Free Thinking

I Fear Nothing But Fear Itself

The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Saturday, 29 October 2016

Serikali ikitaka kunasa wahalifu ifanye yafuatayo:

                 Hivi karibuni kaya yetu ilikumbwa na matukio ya kihayawani na ya kutisha ambayo sipendi kurudia kwa sababu za kitaalamu. Hata hivyo, leo nataka nije na mkakati wa kupambana na wahalifu waliotamalaki kayani hasa hawa wa kada ya chini. Nikiwa zangu Kinondoni si nikakutana na mkubwa wa wilaya bwana Ali Heppy akiwaomba wenye mbavu za mbwa kutopangisha mlevi yeyote bila kuwa na barua toka kwenye sirikali za mitaa na mataa. Bwana Heppy alisema “nitumie nafasi hii kuwaomba wenye nyumba usimpangishe mtu nyumba yako bila kwanza kuona barua kutokasirikali ya mtaa alikokuwa akiishi awali ili kubaini kama ni mzuri au mbaya, maana wengine ni majambazi na wakimbizi.”
            Kwanza, pamoja na ulevi na madude yangu nilishangaa sana kusika mkubwa wa wilaya wa sirikali akiwabembeleza walevi badala ya kutoa amri na nini kitafuatia atakapoikhalifu mlevi. Pamoja na utekelezaji huu wa kisiasa, mlevi natoa maangalizo ili kuepusha kuendelea kucheza na ngoma ile ile wakati tukijua kuwa hakuna kitakachofanyika hasa ikizingatiwa kuwa walevi wetu siku hizi wamekuwa wabinafsi, wapenda vitu kiasi cha kuruhusu wahamiaji haramu na wahalifu kupanga na kujificha kwenye mbavu zao za dog.
             Pili, kutegemea vijibarua vinavyoweza kughushiwa kuwa vitatatua tatizo ni kujidanganya. Kama wapo wanahizaya wanaoghushi shahada, vyeti na nyaraka mbalimbali ambavyo vinahitaji teknolojia ya juu kuvitengeneza, watashindwa vijibarua vya serikali ya mtaa?
            Tatu, je huko sirikali ya mitaa na mitaani ni salama au zitawaacha wahusika kwenye mataa? Mbona huko ndiko kwenye chimbuko la rushwa ndogo ndogo? Toeni vitambulisho vya uraia na namba ya utambulisho.
            Sitaki nionekane kuwa najidai, ngoja nitoa mfano mdogo toka hapa Ukandani namba hiyo huitwa Social Insurance Number. Huwezi kupata leseni ya udereva, kupanga nyumba, kutibiwa, kuajiriwa wala kufanya lolote bila kutaja au kuonyesha namba hii. Namba hii imewekwa kwenye kompyuta na kila unapokuwa katika Kanada unajulikana pindipo kompyuta ikisoma namba yako.
             Nikirejea home ambako kila mlevi anatanguliza njaa yake, napinga wazo la vijibarua. Kwanza, kuna aina fulani ya ubaguzi na uroho. Nitoe mfano, wakija wachainizi na magabacholi hata al shabaab wanashobokewa na kufichiwa madhambi yao. Acheni ushamba na kubaguana wakati huku utashani wote tunaitwa chinga uwe gabacholi, chainizi, mmanga wala nini wao hawajali. Wanaweka kwenye kapu moja chingaz. Hata hivyo, nawapenda watasha kwa kitu kimoja. Si wabaguzi kama hawa wabaguzi uchwara wetu wanaokimbia shida kwao na kuja kwetu kudengua wakati ni maskini wa kutupwa. Hapa ukitaka toto la kitasha unaoa bila kipingamizi; na siyo sawa na wahaindi na waarabu wanaobagua waswahili. 
            Kitu kingine nilichojifunza kwa walevi wa huku ni kwamba hakuna kuaminiana. Hivyo, huwezi ukaingia kwenye kaya ya wenyewe kinyume cha sheria eti ukawahonga vijisenti wakajiweka hatarini. Huku wakikunasa utalia na kusaga meno. Wala hawababaikii wageni hata wawe wazungu wa bwimbwi wenye njuluku za kumwaga.
            Nimalizie kwa kushauri yafuatayo kama mtaalamu wa makosa ya jinai:
Mosi, wabunge waende bungeni na kupeleka mswaada wa kuwashughulikia wenye mbavu za mbwa waroho wanaoshirikiana na wahalifu. Mfano, mnaweza kuamru kuwa atakayekamatwa amempangisha mhalifu awe wa ndani au nje nyumba yake inataifishwa na anafungwa mvua 25.
Pili, sheria imtake mhusika kumtunza mlevi au walevi aliokuwa amewapangisha kinyume cha sheria hata watakapokuwa wamehukumiwa kwenda lupango au kuamriwa kuondoka kayani basi mhusika awalipie nauli ya pipa kurejea kwao.
            Tatu, jengeni utaratibu wa kuvizi na kuvamia mbavu za mbwa mnazoshuku huku mkiweka mashushu watakaojifanya ima wahalifu au wahamiaji haramu wanaotafuta mbavu za mbwa za kupangisha, mtawapata kirahisi.
            Nne, imarisheni ulinzi wa mipaka yenu hasa kwa kufanya ukaguzi wa kielektroniki na si mikaratasi ya akina Adam na Eva. Hii ni karne ya sayansi na tokonolojia jamani.
            Zikomo kwa mbiri!
Chanzo: Nipashe Jumamosi leo.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 09:55

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Cordially and unlimitedly welcome to this blog.


Writing and reading are two different processes but which share the same goal-to educate, communicate and entertain.
It is my pleasure to have you as the guest of this tablet.
I, thus, warmly and always, welcome you to share ideas.
Importantly and eminently, shall there be anything amiss or you think can advance this blog, please donate it.
Allow me to humbly and kindly welcome you once again.
Nkwazi N Mhango- A Man And a Half

When wisdom brings no profit, to be wise is to suffer. Not all thoughts are good and constructive. Others are even worse than bullets. The good thinkers are the ones that think constructively for the manumission of all bin-Adams regardless their diversity. Mwl. Nkwazi N Mhango,
Canada.


Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

Hail Mama SWAPO Nandi-Ndaitwah

I Love My Country Tanzania

I Love My Country Tanzania

The Curse of Salvation

The Curse of Salvation

Gen Z and Internet Revolution

Gen Z and Internet Revolution

I Cry for Ambazonia and Darfur

I Cry for Ambazonia and Darfur

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

The Story of Stories

The Story of Stories

The Chant of Savant

The Chant of Savant

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

Epistle to Afrophobic South Africa

Epistle to Afrophobic South Africa

Magufulification

Magufulification

BORN NUDE

BORN NUDE

Total Pageviews

Heko Rais Magufuli

Heko Rais Magufuli

DECOLONISING EDUCATION

DECOLONISING EDUCATION

Kudos President Magufuli

Kudos President Magufuli

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

The Family Friend of Animals

The Family Friend of Animals
Children's Book

Matembezi Mbuga ya Wanyama

Matembezi Mbuga ya Wanyama
Kitabu cha Watoto

Our Heritage

Our Heritage
Children's Book

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

Perpetual Search

Perpetual Search

Africa's Best and Worst Presidents

Africa's Best and Worst Presidents

Psalm of the Oppressed

Psalm of the Oppressed
Psalm of the Oppressed

AFRICA REUNITE or PERISH

AFRICA REUNITE or PERISH
A new approach towards empowering Africa

BORN WITH VOICE

BORN WITH VOICE

Soul on Sale

Soul on Sale

Soul on Sale

Nyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

We are one

We are one

SAA YA UKOMBOZI

SAA YA UKOMBOZI

Feel at home

You are always welcome to this epistle again and again time after time, ad infinitum.


Most read Posts

  • Sarkozy’s Take on African Fat Cats a Welcome Move
    At last the chicken are coming home to roost! French authorities made a groundbreaking decision by culling three most corrupt African presid...
  • Napanga kuanza kuuza mitumba na si maneno
    Ingawa mimi si mtumba, napanga kuuza mitumba. Nimechoshwa na jamii ya mitumba. Kila kitu mitumba. Mitumba, mitumba mitupu. Siasa za mitumba...
  • Better or Bitter Life for all?
    When I deeply muse on how an arrogant and brutal cabal of hoity toity (Coverted Con Men (CCM)) is tirelessly hoodwinking and dividing the ho...
  • Africa's Becoming more Despotic and Nepotistic
    "King of Kings" Gaddaffi The seven-day 40th anniversary of Libya strongman’s autocratic rule and charade elections in Gabon where...
  • Kuna siku tutataifisha haya mahekalu haki ya nani
    Taarifa kuwa waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige alinunua nyumba kwa zaidi ya shilingi bilioni moja licha ya kuwastua wananchi na...
  • Nyangumi mdogo akutwa amekufa ufukweni BC
    Hii ni picha iliyotolewa ya Nyangumi aina ya Humpback ambaye alikumbwa na maji na kutupwa kwenye ufukwe wa bahari ya Pasifiki kwenye eneo l...
  • Kikwete, Charity Begins at Home!
    President Jakaya Kikwete Pea...
  • Kweli binadamu si chochote wala lolote, wamkumbuka huyu?
    Walioko madarakani mkiabudiwa kama miungu au sanamu kumbukeni vijana hawa hata baba zao  ambao maiti zao zinaoza jangwani. Ungewaambia...
  • Pinda kulia hakutoshi, awajibike
    INGAWA kilio cha Waziri Mkuu, Mizengo Peter Kayanza Pinda, kinaonekana kuyeyusha hasira za Watanzania kwa muda, kuna haja ya kudodosa zaidi....
  • Hawa si wachungaji bali ni fisi na mbwa mwitu
    KUMEZUKA mtindo mchafu na wa rejareja wa baadhi ya wachumia tumbo na matapeli kumtania hata kumtumia Mwenyezi Mungu kufanya utapeli na ujamb...

Followers

Blog Archive

  • ►  2025 (84)
    • ►  December (1)
    • ►  November (11)
    • ►  October (9)
    • ►  September (7)
    • ►  August (12)
    • ►  July (8)
    • ►  June (7)
    • ►  May (5)
    • ►  April (4)
    • ►  March (6)
    • ►  February (8)
    • ►  January (6)
  • ►  2024 (92)
    • ►  December (7)
    • ►  November (4)
    • ►  October (11)
    • ►  September (9)
    • ►  August (7)
    • ►  July (9)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (7)
    • ►  March (6)
    • ►  February (7)
    • ►  January (8)
  • ►  2023 (118)
    • ►  December (10)
    • ►  November (10)
    • ►  October (9)
    • ►  September (2)
    • ►  August (4)
    • ►  July (6)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (18)
    • ►  March (13)
    • ►  February (9)
    • ►  January (20)
  • ►  2022 (208)
    • ►  December (14)
    • ►  November (14)
    • ►  October (20)
    • ►  September (20)
    • ►  August (12)
    • ►  July (25)
    • ►  June (22)
    • ►  May (18)
    • ►  April (13)
    • ►  March (18)
    • ►  February (18)
    • ►  January (14)
  • ►  2021 (323)
    • ►  December (23)
    • ►  November (34)
    • ►  October (26)
    • ►  September (13)
    • ►  August (19)
    • ►  July (21)
    • ►  June (29)
    • ►  May (25)
    • ►  April (23)
    • ►  March (43)
    • ►  February (29)
    • ►  January (38)
  • ►  2020 (290)
    • ►  December (33)
    • ►  November (37)
    • ►  October (28)
    • ►  September (35)
    • ►  August (31)
    • ►  July (26)
    • ►  June (17)
    • ►  May (21)
    • ►  April (18)
    • ►  March (15)
    • ►  February (17)
    • ►  January (12)
  • ►  2019 (160)
    • ►  December (8)
    • ►  November (7)
    • ►  October (12)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (18)
    • ►  June (18)
    • ►  May (11)
    • ►  April (11)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (14)
  • ►  2018 (162)
    • ►  December (12)
    • ►  November (6)
    • ►  October (13)
    • ►  September (10)
    • ►  August (20)
    • ►  July (9)
    • ►  June (14)
    • ►  May (9)
    • ►  April (16)
    • ►  March (21)
    • ►  February (17)
    • ►  January (15)
  • ►  2017 (306)
    • ►  December (20)
    • ►  November (23)
    • ►  October (20)
    • ►  September (26)
    • ►  August (31)
    • ►  July (31)
    • ►  June (34)
    • ►  May (26)
    • ►  April (24)
    • ►  March (20)
    • ►  February (28)
    • ►  January (23)
  • ▼  2016 (269)
    • ►  December (22)
    • ►  November (21)
    • ▼  October (22)
      • Serikali ikitaka kunasa wahalifu ifanye yafuatayo:
      • Kijiwe chashanga Lukuvi alivyoshughulikia kashfa Moro
      • My New Book Is Out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      • Prof Tibaijuka anatak kmudanganya nani?
      • Namuonea huruma Magufuli
      • Maticha wanapoonyesha uanafunzi na waziri akaurudia!
      • Kijiwe chamkumbuka mzee Mchonga
      • Soma wasfu wa Massaburi ugundue alivyoghushi udaktari
      • Magufuli kugawa ardhi ya umma HAPANA HAPANA
      • The window into my book: Africa Reunite or Perish
      • Barua kwa mzee Mchonga Nyerere
      • The guy who said hi to death!!!!
      • Kijiwe chataka scorpion askopioniwe
      • Hata kama hujui kiNdebele, muziki huu unakumbusha ...
      • Je watanzania tunaelewa tunachofanya na tunachotaka?
      • Kumbe 'usanii' unalipa!
      • Hayawi hayawi! Afrika yapata treni ya kwanza ya umeme
      • Tunapogeuka kaya ya wapumbavu na wanayama!
      • Kijiwe chalaani upumbavu wa Iringa Mvumi
      • Barua ya wazi kwa Hamad na Lipumba
      • Ungekuwa ni rais huyu mwizi wa magwanda ungemfanya...
      • Mlevi kuomba kuwa mkurugenzi wa bandari
    • ►  September (15)
    • ►  August (12)
    • ►  July (27)
    • ►  June (24)
    • ►  May (23)
    • ►  April (29)
    • ►  March (26)
    • ►  February (27)
    • ►  January (21)
  • ►  2015 (399)
    • ►  December (34)
    • ►  November (24)
    • ►  October (22)
    • ►  September (34)
    • ►  August (29)
    • ►  July (37)
    • ►  June (22)
    • ►  May (32)
    • ►  April (35)
    • ►  March (46)
    • ►  February (47)
    • ►  January (37)
  • ►  2014 (502)
    • ►  December (47)
    • ►  November (49)
    • ►  October (47)
    • ►  September (37)
    • ►  August (40)
    • ►  July (42)
    • ►  June (30)
    • ►  May (35)
    • ►  April (47)
    • ►  March (44)
    • ►  February (39)
    • ►  January (45)
  • ►  2013 (399)
    • ►  December (37)
    • ►  November (27)
    • ►  October (31)
    • ►  September (26)
    • ►  August (33)
    • ►  July (39)
    • ►  June (28)
    • ►  May (40)
    • ►  April (44)
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (29)
  • ►  2012 (597)
    • ►  December (27)
    • ►  November (26)
    • ►  October (27)
    • ►  September (30)
    • ►  August (47)
    • ►  July (94)
    • ►  June (86)
    • ►  May (119)
    • ►  April (83)
    • ►  March (23)
    • ►  February (17)
    • ►  January (18)
  • ►  2011 (261)
    • ►  December (20)
    • ►  November (19)
    • ►  October (20)
    • ►  September (21)
    • ►  August (27)
    • ►  July (12)
    • ►  June (15)
    • ►  May (20)
    • ►  April (27)
    • ►  March (32)
    • ►  February (24)
    • ►  January (24)
  • ►  2010 (205)
    • ►  December (25)
    • ►  November (23)
    • ►  October (23)
    • ►  September (23)
    • ►  August (17)
    • ►  July (13)
    • ►  June (12)
    • ►  May (10)
    • ►  April (18)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (16)
  • ►  2009 (163)
    • ►  December (19)
    • ►  November (14)
    • ►  October (11)
    • ►  September (6)
    • ►  August (12)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (20)
    • ►  April (22)
    • ►  March (14)
    • ►  February (12)
    • ►  January (13)
  • ►  2008 (191)
    • ►  December (12)
    • ►  November (11)
    • ►  October (14)
    • ►  September (15)
    • ►  August (16)
    • ►  July (23)
    • ►  June (10)
    • ►  May (19)
    • ►  April (16)
    • ►  March (19)
    • ►  February (17)
    • ►  January (19)
  • ►  2007 (33)
    • ►  December (13)
    • ►  November (20)

About Me

My photo
View my complete profile

Travel theme. Powered by Blogger.