The Chant of Savant

Wednesday 25 March 2015

Huyu sijui kama naye anaielewa sera ya uwekezaji zaidi ya uchukuaji


Ama kweli nyani haoni kundule. Bila shaka Mkapa aliposema kuwa wanasiasa hawaielewi dhana (doctrine) nzima ya uwekezaji alimaanisha kuwa naye haijui ikizingatiwa kuwa naye ni mwanasiasa tena mwandamizi. Unafiki mwingine ni wa kizamani. Kwanini asijinyamazie kama mzee Ruksa ambaye ruksa yake ndiyo baba na mama wa huu ufisadi na wizi tunaoshuhudia? Kweli wasohaya wana mji wa nao ni Dar Si Salama!

No comments: