The Chant of Savant

Saturday 28 March 2015

Vijana wa zama jikumbusheni enzi hizi

Huu wimbo umeimbwa kwenye lugha ya Ndebele toka Zimbabwe ambayo hufanana sana na Kizulu wao husema isi-Zulu. Ndebele kwa si-Zulu ni jambazi. Hayo tuyaache. Kwa ufupi mama anaongelea mapenzi yanavyomhangaisha hadi anaandika barua huku akingojea majibu. Wale wa kizazi changu na mie wanakumbuka mambo ya kuandika barua na kwenda posta kuituma na kungoja miaka tofauti na sasa ambapo it is just a click away.

No comments: