The Chant of Savant

Tuesday 6 November 2012

Natabiri ushindi wa rais Obama kesho



Ingawa mimi si mtabiri, sina wasi wasi rais Barack Obama ataendelea kuongoza Marekani kwa miaka minne mingine ijayo. Jinsi alivyoendesha kampeni zake na kutetea utendaji wake na jinsi mpinzani wake Mitt Romney alivyoshindwa kuwashawishi wamarekani, lazima Obama ashinde.

No comments: