The Chant of Savant

Thursday 16 January 2014

Hapo vipi? Kweli Kikwete bonge la msanii

 Je hapa nani katunga? Hata hotuba za kuandikwa zaweza kuwa kitabu cha kujisifia kutunga? Je jamaa atapata muda wa kusoma haya matabu ambayo kimsingi ni maadui zake wakubwa? Kama kawaida, msanii hapa anaonekana bonge la somi.

3 comments:

Anonymous said...

Kuhusu hayo ma-hotuba yaliyochapishwa kama inahewsabiwa kuwa na mafanikio basi ni sawa na haidithi ya Katope(Nategemea utakuwa unaikumbuka hii hadithi Dr. NN Mhango)

Anonymous said...

Kuhusu hayo ma-hotuba yaliyochapishwa kama inahewsabiwa kuwa na mafanikio basi ni sawa na haidithi ya Katope(Nategemea utakuwa unaikumbuka hii hadithi Dr. NN Mhango)

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon
Naikumbuka sana hadithi ya Katope mtoto aliyeogopa maji akaishia kumomonyolewa na mvua. Au ni ile ya fimbo mchape mbuzi mbuzi anywe maji na maji ya mwagikie Katope....?
Angalizo, ingawa nina mpango wa kufika huko, bado sijawa Dr. Naogopa udokta wa akina Njaa Kaya.