Rais Jakaya Kikwete akiangalia kopo la tangawizi huko Mambakati Same alikozindua kiwanda cha Tangawizi. Kumbe uzee ushamnyemelea! Inaonekana hapa watu wake wa saluni walisahau kumpamba vilivyo kama siyo wapiga picha kukosea angel ya kuchukua picha.
1 comment:
Anonymous
said...
Kumbe JK mwenyewe kibabu! Kweli ukubwa unaficha mengi.
1 comment:
Kumbe JK mwenyewe kibabu! Kweli ukubwa unaficha mengi.
Post a Comment