The Chant of Savant

Sunday 15 March 2015

Picha ya Mwezi

Picha hii tulipigwa na binti yetu Ndidziwa mwaka jana tukiwa sehemu sehemu .

By the way jana nilipata kitabu cha Mwl Nyerere cha Ujamaa: Essays on Socialism kitanisaidia kwenye mswada wa kiada ninaoufanyia kazi kuhusiana na kupigania uhuru wa kielimu na kiuchumi.

6 comments:

Anonymous said...

Umetisha comando safi sana

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon nakushukuru kwa complements zako mkuu. Karibu tena.

Anonymous said...

Kula vyako halali Bravo Mwalimu..!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Anon nakushukuru. Huyo kweli ni halali yangu nami yake. Ndiyo raha ya kufuata maadili badala ya madili kama serikali ya jamaa yetu Kikwete. Sijui Rahma Kharoos wake ameishia wapi baada ya kumuandama hadi wakamficha?

Yasinta Ngonyani said...

Mnnetokezea mwenyewe ama kweli picha ya wiki..Huyo shangazi atakuwa mpiga picha mzuri sana!

Ndugu Nkwazi N Mhango said...

Da wa mimi Yasinta asante kwa kutupa complements japo sijui maana ya kutokezea.