pia kasi tunaposoma makala zako tuwe wenye kutafakari zaidi na wala sio kusomo kwa kupoteza wakati au kwa mpito kwani kazi unayoifanya ni kubwa na unahitaji ushirikiano mkubwa kutoka kwetu sisi wasomaji wako.Mwisho utaniwia radhi kwa makosa ya imla yanayotokea mara kwa mara katika michango yangu.Kila la kheri na baki salama.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon nakushukuru sana kwa kunipa moyo na kuelewa kuwa inahitaji commitment na utayari kujibu hoja za wasomaji wangu. Kwa ufupi ni kwamba huwa nathamini michango ya wasomaji wangu,kwani nao hujinyima katika muda wao kusoma mawazo yangu na kuyafanyia kazi kwa njia ya kuyapinga au kuyaunga mkono. Hivyo, kama mtu ana blog na hawezi kujibu hoja za wasomaji basi afaa kuuza nyanya au vinginevyo aanzishe blog ya kukopi hapa na kubandika picha na imetosha. Blog yangu si sehemu ya kujifurahishia bali kufikiri na kufikirisha. Hivyo kila mchango utakaotelewa lazima nijibu ihitajikapo. Shukrani sana Anon na karibu sana.