The Chant of Savant

Sunday 9 June 2013

Kumbukumbu ya Vuyo Mokoena

Tuimbe pamoja
Vulek’a amazulu,
Iyez’i Ngonyama
Kwancibilik’izintaba
Kwasha nemimfula
Avulek’a amazulu,
Iyez’i Ngonyama
Kwancibilik’izintaba
Kwasha nemimfula
Lungis’indlela zakho,
Lungis’ukuhamba kwakho
Iyeza iyez’i
Ngonyama yamazulu
Lungis’indlela zakho,
Lungis’ukuhamba kwakho
Iyeza iyez’iNgonyama yamazulu
Avulek’a amazulu
Iyez’i Ngonyama
Kwancibilik’izintaba
Kwasha nemimfula
Avulek’a amazulu,
Iyez’i Ngonyama
Kwancibilik’izintaba
Kwasha nemimfula
Lungis’indlela zakho,
Lungis’ukuhamba kwakho
Iyeza iyez’iNgonyama yamazulu
Tafsiri.
Funguka enyi mbingu 
Yua aja Mfalme wa mbingu
Milima na mporomoke
Nanyi mito mkauke
Yuaja Yuaja 
Mfalme wa mbingu.
Yanyoshe mapito yako
Zinyoshe njia zako
Yu aja yu aja
Mfalme wa mbinguni


Kwa wiki mbili binafsi nimekuwa nikimkumbuka marehemu Vuyo Mokoena nguli wa muziki wa injili wa Afrika Kusini  aliyefariki Mei 28, 2008 baada ya kuugua leukemia. Leo tarehe nawakaribisha wapenzi na marafiki zake kumpa nafasi kwenye mioyo na maombi yenu.

No comments: