The Chant of Savant

Wednesday 30 May 2012

Taylor Kufia gerezani

Charles Taylor in court on 30 May 2012
Hatimaye Mahamaka ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) imetoa hukumu ya kufungwa jela miaka 50 kwa aliyekuwa rais wa Liberia Charles Taylor. Kwa umri wake maana yake ni kwamba atafia gerezani. Kwa mujibu wa Shirika la habari la Uingereza BBC, Taylor hakuonyesha kujutia vitendo vyake vilivyosababisha upotevu wa maisha ya watu wengi nchini Sierra Leone na Liberia. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: