The Chant of Savant

Friday 21 December 2012

Ni ushindi wa Mahakama na Lema


Kurejeshewa ubunge kwa mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema ni ushindi mkubwa kwa demokrasia na kurejeshwa heshima ya mahakama. Baada ya kesi yake kukumbwa na mizengwe, ubazazi, upendeleo hata kupinda sheria, hatimaye mahakama imeamua kurejesha heshima yake kwa kukataa kutumiwa kama nepi na wanasiasa uchwara wasiopenda demokrasia. Tunachukua fursa hii kuipongeza mahakama na Lema na CHADEMA kwa kutetea na kulinda demokrasia. Alluta Continua!

No comments: