The Chant of Savant

Monday 27 October 2014

Hebu angalieni ubaguzi wa wahindi kwa waafrika


2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Mwanamke akipenda anapenda hasa. KIPENDA ROHO HULA NYAMA MBICHI AKIPENDA ANA PENDA HATA IWEJE. Nimependa mfano huu..Mwenyezi Mungu na awabariki sana.

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Da Yasinta usemayo kweli mama akipenda hakuna kurudi nyuma. Nilitaka ugusie na hili la ubaguzi wa magabacholi kwa waswahili.