The Chant of Savant

Sunday 29 April 2012

Unaposhindwa kutofautisha Askof na mhuni mwingine wa kawaida!


Yesu alisema kuwa watakuja wachungaji  wengi  wa uongo na watapoteza wengi. Tanzania inaweza kuongoza kwa kuruhusu upuuzi unaoitwa madhehebu ya dini ambako matapeli wengi wamejipatia mradi toka kwa wajinga na maskini wengi waliotamalaki. Tubadilike na kuanza kuwapiga vita wezi hawa waliojifunika majoho ya dini. Mengine ukiyaangalia hata usoni unajua kabisa hili ni jambazi.Angalia mavazi yao, lugha zao, fasheni zao hata maisha yao utawajua.

No comments: