The Chant of Savant

Sunday 4 November 2012

Hakuna utajiri na neema kama hivi!


Katari (left) and Karam Chand have become the world's longest married couple. (somethinamazing.blogspot.ca)

Je kuna kitu binadamu uhitaji kama kuishi maisha marefu? Ongeza kitu kingine muhimu- kuwa na ndoa yenye furaha. Ongeza tena si ndoa tu bali ndoa ya muda mrefu. Vikonge hivyo hapo juu Katari (100) na Karam Chand (107),  kwanza vimekula chumvi nyingi. Pia vimeishi kwenye ndoa kwa miaka 87. Vimevunja hata rekodi ya kitabu cha maajabu cha Guiness. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

No comments: