The Chant of Savant

Monday 30 April 2012

Haya ndiyo matokeo ya ndoa ya CCM na CUF?


Wengi wanashangaa CCM walikuwa wapi leo huko Tanga Kikwete alipopokelewa na wana CUF.Kikwete yuko Tanga kwa ajili ya maadhimisho ya Mei Mosi. Je atatangazia baraza lake la walaji huko au ndiyo hivyo ziara za bwana mkubwa kama kawa?

No comments: