The Chant of Savant

Tuesday 8 March 2011

Muluzi naye amfuata Chirac mahakamani


Habari zilizotufikia ni kwamba rais wa zamani wa Malawi Bakili Elson Muluzi amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kutumia vibaya madaraka na ufisadi.Anakabiliwa na shitaka la kutumia vibaya dola za kimarekani 11,000,000.

Nchini Kenya bado wananchi wangetaka kumuona imla wao wa zamani Daniel arap Moi akifikishwa mahakamani kwa kuhujumu nchi hiyo. Kwa Tanzania wimbo ni ule ule. Benjamin Mkapa swahiba wa Muluzi naye anapaswa kufikishwa mahakamani.

Inafurahisha kuona nchi za kiafrika nazo zinaanza kuamka na kupambana na watawala wezi. Kwa habari zaidi
, BOFYA HAPA

No comments: