The Chant of Savant

Tuesday 12 July 2016

Dikteta anaposhuka kwenye gari kuchimba dawa



President Museveni makes a roadside call Hivi karibuni imla wa Uganda Yoweri Museveni aliwashaza waganda kwa kuchomoka kwenye gari na kuweka kiti barabarani na kuanza kuchonga bila kujali kuwa kulikuwa na watu  nyuma na mbele ya msafara wake wakipoteza muda kwa sababu ya wendawazimu wa mtu mmoja. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

No comments: