The Chant of Savant

Saturday 26 May 2012

Kumbe 2015 ni kiama cha CCM!

Angalia umati wa wananchi na wageni waliohudhuria mkutano wa CHADEMA Jangwani Dar es Salaam leo. Kweli watanzania wameichoka CCM na ufisadi wake. Kwa sura ninazoona hapa FFU hawana ubavu wa kufyatua mabomu ya machozi. Nimaanishacho ni  kwamba kuwepo wa wazungu ni changamoto kwa FFU na CCM. Kila la heri CHADEMA. Muhimu jihadharini na nyemelezi kama John Buda Shibuda na Jaffar Sabodo.

No comments: