The Chant of Savant

Monday 23 February 2015

Siku mfalme Kikwete akiondoka Prince Riz atakuwa mgeni wa nani?


Siku hizi kujikomba kwa Kikwete imekuwa fasheni au tuseme njia ya kujihakikishia kuendelea kwenye ulaji. Hapa Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Tuvako Manongi na  naibu wake Ramadhani Mwinyi wakipiga picha na mwana wa mfalme aliyekwenda kuwakagua jijini New York hivi karibuni.

No comments: