The Chant of Savant

Friday 21 November 2014

Please join me in praising Jah Almighty

Kwa wanaokumbuka hii ngoma nadhani watakuwa wamepata kitu roho inataka hasa usawa huu ambapo sanaa imegeuka ubabaishaji mtupu ukiachia mbali magwiji kuzidi kulala. Japo huu wimbo si wa The Gladiator bali Angola Maseko, bado una ladha na mulua. Nakumbuka miaka 90 kwenye maduka yangu ya kanda Mitaa ya Msimbazi na Kipata al maarufu Nkwazi Music Centres wateja wakija na kusema, "Tunaomba ile kanda ya maras wanaonung'unika sana."

No comments: