The Chant of Savant

Wednesday 13 June 2012

UFISADI:Tanzania ijifunze toka Sudan Kusini


South Sudan's President Salva Kiir attends the opening of the second session of the National Legislative Assembly of South Sudan in Juba, 11 June 2012


Bunge la Sudan Kusini limeidhinisha kusimamishwa kazi kwa maafisa 75 wa serikali wanaoshutumiwa kuliibia taifa zaidi ya Dola za kimarekani 4,000,000,000. Hivi karibuni rais wa nchi hiyo Salva Kiir Mayardit alitoa ombi kwa watuhumiwa kurejesha pesa hii. Mpaka sasa dola 60,000,000 zimeisharejeshwa. Tanzania ambayo inasemekana kupoteza zaidi ya dola 2,000,000,000 kwa mwaka inapaswa kujifunza toka Sudan ya Kusini ukiachia mbali kuruhusu wezi wa kawaida kuendelea kukaa bungeni. Kwa habari zaidi BONYEZA hapa.

No comments: