The Chant of Savant

Sunday 16 November 2014

Hii ngoma vipi?


2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ngoma kama hizi huwa nazipenda sana nimesikiliza zaidi ya mara kumi sielewi wanasema nini ila napenda sana....Ahsante!!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Da Yasinta, nimefurahi kusikia kuwa kumbe hii kitu imekuburudisha. Nitajitahidi kuweka kila nikizipata.Zinafurahisha hasa kwa mtu anayejua Kikikuyu. Ni wega au asante kwa Kiswahili.