The Chant of Savant

Tuesday 24 December 2013

Merry Xmas and Happy New Year 2014

This blog, in a very special way, does wish you Merry Xmas and Happy New Year to all readers, visitors, fans and everybody who has interest in it. We thank you for your noble company throughout the year. So too, we fondly invite you to be with us in the coming year. Have  spiffy and prosperous  holidays.

12 comments:

Anonymous said...

Am sorry to say..We can not celebrate these festival seasons anniversary because we all Africans never been happy to mark these days sine independence. Mainly because We always being in recession despite so many songs sang such a Tanzania country that they are loudly talked as a peaceful country in which don't see anything of being in the peace environment practically

Anonymous said...

Am sorry to say..We can not celebrate these festival seasons anniversary because we all Africans never been happy to mark these days sine independence. Mainly because We always being in recession despite so many songs sang such a Tanzania country that they are loudly talked as a peaceful country in which don't see anything of being in the peace environment practically

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon,
Sorry to hear that save that however harder it might seem, you still have to thank God. When I look at what is currently going on in CAR DRC and South Sudan, I find it reasonable to celebrate. Yeah, Tanzanians especially common ones have nothing to be upbeat about due to the fact that the coming year kicks in at the same time power hiking and power rationing are the order of the day. Again, let us appreciate whatever little in terms of life we have, Merry Xmas and Happy New Year once again.

Jaribu said...

You are right, Mhango. Let us be thankful for what we have. Merry XMas and Happy New Year for you too!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

My friend Jaribu,
Many thanks for showing up with such warm Xmas greetings. I wholeheartedly wish you the same.
Blessed be and so be it.

Anonymous said...

ha ha mapagani kwani huwa wanasherekea pia ? come on

Anonymous said...

nani pagani kwani aaa Mhango pagani
huyu hayuko huku wale kule yupo yupo tuuu

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon.
Ayeita mwenzie mpagani anaonyesha kiwango kikubwa cha kutoelimika hasa anapokuwa mwafrika? Pagan ni jitu zuzu lisilosoma wala kustaarabika. Ni ajabu kwa mtu kuniita mimi pagan wakati si haba nimepiga shule kuanzia huko Bongo hadi hapa Amerika ya Kaskazini. Ni utovu wa nidhamu na ufinyu wa welewa kuniita mtu kama mimi ambaye licha ya kubahatika kwenda shule nimejaliwa kipaji cha kuandika pagan. Huenda maana halisi ya pagan haijulikani. Huwa sina tabia ya kuwapa watu sifa na majina wasiyo nayo. Ila vitendo na maneno ya mtu vinaweza kukusukuma umwite mtu majina magumu. Kimsingi anayeniita mimi pagan, kama tukitumai hivyo vigezo vya usomi na ustaarabu anaweza kuwa yeye pagan kuliko mimi.

Anonymous said...

NN Mhango, hawa watu wanakuita Pagan atakuwa ametumwa wachumia tumboni kuja hapa kuaharibu kukubaridirisha mwelekeo wa wa blog yako kukemea watenda maovu ya unyambazi wa wazi kwa haki ya umma inayoendlea kufnywa na viongozi...

Hivyo wasikubali mwelekeo...achana nao pengine kujibu hoja zao zisizokuwa na tija wala miguu na kichwa....Sasa hivi umeme gharama imepanda tena kwa nini sababu zinatolewa kama wanapiga ramli vile...Ingawa ukweli wanarejesha pesa kwa kuzikuchukua kutoka kwa walalahoi, pesa zilizochukuliwa na wachumia tumboni kwenye miradi tata na feki(Richmond-Dowans-Symbion leo) wakati wahusika hii miradi feki ndiyo ma-Mungu Mtu leo tena bila aibu wanahubiri kwamba wao ni watu wazuri kwa Taifa la Tanzania hata kugombea nafasi za kabisa za uongozi umma(Rais

Hii ni Salamu yangu Mwaka Mypa kwa mpiganaji NN Mhango...Dumisha kukemea watenda maovu na wachumia tumboni

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon shukurani sana kwa ushauri pevu. Ni kweli nilighafilika na kuingia kwenye mtego hata hivyo umenitoa. Hili la umeme bado linanitisha hasa nikizingatia kuwa mashimo yanayohitaji hiyo pesa yapo na yanapanuka kila siku ni IPTL Symbion. Kwa ufupi tunapandishiwa bei ya umeme ili kuwalipa akina Rostam na Lowassa ambao ni mawakala wa Jakaya Kikwete mwenyewe. Heri ya mwaka m pya nawe.

Anonymous said...

I'VE been inspired by your work throughout 2013. Am eying for a lot in 2014!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Thanks Anon above. Let's pray so that God may enable us to do more.