The Chant of Savant

Saturday 8 June 2013

Tunamuombea Mandela aka Madiba (Diba) apone haraka

Nelson Mandela in June 2010
Taarifa za kulazwa tena kwa rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini Nelson Mandela Madiba zimetustua hasa ikizingatiwa kuwa ni mwezi jana tu alipokuwa amelazwa kwa ugonjwa wa mapafu. Kwa umri wake lolote laweza kutokea. Hivyo blog hii inachukua fursa ya pekee kumuombea na kuwataka wengine wamuombee kipenzi chetu Mandela.
Mungu mponye Madiba wetu.
Amandla!

No comments: