The Chant of Savant

Wednesday 26 December 2012

Habari njema Madiba atoka hospitali

Taarifa zilizotufikia kama zilivyorushwa na kituo cha habari cha eNCA ni kwamba rais wa kwanza wa Afrika Kusini Nelson Mandela Madiba ameruhusiwa kutoka hospitali ambako alikaa kwa siku 18. Wananchi wengi wa Afrika Kusini na dunia nzima walikesha wakimuombea apone haraka hasa wakati wa sikukuu za Noeli. Ni habari njema kwa wapenzi na mashabiki wa mzee Madiba. Kwa habari zaidi GONGA hapa.

No comments: