The Chant of Savant

Thursday 28 February 2013

Hii kitu noma!

Marquis DubaiWorld's tallest hotel opens in Dubai
Hotel ndefu kuliko zote duniani, Marriott's Marquis Hotel Dubai yenye urefu wa futi 1099. Je wenzetu wameamua kuwekeza umangani kuepuka magaidi kushambulia mali zao kwa vile ndiko mazalia yao? Je hii kasi itafika lini Afrika?

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Mmmhhh! itafika ila si kwa kazi hivi ..nakumbuka ule msemo usemao ..Hakuna haraka afrika...