The Chant of Savant

Thursday 1 November 2012

Taaswira ya hali ya Tanzania


Imenikumbusha kauli ya waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye akiwaambia wafanyabiashara kuwa wakitaka mambo yao yawanyokee wajiunge na chama (hospitali) yake. Mambo ni hivyo hivyo karibu kila mahali. Mwanafunzi anaambiwa na mwalimu kuwa angehudhuria tuisheni yake angefanya vizuri. Askari wa usalama barabarani wanawaambia madereva kwenda kwenye 'hospitali" zao ili wasipigwe mabao. Sijui mkulima mdogo mdogo na mfanyakazi wa kima cha chini watamwambia nani kwenda kwenye "hospitali" zao?
Kweli Kipanya ana mambo.

No comments: