The Chant of Savant

Wednesday 23 May 2012

Wapenda sifa ni rahisi kuhongwa upuuzi mdogo mdogo


Waziri wa  Mambo ya Ndani 'Dk' Emanuel Nchimbi akivishwa shada la maua na kiongozi msaidizi wa dhehebu la dini ya kihindi ya Shri Swamirayan hivi karibuni. Nchimbi (mkristo) alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe ya uzinduzi wa msikiti. Mkristo na kuzindua msikiti wapi na wapi? Tukubaliane, jamaa hawa wanawaalika watawala wetu mafisadi ili kuwa karibu nao na kufanya mambo yao yaende. Ni Tanzania pekee ambapo jamii  ya wageni inaweza kumilki uchumi na watawala. Kesho utasikia mhindi fulani haguswi hata akiingiza magendo au mihadarati ukiachia mbali wahamiaji haramu toka kwao.

No comments: