The Chant of Savant

Friday 18 January 2013

Mambo ya jezi ndio mtindo


Rais Jakaya Kikwete akikabidhiwa jezi ya mpira wa kikapu. Chini ni Rahma Kharoos akikabidhiwa jezi ya Simba huko Oman. Naomba usiniulize uhusiano wa marais hawa wawili. Mmoja ni rais wa nchi na mwingine ni rais wa kampuni ya mafuta ambayo iliibuka baada ya Kikwete kuingia madarakani. Wanahusiana vipi? Please don't ask me.

No comments: