Free Thinking

I Fear Nothing But Fear Itself

The Curse for Salvation

The Curse for Salvation

Sunday, 29 November 2015

Jiji la Dar: Bomoa bomoa isiishie kwa vidagaa


            Hivi karibuni Halmashauri ya Manispaa ya  Kinondoni imefanya kitu ambacho kimewashinda na kuwashangaza wengi. Ni pale ilipovunja majumba yaliyojengwa kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Mwenge na Kunduchi. Kadhalika halmashauri nyingine za Ilala na Temeke zilivunja majumba yaliyojengwa kiholela kwenye maeneo ya akiba ya barabara.  Hili ni jambo jema. Lazima watanzania wajifunze au kufundishwa kufuata na kuheshimu sheria. Tunashauri ubomoaji huu usiwe nguvu ya soda au kufanya kazi kizimamoto. Lazima upanue wigo wake na kubomoa na kuwatoza faini wote waliojenga kwenye maeneo ya wazi au yasiyoruhusiwa.
            Pia ubomoaji uhusishe majengo mengi jijini yaliyojengwa chini ya viwango. Kwani –majengo haya ni mabomu yanayongojea kulipuka na kuua watu wengi wasio na hatia kam ilivyotokea miaka ya nyuma ambapo jingo la mitaa ya Uhindini liliporomoka na kuua watu wasio na hatia. Tunadhani ni wakati muafaka kuitaka Manispaa ya Ilala kuhakikisha jengo pacha lililokuwa libomolewa wakati wa utawala uliopita na lisibomolewe kufuatia. Pia tunashauri majengo ya vigogo yanayojulikana kujengwa kwenye maeneo yasiyoruhusiwa yavunje. Mfano mdogo ni jengo la Getrude Rwakatare ambalo mbunge mmoja aliwahi kudai lilipaswa kuvunjwa lakini sheria ikamuogopa mhusika. Chini ya utawala mpya wa rais John Pombe Magufuli, tunaamini majengo husika yatabomolewa.
            Pia yapo mahoteli yanayojulikana ambayo nayo  yanapaswa kubomolewa na wahusika kutozwa faini hata kufungwa kwa kuvunja sheria. Haiwezekani tugeuke taifa la wavunja sheria. Lazima tabia hii ikomeshwe bila kuangalia sura ya mtu.
            Kama serikali mpya itarudia makosa yaliyofanywa na serikali goi goi na ya kishikaji iliyopita, itapoteza imani kwa wananchi. Hivyo, ingekuwa vizuri zoezi la kubomoa nyumba zilizojengwa kinyume cha sheria kutoangalia sura wala hadhi ya mhusika bali sheria kama ilivyo.  Kwa kubomoa majengo yaliyojengwa kinyume cha sheria bila kujali thamani yake wala hadhi za wamilki, serikali ya awamu ya tano itakuwa inatoa onyo na tangazo kuwa mambo ya kufanya mambo kwa mazoea yamekwisha wakati wake. Wananchi waisiadie serikali kuikumbusha pale inapojisahau ili itende haki kwa watanzania wote bila kubagua.
            Kitu cha msingi mno hapa ni kufuata sheria kuhakikisha kuwa watakaobomolewa nyumba zao wasiende mahakamani na kudai fidia na kushindwa. Hapa nadhani serikali inabidi kuitupia jicho wizara ya ardhi. Kama kuna watakaokuwa na hati milki za maeneo husika basi wabanwe waeleze walivyozipata au waliowapatia ili nao wachukuliwe hatua. Kwa njia hii tunaweza kuwabaina wafanyakazi wabovu, wala rushwa na wezi hata kama wamefanya madudu haya kwa muda mrefu na kuwachukulia hatua. Hili nalo litatoa onyo kwa wale wanaotarajia kurudia mchezo huu.
            Hili la kumlika wizara ya ardhi ni muhimu sana. Maana tokana na ufisadi, ufisi, ubinafsi na upogo imefikia mahali  hata wageni wanauziwa na kumilkishwa ardhi kinyume cha sheria kama ilivyotokea hivi karibuni ambapo raia wa Uswisi anayeishi nchini Kenya Dk. George Hess alikuwa akiuza viwanja nchini kiasi cha kuzua gumzo jinsi mgeni huyu alivyoweza kumilkishwa ardhi ambayo anaifanyia biashara. Je wako akina Hess wangapi nchini? Je walipataje uhalali wa kumilki ardhi husika? Lazima washirika wa  wahalifu hawa wajulikana ili kuepusha kuhatarisha usalama wa taifa na maslahi ya watanzania. Haiwezekani mgeni aje na kujua wapi kuna viwanja na akapata hati ya kuvimilki bila kuwa na watu ndani ya mfumo.
            Tunaamini kuwa kama manispaa husika zitachukua hatua ya kubomoa majumba yaliyojengwa kinyume cha sheria na kutoa taarifa serikalini kuwachukulia hatua wahusika, tunaweza kuokoa ardhi na fedha nyingi za taifa.
            Tokana na utawala wa kibabaishaji na fisadi, taifa letu liligeuzwa shamba la bibi ambapo watu tena wageni huja na kujifanyia kila watakacho hata kama kinakinzana na sheria zetu bila kuchukuliwa hatua. Chini ya utawala mpya ulioanza kujitofautisha na tawala mbovu za nyuma, watanzania wanategemea kuona mambo yakibadilika na sheria kufuatwa na kuheshimiwa vilivyo.
            Tumalizie kwa kuitaka serikali kushirikiana na Manispaa si za Dar es Salaam bali zote nchini kubaini wezi wa ardhi za umma na kuwachukulia hatua zinazostahili. Tunashauri zoezi hili ligeuzwe kuwa operesheni ya nchi nzima ili kuokoa fedha nyingi za umma na mali zake.
            Tumalizie kwa kumtaka rais Magufuli kuingilia haki kuhakikisha mali na ardhi vya umma havichezewi tena wala kuwa chanzo cha utajiri kwa wahalifu waliotamalaki serikalini. Kiundwe kikosi madhubuti cha kurejesha ardhi ya umma nchi nzima na zoezi hili liwe endelevu na la kudumu. Tunazipongeza halmashauri za manispaa husika kwa kuonyesha mfano. Muhimu zisiangalie ardhi ya akiba ya barabara bali ardhi yote ya umma iliyotwaliwa tokana na utawala fisadi huko siku za nyuma.
Heko manispaa za Dar es Salaam kuonyesha mfano. Tunarajia halmashauri nyingine nchini zitaiga mfano huu wa kizalendo na kimaendeleo.  Tumechoshwa na nchi shamba la bibi ambapo kila nyani anaweza kuja na kujilia mahindi atakavyo kwa vile bibi mwenyewe ima ni kipofu au hana nguvu za kuhami shamba lake.
Chanzo: Tanzania Daiam Nov., 29, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 10:17 No comments:

Dr Magufuli needs to learn from Sokoine's tragedy

Before saying what I’m going to tiddly depone, let me cry first. Don’t think I’m crying because of ganja or kanywaji. No. I’ve remembered my fallen hero Edward Moringe Sokoine. When the name Edward Moringe Sokoine is mentioned many clean Bongolalalanders remember their iconic hero who was felled simply because he’s not ready to be in bed with corruption and injustices. May God rest his soul in peace?
            For those who were born yesterday, Sokoine was heartbreakingly and precociously butchered simply because he hated corruption. He mysteriously died in a road accident on 12 April 1984 at Dakawa on his way to Dar from Dom.  
            Although Dr John Kanywaji Magufuli (JKM) is not Sokoine, he wants to do exactly what Sokoine did; he wants to purge corruption in the hunk. This is why we’re worried that Magufuli needs to tame his mouth and keep his cards close to his chest. The less-traveled boulevard he’s strongly and faithfully taken is treacherous and dangerous altogether. He, thus, needs to do things quietly.  Or if he wants to show some clouts by being on the scene, he’d apply political jujitsu, or shutukiza or unpredictable move without saying anything before. And this should be done without creating a predictable pattern.  The best thing strategically is go after corrupt elements in our hunk. Pounce on them. After you are sure that you’ve descended on all dangerous elements you can be safe and sure of making announcement. Once you catch them then announce instead of making announcements before securing them. A fool is the one who is bitten twice in the same hole. You know what I mean I guess.  Remember what Obama did when he wanted to eliminate that guy with long beards who thought he was another Carlos the Jacko while he's but a coward hiding himself under the bed while telling others to die for his business and madness? Obama did not declare. Instead, he inaudibly pounced. Thereafter, he made a very unflinching announcement.  
            Remember. This is brutal Bongo. Essentially, taking on corrupt bigwigs means denying some ticks their ill-gotten yum-yum they think are God-given however illegal and sinful they are.  I recently read somewhere that Kagoda thief is one of billionaires in Africa. Phew! Is he or? How can a begging hunk like Bongo produce a billionaire over night while rich guys like mzee Bakh Resa and Mzee Mengi who toiled for many years without being on the list? I won’t wonder the other day to hear that Setii Singasinga and Jimmy Rugemalayer of Escrow are featuring in Forbes lists of nabobs of this fucked up world full of injustices and brutalities. Such bĂȘtes noires pay no damn about human life when it comes to standing in their ways.  Ruthless and heartless as they are, they’ll do anything to see to it that either the cripple your efforts or kill you shall they fail to corner you.
            Magufuli inherited a hunk that was felled –for over twenty years –by googly and goofy regimes. I know he knows Loliondo mess not to mention NBC and other parastatals that were sold when the hunk went to the dogs after Mzee Nchonga abdicated Ikulu.  Magufuli needs to wise up and change everything shall he want to deliver our hunk. So, too, he needs to –like Jesus –be cagey about those flocking his table saying sir sir. Most of them either can be his enemies or his nemeses can use to get him.
            I know when Sokoine was felled, Magufuli was in school. However, he knows everything. So, he’d not take things for granted. Who actually are Magufuli’s archenemies?  All bin-Adams with clouds of corruption over their heads are his enemies whether he likes it or not. I don’t think –for instance –those who acquired Kiwira Coal Mine illegally will like his efforts. So, too, the EPA, Escrow, Richmond, Dowan and others will never like him.
            Secondly, all those whose houses were brought down after being built illegally are baying for his blood. Don’t forget drug barons his predecessor allowed to operate with impunity. Even those whose matanuzi oft-tours abroad Magufuli put a stop to are not that happy. Guess what. When a farmer takes precautions to deny monkey, baboons and other bĂȘtes noires stealing his or her produces they hate him or her. For, they think their monkey business is a God-given thing.
            In sum, let me warn Dr Joni Kanywaji that things have changed. He needs to change too by pedantically do things and avert the danger. Timing is of essence at war. You act like a boozer in the middle of the month when he is bankrupt. Whenever he’s timing kanywaji or kalaji, he acts as a speeding bullet and pounces like a cheetah pouncing antelope and vanishes.  You see. I have offered three priorities. I wonder how Dr Kanywaji would have millions of priorities, and would be able to fulfil them.  Anyway, that is that.
Source: Guardian , Nov., 29, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 06:34 No comments:

Saturday, 28 November 2015

Si tu connais francais regarde ici


Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 19:47 No comments:

Whisky Soda


Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 17:39 No comments:

Wednesday, 25 November 2015

Kijiwe chamkaribisha Majaliwa


















Baada ya lais Joni Kanywaji Magufuli kumteua waziri mkuu Ka-telephone Majaliwa, Kijiwe kimemkubali na kinamtakia majaliwa mema yenye ufanisi katika wadhifa wake mpya kama jina lake.
            Mpemba anaingia akiwa na bashasha. Bila shaka ana jambo la kutupasha. Baada ya kuamkua anabwaga gazeti la Danganyika Daima mezani na kusema, “Wallahi mwenzenu leo nna furaha ile mbaya.”
            Kabla ya kuendelea Mbwamwitu anamchomekea, “Una furaha ya nini au ulinusurika kichapo cha bi mkubwa baada ya kuchelewa juzi?”
            Mpemba anajibu, “Mbwamwitu tuheshimiane wallahi. Kama wewe wachapwa na bi nkubwa wako usijedhani wote twapigwa ati.” Kijiwe kinacheka na Mbwamwitu ananywea.
            Mijjinga anakula mic, “Hebu basi Ami tumegee hicho kilichokukuna kiasi cha kuja umefurahi kiasi hiki nasi tufurahi nawe angalau.”
            “Kwani we huwa husomi magazeti na kusikiiza vyombo va habari?”
            Mijjinga anajibu, “Kwani kusoma magazeti na kusikiliza vyombo vya habari ndiyo sababu ya furaha wakati vyombo vingi vya habari vinaonyesha maafa ya ugaidi kama  yale yaliyotokea Misri, Mali na Ufaransa?”
            Mpemba anachukua gazeti na kuonyesha picha ya waziri mkuu brand new, Majaliwa akitafuna kiapo kule Idodomya.
            Mgosi Machungi aliyekuwa amebung’aa anasema, “Kumbe unaanisha uteuzi wa huyu jamaa yangu Majaiwa! Kwei una sababu ya kuwa na fuaha hasa baada ya vigogo na vitegemezi vyao kama yue kitegemezi wa mgosi mwenzangu kupigwa chini waahi.”
            “Watu wengine kwa roho mbaya sina mfano! Badala ya usononeke kwa kitegemezi cha mgosi mwenzio kukosa ulaji nyeti hivi unashangila! Roho mbaya nyingine bwana! Ndiyo maana sisi waswahili hatuendelei,” analalamika Sofia Lion aka Kanungaembe.
            Mheshimiwa Bwege wala hamkawizi, anakula mic, “Mgosi yuko sahihi. Tumechoka na ufalme wa kuingizwa kwa mlango wa nyuma. Hata ningekuwa mimi nisingefurahi.”
            Kanji anachomekea, “Veve heshimiwa Bwege hapana danganya sisi bwana. Iko furahi sababu Jaliwa natoka  sehemu moja yenu.”
            Mheshimiwa Bwege anakwanyua mic tena, “Ni kweli Majaliwa ni ndugu yangu tena wa damu kama hamjui, nafurahi si kwa sababu tunatoka sehemu moja bali nafurahi kwa sababu Dk Kanywaji ameanza na sura mpya kama vile kimwana Tulia aliyetua mjengoni ingawa bosi wake Jobless Nduguy ni kapi lile lile sijui hapa chama kimshika shati Dk Kanywaji ili asizidi kukiumbua hata sijui.”
            Kapende aliyekuwa anateta na Mipawa anaamua kupoka mic, “Hata mimi ni mtu wa Kusini lakini simshabikii Majaliwa kwa vile twatoka kumoja. Mbona nilimpa wakati mgumu Ben Tunituni pamoja na kutoka sehemu moja. Nadhani tukubaliane kuwa umma umechoka na makapi yale yale na usanii ule ule. Nadhani Dk Kanywaji analijua fika hili kwa vile amekuwa nao kwa muda  mrefu.”
Kabla ya kuendelea, Mipawa anakula mic, “Naungana mkono na Dk Kapende kwa vile sisi wanakijiwe tunachukia ufalme wa mlango wa nyuma, kujuana, kulindana na kufadhiliana kwa kupeana ulaji. Nadhani hapa Dk Mwenzangu homeboy Kanywaji ameanza kuionyesha dunia kuwa ameshika usukani.”
            Msomi aliyekuwa anasoma tabu kubwa sana jeusi analiweka chini na kula mic, “Sikuwa na mpango kuchangia leo kutokana na kuwa na kibarua cha kufanya utafiti kuhusiana na kushamiri ugaidi. Lakini mchango wa Dk Mipawa umenikuna kiasi cha kutia guu. Kwanza, nakubaliana na wale wanaoona kama Dk JPM anataka kujitofautisha na utawala mbovu uliopita kwa kufanya mambo tofauti na ulivyokuwa ukifanya. Kwani amejifunza kuwa utawala kidhabu uliopita ulikuwa ukifanya makosa mengi bila sababu. Hivyo,hataki kurudia makosa. Ingekuwa pigo kubwa kwa imani ya wananchi kwa JPM kama angeteua makapi kama Jan Makambale au Billy Lukuuvi. Nani anataka makapi usawa huu wa mageuzi?”
            Anapiga chafya na kuendelea, “Wale wanaosema kuwa uteuzi wa Majaliwa unaweza kuwa siasa za gesi, so be it kama utendaji wake ni mzuri. Hata ningekuwa JPM ningemteua bila kujali wanywanywa watasemaje. Maana kaya sasa inataka sura mpya, nguvu mpya na zenye mawazo mapya ili kuondoa huu uoza wa kunuka ulioachwa nyuma na Njaa Kaya.”
            Mzee Maneno anakula mic kinamna, “Hata mimi kusema ukweli naunga mkono uteuzi upya ingawa jamaa mwenyewe hajulikani. Naamini timu ya Dk Kanywaji –kama haitakuwa zimamoto au nguvu ya soda –inaweza kuleta mageuzi ambayo wengi wanayatarajia.”
            “Hili la utendaji kazi wala usitie shaka mzee mwenzangu. Jamaa yangu mmoja wa Uhasama wa Kaya amenitonya kuwa jamaa ni mchakazi usipime, ni kichaa wa kazi kama JPM. Hebu fikiria mtu anatoka uwaziri mdogo na kuvuka uwaziri na kuwa waziri mkuu. Unadhani huyu ni mchapakazi wa kawaida?” anachangia Kapende huku akikatua kashata yake.
            Hoja hii imekumkuna Kanji kiasi cha kudaka mic, “Hata mimi iko kubali neno ya Pende. Kama hii Jaliwa nakuwa waziri dogo na sasa naruka yote na kuwa vaziri kubwa lazima iko chapa kazi kweli kweli.”
            Mheshimiwa Bwege anakumia mic tena, “Nikienda kumpongeza kwa kuteuliwa nitampa vipande vyake kuwa asiliwe ulaji kama wengine na kuharibu sifa yake. Kwanza, nitamtaka anahakikisha watu wa Kusini tunaona manufaa ya gesi yetu vinginevyo tutamuandamania aondolewe kama atashindwa jambo rahisi na wazi kama hili.”
            Kijiwe kikiwa kinanoga si waziri mkuu Majaliwa katia timu kijiweni kupata kahawa kwa vile ni mwanachama wetu wa muda mrefu!
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 06:41 No comments:

Sunday, 22 November 2015

Mr. President: Bashing office is not the way forward








Mr President JPM,
Hello,
After being sworn in, you (Joni Kadrink Magufuli) started to show your teeth especially your chapchap style of bashing offices to see how things are going (or not going). You recently, bashed the Ministry of Dosh and Mumbili Dying Hospital. To show he means serious biz, he fired the former head of Muhimbili by appointing a new caretaker one not to mention disbanding the ulaji and do-nothing board. Some boozers aren’t convinced. They think it is but nguvu ya soda or fire brigade stuff. Again, to begin with, I may say Kudos Dr Kadrink.
Methinks what should be done is neither examining the effectiveness or shortfalls of bashing. We need to ask and answer one major question: Will an individual be able to visit all departments, ministries, regions and whatnot in the whole hunk? When will he carry on other responsibilities as the managing director of the hunk?
            We have some proposals vis-Ă -vis reforming our sitting-duck offices and departments that swindlers and con men and women turned into vijiwes and the places of scooping dosh without working. This can’t go on. Therefore Dr. Kadrink must do the following:
First, you’d ask the parliament to enact laws that allow him to overhaul the whole system and regime in the whole hunk. People should work according to the laws and regulation but not for the fear of an impromptu visit from Dr. Kadrink.
Second, there must be a task force that will receive reports on work and inspect all areas to make sure that those found doing nothing should be fired forthwith.
Third, every head of whatever be it a government, department or section should instruct his subject to report their self-evaluation monthly based on targets set to be achieved within a certain period of time. So, too, there must be the system of rewarding workers who will report lazy or ghost workers. For example, if someone reports ten ghost workers, ten percent of the dosh that would have been paid to the quack listing them must be paid to the whistle blower. Using this system, all vices in the office of the govt will vanish. For, nobody will be able to know who will report whom. Simple.  Paul said that whoever that “The one who is unwilling to work shall not eat,” (2 Thessalonians 3:1). So, too, whoever sleeping at the wheel should be fired instead of transferring him or her to another place to mess even more as president did when he fired Muhimbili former boss.
Fourth, all shoddily dubious appointments should be probed. I understand there are many unfit bin-Adams who were appointed based on technical know who instead of merits. There is a lot of them in our missions abroad, judiciary, many eating boards of various parastatals, DCs and RCs not to forget in fat departments such as Internal Affairs especially at border posts, International Airports, Harbour, BoT, immigration, police, TRA and elsewhere. It is easy to descend on such swindlers. Order them to declare their wealth before investigating them thoroughly.
            So, too, the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) should not be under your office so that it can take on whomever even if it takes on you. This is what is known as rule of law and transparency. Due to being corrupt through and through, I’d propose that PCCB be disbanded and overhauled so as to form an independent new one with teeth and guts to take on anybody. 
Fifth, Mr President, computerize everything. The so-called developed countries beat us for computerizing everything. With the computerization of everything, nobody will be able to evade tax or receive money using ghost workers as it has been going on since Ruxa’s time. Computerization of service and jobs will also avert having economic immigrants that have recently inundated our hunk especially from China, India, Turkey and elsewhere.
            Sixth, fight graft so as to raise money that will be used to pay and remunerate workers.
            Seventh, I suggest that you form a very sizable and able government by avoiding tapping into former dregs and leftover from the former regime that is renowned for its ubangaizaji. Don’t forget to stop your bi mkubwa from forming an ulaji NGO just like the former two.  In taking on graft please don’t forget googly scandals such as, Dowan, EPA, Escrow, IPTL,  Kiwira, Meremeta Richmond, SUKITA, UDA  and others that are known even to the birds in the hunk. Additionally, we urge you, Mr President, first not to appoint anybody that has been linked with any scam such as forgery, corruption even being a member of intranet works in the party. Doing so, will surely send a strong signal to culprits and those he’ll sign up to reckon with what can transpire shall they make any goof.
Blessed be Mr President. I am waiting for your invitation so that we can chat more.
Source:Guardian, Nov., 22, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 13:55 No comments:

Friday, 20 November 2015

Very interesting

Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 05:41 1 comment:

Tuesday, 17 November 2015

Economic Immigrants, What Europe Must Do


Syrian refugees
Recently, African and European Union (EU) leaders held a conference on economic immigrants in Malta aiming at hammering out the solution to the phenomenon that seems to be a hot potato for the EU.  The conference started on a wrong foot. For, economic immigrants don’t only come from Africa. So, the conference was supposed to involve other countries from which economic immigrants originate.
We all know that Asia produces many economic immigrants who not only end up in Europe but also in Africa. The EU –after feeling the heat of the surge of refugees mainly from Syria and economic immigrants from Eastern Europe, Asia and Africa –found itself gasping with a bigger problem than envisaged. So, it had to do something to arrest the “threat” to its development, culture and wellbeing. It offered 2 billion dollars that African leaders rebuffed wanting the West to stop exploiting Africa. They said categorically that they don’t need money but fair and just trade. The token given didn’t even make sense. How could Germany spend 20 billion Euros in dealing with refugees and think that over 50 African countries could spend one tenth of the amount to stop the phenomenon? “Germany's federal states and municipalities could face costs of up to 16 billion euros (11.47 billion pounds) next year to deal with the refugee crisis,” the Association of German Cities says. African leaders have the bargaining chip that will change everything shall they cling unto it and use it wisely to their advantage.    
Again, looking at what causes economic immigrants to become a permanent phenomenon, we find that the measures the EU envisaged to take seem to find and offer a temporal reprieve. Arguably, poverty resulting from unjust and unfair trade in Africa and Asia is the only cause of economic immigrants. Now what should be done?  True, inequitable and exploitative relationship between the global North and the Global South is the major cause of all this. Deconstruct it and reconstruct it based on equitable and just exchange.  
Although the North-South relationship in dealing with trade and development has worked in some places, it is still inequitable; and enables the Global North to exploit and dominate the Global South, thus cause poverty based on struggle for resource and drive to meet unmet needs.  Ontologically, the relationship between the Global North and the Global South as extension of colonialism is embedded in how the two do business.            
Diagnostically, it is noteworthy that the Global North has more causation of poverty than a solution. Due to the hegemonic nature of this relationship, the Global North uses its market-oriented neoliberal policies to exploit the Global South. Therefore, the EU’s proposal of making Africa “livable” by offering some cash is not a panacea. Embark on equitable commercial and economic relationship and everything will change for the better for both parties. After either suffocating and ignoring or side-lining the Global South, the Global North created a paternalistic and clientele system in which the latter is at the receiving end while Global North is in the position of dictating everything as far as the relationship between the duo is concerned.      
Theoretically, the relationship between the Global North and the Global South is treated as a major cause of poverty due to its exploitative nature. So, too, the relationship in question has caused a lot of conflicts in the Global South resulting from struggle for resource control. It must be underscored from the outset that the relationship between the Global North and the Global South is more of conflictual than peaceful due to the fact that under the basic needs theory, there are a lot of needs that are not met in the Global South due to the exploitative nature of the relationship between the Global North and the Global South. Again, despite the basic human needs theory being propounded by Western scholars, the Global North has never practically and equitably applied its rationale when it comes to dealing with the Global South.
The neglect of basic human needs in the Global South has led to stinking poverty resulting from uneven and unfair distribution of resources of which many are sold to and consumed in the Global North.  The conflict resulting from North-South relationship regulated by capitalistic market has been overlooked as a good cause of poverty in the Global South. Arguably, such an unfair relationship has fueled violent conflicts that have always preoccupied the international community.
The conflicts seem to have been internalized. Refer to how the International Monetary Fund (IMF) the World Bank (WB) and other International Financial Institutions (IFIs) have always applied double standard in dealing with the Global South. There are some flaws in the Global North’s policies superimposed on the Global South. The approach that the international community has taken under the diktat of the Global North massages the exploitation so as to be overlooked as a major cause of the problem of economic immigrants.        
If the EU seriously wants to do away with the economic immigrant phenomenon, it must marshal the whole Global North to overhaul its exploitative relationship that has seen African countries supplying raw material and consuming processed goods. The solution is only in economic and technological exchange instead of clientele relationship. Africa has raw materials. Europe has technology. If the two will agree to exchange their products, chances of turning things around are high. Offering billions of dollars won’t solve the problem especially in the continent under many corrupt and inept governments. 
Source: African Executive: Nov., 18, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 19:39 1 comment:

Kijiwe champongeza na kumshauri Magufuli


            Baada ya kuapishwa na kuingia kazini kwa gea kubwa, kijiwe kimempongeza tena rahis Kanywaji Makufuli na kumtaka akaze buti zaidi. Kijiwe leo kinakaa kuangazia machache ambayo ndugu rahis ameishafanya.
            Kapende anaingia na kuamkua na kulianzisha, “Waheshimiwa wanakijiwe, hemu nipe tathmini yenu kuhusiana na utendaji wa ndugu rahis ambaye naona kama ameanza kwa kasi ya kuridhisha.”
            Mijjinga anakwanyua mic, “Kwangu ni mapema kutoa tathmini hasa ikizingatiwa kuwa rahis ni mwanasiasa tena anayetekeleza sera za chata fisadi na chovu lililopaswa kuondoka kama si wapingaji kujipinga kwa kulala kitanda kimoja na fisadi.”
            “Mie naona ameanza uzuri wallahi. Maana anivovamia maofisi na kuwatia jambajamba wazembe na wasaka tonge lau yatia moja kwa kuanzia,” anajibu Mpemba huku akikatua kashata yake.
            Mgosi Machungi anakula mic, “Mie naona kama anajichosha sana. Sijui kama mtu mmoja ataweza kuzunguka maofisi yote na kuwatia hiyo jamba jamba wabangaizaji waiojazana kwenye kaya yetu. Tinamshaui aunde mfumo unaojiendesha wa kuweza kuwabaini na kuwashughuikia wazembe makazini.”
            Mipawa anakula mic, “Nakuunga mkono Mgosi. Kaya ni kubwa na mtu mmoja hawezi kufua dafu. Huwezi kutegemea uchapaji kazi wa maana kwa kutegemea mtu mmoja zaidi ya mfumo. Nadhani kama rais anamaanisha anachofanya, kitu cha kwanza ni kuangalia mianya ya uzembe, ufisadi, rushwa na kuiziba kwanza halafu atunge sheria na kuhakikisha zinafanya kazi. Simpo.”
            Msomi Mkatatamaa aliyekuwa akisoma gazeti la Newsweek analiweka mezani na linakoswa wa kulichangamkia tokana na kuandikwa kwa Kikameruni. Anakula mic, “Kimsingi rahis ameonyesha njia ingawa kwa namna ambayo –huko tuendako –haitakuwa na tija. Hakuna haja ya kujenga nidhamu ya woga. Tunapaswa kuwa na mfumo unaojenga nidhamu ya uwajibikaji ambapo kila mmoja wetu anatimiza wajibu wake. Ningeshauri rahis akae ofisini atulie. Afanye utafiti na uchunguzi wa mambo yaliyoifikisha kaya hapa hasa suala zima na ufisadi, kulindana, kujuana, kulipana fadhila na mambo mengine kama haya.” Anapiga chafya na kuendelea, “Kama ningekuwa rahis au mshauri wake, kwanza ningempa orodha ya watendaji walioteuliwa kwa kujuana na kulipana fadhila kama vile Miingo Rweyependekeza, Po Makondae, Hamosi Makala, Alima Dendengu na wengine wanaojulikana kupewa ubalozi, ukuu wa wilaya na mikoa na ujaji kwa sababu tu ni washikaji wa rahis aliyepita au washikaji wa bi Mkubwa wake. Kwa kufanya hivi, rahis atakuwa ameonyesha asivyotaka mchezo na yeyote.”
            Kabla ya kuendelea, Mzee Maneno anamchomekea, “Hapo Msomi umegusa penyewe. Juzi jamaa yangu wa usalama wa Kaya ameniambia kuwa hao uliowataja na wengine sasa wako matumbo joto. Nasikia baada ya kumtimua Salva Rweyependekeza, wengi wa aina yake hawalali. Wengine nasikia wanatumia muda mwingi Bwagamoyo ili kuroga wasiondolewe kwenye ulaji na ujambazi wao.”
            “Watu wengine kwa umbeya, wewe umewaona au ni rongorongo ya kutaka kufurahisha kijiwe? Kama aliyewateua alitumia mamlaka yake, nani wewe kuhoji uteuzi wao?” anafoka Da Sofia Lion aka Kaunungaembe.
            Mijjinga hamkawizi, “Da Sofi nao umezidi kutetea uoza. Ungejua tabia kama hizi ndizo zinatukwamisha kama kaya wala usingetetea upuuzi huu da yangu.”
            Kanji naye anakatua mic, “Da Sofi kweli fanya kosa sana. Hiwi veve iko jua vatu kama Konda na wengine Somi najataka nakula juluku ya umma bure? Kama nasema iko kama haiko iko nakuja dada yangu. Lazima rahis fukuza vao na teua vatu iko na udhu bwana.” Kijiwe kinashangaa jinsi Kanji anavyomkaanga mshikaji wake.
            Mheshimiwa Bwege anakula mic, “Nina shaka na staili ya Dk Kanywaji ya kutawala. Hivi alishatangaza utajiri wake? Je anangoja nini? Kama alivyosema  Dk Mgosi ni kwamba mtu mmoja hawezi kuleta nidhamu ya utendaji kazi uliotukuka. Naungana na wanaotaka abadili mfumo uliopo. Ngoja niongeze pwenti nyingine. Rahis,  kwanza aondoe Taasisi ya Kulinda na Kupamba Rushwa (TAKOKURU) chini ya ofisi yake. Pili aisuke upya kwa kuipa kazi upya. Ili ifanye kazi bila kutumia fursa kujitajirisha kama ilivyo, polisi wapewe mamlaka ya kuichunguza TAKOKURU kama ilivyo na mamlaka ya kuwachunguza. Pia usalama wa Kaya iundwe upya na kuzichunguza taasisi hizi mbili huku nazo zikiichunguza. Kila mmoja amchunguze mwenzie. Napendekeza hili ili kuondoa kujuana na kushirikiana katika jinai.”
            Tokana na pwenti kali alizotoa mheshimwa Bwege, Msomi anarejea kukazia maarifa, “Kwanza muongezee kahawa mheshimiwa Bwege. Ametoa mchango wa nguvu ambao lazima umfikie rahis ili aufanyie kazi.”
            Kabla ya kuendelea Mbwamwitu anachomekea, “Mshauri rahis Kanywaji amteua mheshimwa Bwege mbunge halafu waziri aone kijiwe kitakavyomsaidia kuendesha kaya mchakamchaka.”
            Msomi anaendelea, “Kwanza namkaribisha rahis hapa kijiweni aje akutane na madaktari wenzake tumpe uzoefu na mikakati ya kuendesha kaya hii. Nadhani kuunda taasisi nyingi zinazochunguzana ni jambo la msingi sana. Pia niongezee kwa kushauri wanakaya wapewe haki na uhuru kisheria kuchunguzana na kuzichunguza taasisi husika. Hapa kweli itakuwa kazi tu.”

            Tukiwa hatuna hili wala lile si rahis Kanywaji alishuka kwenye shangingi lake na kuja kunywa kahawa nasi! Tuonane wiki ijayo insh’Allah.
Tanzania Daima: Nov.,18, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 19:37 No comments:

Sunday, 15 November 2015

Open notelet to president Magufuli


            Honourable President John Pombe Magufuli,
            I must admit from the outset. I didn’t like your party before appointing you its presidential flagbearer. Guess what. I predicted you’d become fifth president two years before. Had the opposition brought another person other than Eddy Lowassa, my love wouldn’t have waned. Again, after Lowassa was crowned opposition’s flagbearer, my love shifted to you but not to your party. I still dislike your party up till you overhaul it. Yet, I’ve a lot of veneration and faith in you as a hard worker.
            Sir, I humbly seek you leave to communicate with you for the first time. I hope –before you became president –you used to read this column. I’m sure you liked it so much and you still do. Take note that – after becoming president –you may find yourself being probed or clinically examined if not dissected here. Today I’m touching base with without anything in my head or blood. I’m as sober as a judge.
            I pray that I address the following:
Firstly, Boozers have sent me to tell you the following that they want you to fulfill. They want you to declare your wife’s and your wealth and thereby ask all of your officials and who’s who in your government to follow suit.
            Secondly, you must mercilessly deal with drug dealers that your predecessor spared for reasons only known to himself failure to which boozers will believe –as they did with him –that you’re benefiting from this crime.  So, too, you must mercilessly take on corrupt officials. It is easy. Form an underground task force to probe all that cheat in declaring their wealth. Make sure you hit the nail on the head so that the message sent can daunt and put sense into others still at large. Boozers still believe that you can retrieve the dosh these corrupt putas stashed in Swiss Banks and other Western capitals.
            Mr. brand new President, you’re in the past government. You saw and heard everything. Thus, you know everything. Do you remember the promises your predecessor offered on stamping thugs out of the hunk to no avail? Please, spear nobody. Boozers say that your job’s still bigger. Make sure that all thugs are deposited behind bars. So, too, avoid thuggish behaviour of allowing your wife to form an NGO aimed at minting and printing dosh on the back of the state house.  For boozers, forming a bogus NGO is as good as thuggery. After you’re done with thugs take on thuggish investment contracts that need to be reviewed, annulled and whatnot.
            I heard one rookie saying he is another Sokoine. Had he known that you’ll become bigger than his Sokoine, he’d not waste time. I hope you remember what Sokoine did vis-Ă -vis saboteurs that we still have in the upper echelons of power. Play your cards secretly and wisely otherwise you’re playing with fire. You know what I mean. Before I forget, taking on bogus contracts won’t be enough without hauling up all those involved in past scams such as EPA, Escrow, IPTL, Richmond, Merementa, Mwananchi Gold, UDA, SUKITA, Kiwira, Loliondo, Presidential jet and radar and many more you obviously know.
            Everybody is waiting to see the type of people you’re going to appoint to be your ministers. Boozers say is openly and loudly that you’d not appoint forgers, corrupt, inept and indolent mortals. All those who butchered our education shouldn’t be considered.  Think about revivifying our education system. Being a teacher yourself, I know you know the importance of education especially as it was fine-tuned by mzee Mchonga.
            Another problem that denies boozer sleeps is none other than ghost workers, illegal immigrants mostly from Asia and tax evaders. Boozers know too well as you do that our country has become shamba la bibi under chizi. To do away with this anathema, make sure, you put a stop on all such criminality. Go further. Probe your predecessors and their family members. We know of young kids who became rich just because their parents were biggies. Descend on them like a hawk descending on chicks.
            There are other areas to reconsider. Increase the budgets of education and health for the development of the country.  No sick and ignorant nation can develop in a meaningful manner.  I heard you putting a stop on globetrotting that your predecessor was famous of. Make this habitus-cum-continuum instead of being an action. Probe the swelling of our external debt. There must be culprits waiting to be nabbed and jailed hither so to speak.           
            Finally, boozers are waiting for you to fulfill your promises you made during the campaigns so as to convince them to vote for you knowingly you’re seconded by a corrupt party. Overhaul it and make sure no stone is left unturned. In doing so, you need to be proactive instead of being reactive.

Next time you’ll the series of poetic Hello Mr President.
Source: Guardian November 15, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 05:34 4 comments:

Friday, 13 November 2015

Mlevi akumbuka Kiquete kuingiana EPA kuondoka na Escrow

            














Utawala wa rahis mtaafiska Njaa Kaya Kiquette ulisifika kwa mambo mengi ya hovyo mojawapo ikiwa ni kukumbwa na kashfa mara kwa mara. Kwani lilikuumbwa na kashfa hata kabla ya kuundwa huku jamaa akituhumiwa kushiriana na rais Mstaafika Ben Makapi kuchota njuluku Banki kuu kwenye fuko la madeni ya nje almaaruf EPA. Wote wawili hawa kukiri au kukanusha. Hata hivyo, ushahidi wa kimazingira unaonyesha ukweli hasa pale Kiquette alipowataka waliochota fedha hizo kurejesha badala ya kuwafungulia mashtaka.  Hata ukimya wake na kukwepa kukiri au kukanusha unaweza kuwa ushahidi mzuri tu unaoelekeza kwenye ukweli wa mambo.
            Jamaa alipowambia wenzake kurejesha njuluku na si kuwashughulikia, wenye akili walijiuliza; Je ni waarabu wa Pemba? Je kuamuru kurejeshwa chumo la wizi si kushiriki wizi ule ule kwa mlango wa nyuma? Je si motisha kwa wezi wengine –hata ambao hawakuwa na mpango wa kuiba –kuiba wakijua hakuna adhabu wala maumivu?
            Bahati mbaya, jamaa hakuwahi kueleza mantiki na sababu za kupinda sheria kuwanusuru wezi kama hanao ushirika. Wengi walitaka kusika utetezi wake.  Jamaa ameondoka na EPA kama alivyoingia navyo. Ameondoka amechafuka zaidi kwa kashfa nyingine ya Escrow. Hapa ndipo usemi kuwa aliingia kwa EPA na kuondoka na Escrow unapata maana.
            Jamaa anaingia kwenye vitabu vya historia kama rahis aliyewaonea huruma wezi kiasi cha serikali yake kusifika kwa ufisadi zaidi ya mema. Atakumbukwa kwa matumizi na matanuzi yake yaliyoongezea uchungu kwa walipa kodi walioibiwa haya mabilioni ya EPA na Escrow. Nani anaweza kusamehe au kusahau kashfa ya Richmond ambayo ilimhusisha mshirika na rafiki yake mkuu waziri wake mkuu Eddie Lowassa ambaye hadi kesho anasema alitolewa kafara. Je waliozoea kuuibia umma kwa maslahi binafsi na kisiasa walikuwa nyuma ya wizi huu, ni juu ya msomaji kuamua mwenyewe.
            Licha ya kuzidi wizi wa mabilioni, utawala wa jamaa ulishuhudia deni la taifa likifumka kupita viwango tokana na matumizi ya hovyo na ukwapuaji ambapo wahusika hawakuchuliwa hatua. Nani mara hii atasahau utamaduni mpya wa kuficha majina ya walaji aliokuwa akiandamana kwenye mamia ya safari zake ughaibuni?
            Pia, utawala wa jamaa unasifika kwa kuvumilia mafisadi wengi walikingiwa kifua bila kujua sababu za msingi za kufanya hivyo. Rejea, mfano, mamlaka za Uswisi zilipolalamika kutopata ushirikiano toka lisirikali kurejesha mabilioni yaliyofichwa huk, bada Badala ya kushangilia kitendo hiki cha utu, tulishuhudia balozi wa Uswisi nchini Olivier Chave akitishiwa na mwanasharia mkuu wa wa wakati ule Freddie Werema aliyejizolea sifa ya kutetea uoza kuliko uadilifu. Ni huyu huyu aliyetishia kumkata kichwa mheshimiwa mbunge aliponyooshea kidole ujambazi wa Escrow ambapo matapeli wa kitanzania na kimataifa waliweza kutumika kuwaibia watanzania jumla ya shilingi zipatazo bilioni nyingi.
            Wakati baadhi ya washirika wa jamaa wakikerwa na kufichuliwa madhambi yake, yeye alikuwa kimya akitabasamu kama kawaida kana kwamba hakuna kilichotokea! Wengi walianza kuuliza. Ndiyo haya Maisha Bora kwa Wote au kwa baadhi tena wateule, wake na watoto, waramba viatu na marafiki zao?
            Mtangulizi wa jamaa aliondoka akinuka kwa kashfa ya kufanyia biashara ikulu na kujitwalia mali za umma, jamaa amempiku. Kwani ameondoka akinuka wizi kwa kutoshughulikia waliovunja Benki kuu na kuiba mabilioni.
            Wapo wanaodhani wizi wa Escrow –sawa na wa EPA –una mkono wa chata twawala. Kwanini wizi huu wote ulifanyika karibu na uchaguzi ambapo chama kilikuwa kinataka kushinda kwa udi na uvumba? Hapa ndipo ulipo mkanganyiko ambao ulimhusisha wore waliopo na waliotimka.

            Hata hivyo, kilichowazi ni ukweli usiopingika kuwa Kikwete anaondoka madarakani akiwa ameweka rekodi ya kuingia na kuondoka madarakani kwa kashfa za wizi wa mabilioni ya watanzania maskini ambao serikali yao licha ya kuruhusu wizi inaendeshwa kwa fedha za kukopa na kuomba. Hapa hujaongelea ni namna gani ofisi yake imetumika kuanzishia NGO za bi mkubwa kwa ajili ya kutunisha fuko la baada ya kuondoka ofisini. Hapa hujagusia kashfa zilizowahusisha watu wake wa karibu na hata yeye mwenyewe.
Chanzo: Nipashe Nov., 14, 2015.
Posted by Ndugu Nkwazi N Mhango at 20:12 No comments:
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

Cordially and unlimitedly welcome to this blog.


Writing and reading are two different processes but which share the same goal-to educate, communicate and entertain.
It is my pleasure to have you as the guest of this tablet.
I, thus, warmly and always, welcome you to share ideas.
Importantly and eminently, shall there be anything amiss or you think can advance this blog, please donate it.
Allow me to humbly and kindly welcome you once again.
Nkwazi N Mhango- A Man And a Half

When wisdom brings no profit, to be wise is to suffer. Not all thoughts are good and constructive. Others are even worse than bullets. The good thinkers are the ones that think constructively for the manumission of all bin-Adams regardless their diversity. Mwl. Nkwazi N Mhango,
Canada.


I Love My Country Tanzania

I Love My Country Tanzania

The Curse of Salvation

The Curse of Salvation

Gen Z and Internet Revolution

Gen Z and Internet Revolution

I Cry for Ambazonia and Darfur

I Cry for Ambazonia and Darfur

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

How the Berlin Conference Clung on Africa: What Africa Must Do.

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Liberal Peace Conflict, Gender, and Peacebuilding

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

Yoo-hoo, Africa Is Yowling

The Story of Stories

The Story of Stories

The Chant of Savant

The Chant of Savant

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA’S CONTEMPORARY FOOD INSECURITY Self-inflicted Wounds through Modern Veni Vidi Vici and Land G

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

AFRICA MUST DEAL WITH BLATS FOR ITS TRUE DECOLONISATION

Epistle to Afrophobic South Africa

Epistle to Afrophobic South Africa

Magufulification

Magufulification

BORN NUDE

BORN NUDE

Total Pageviews

Heko Rais Magufuli

Heko Rais Magufuli

DECOLONISING EDUCATION

DECOLONISING EDUCATION

Kudos President Magufuli

Kudos President Magufuli

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

JOKEY HORSE-JOCKEY NORTH-SOUTH RAPPORT Diagnostic-cum-Prognostic-Academic Perspectives on Who Truly

The Family Friend of Animals

The Family Friend of Animals
Children's Book

Matembezi Mbuga ya Wanyama

Matembezi Mbuga ya Wanyama
Kitabu cha Watoto

Our Heritage

Our Heritage
Children's Book

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

How Africa Developed Europe:Deconstructing the His-story of Africa, Excavating Untold Truth...

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

Africa's Dependency Syndrome: Can Africa Turn Things around for the Better?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

'Is It Global War on Terror' or Global War on Terra Africana?

Perpetual Search

Perpetual Search

Africa's Best and Worst Presidents

Africa's Best and Worst Presidents

Psalm of the Oppressed

Psalm of the Oppressed
Psalm of the Oppressed

AFRICA REUNITE or PERISH

AFRICA REUNITE or PERISH
A new approach towards empowering Africa

BORN WITH VOICE

BORN WITH VOICE

Soul on Sale

Soul on Sale

Soul on Sale

Nyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

We are one

We are one

SAA YA UKOMBOZI

SAA YA UKOMBOZI

Feel at home

You are always welcome to this epistle again and again time after time, ad infinitum.


Most read Posts

  • Sarkozy’s Take on African Fat Cats a Welcome Move
    At last the chicken are coming home to roost! French authorities made a groundbreaking decision by culling three most corrupt African presid...
  • Napanga kuanza kuuza mitumba na si maneno
    Ingawa mimi si mtumba, napanga kuuza mitumba. Nimechoshwa na jamii ya mitumba. Kila kitu mitumba. Mitumba, mitumba mitupu. Siasa za mitumba...
  • Better or Bitter Life for all?
    When I deeply muse on how an arrogant and brutal cabal of hoity toity (Coverted Con Men (CCM)) is tirelessly hoodwinking and dividing the ho...
  • Africa's Becoming more Despotic and Nepotistic
    "King of Kings" Gaddaffi The seven-day 40th anniversary of Libya strongman’s autocratic rule and charade elections in Gabon where...
  • Kuna siku tutataifisha haya mahekalu haki ya nani
    Taarifa kuwa waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige alinunua nyumba kwa zaidi ya shilingi bilioni moja licha ya kuwastua wananchi na...
  • Nyangumi mdogo akutwa amekufa ufukweni BC
    Hii ni picha iliyotolewa ya Nyangumi aina ya Humpback ambaye alikumbwa na maji na kutupwa kwenye ufukwe wa bahari ya Pasifiki kwenye eneo l...
  • Kikwete, Charity Begins at Home!
    President Jakaya Kikwete Pea...
  • Kweli binadamu si chochote wala lolote, wamkumbuka huyu?
    Walioko madarakani mkiabudiwa kama miungu au sanamu kumbukeni vijana hawa hata baba zao  ambao maiti zao zinaoza jangwani. Ungewaambia...
  • Pinda kulia hakutoshi, awajibike
    INGAWA kilio cha Waziri Mkuu, Mizengo Peter Kayanza Pinda, kinaonekana kuyeyusha hasira za Watanzania kwa muda, kuna haja ya kudodosa zaidi....
  • Hawa si wachungaji bali ni fisi na mbwa mwitu
    KUMEZUKA mtindo mchafu na wa rejareja wa baadhi ya wachumia tumbo na matapeli kumtania hata kumtumia Mwenyezi Mungu kufanya utapeli na ujamb...

Followers

Blog Archive

  • ►  2025 (33)
    • ►  June (4)
    • ►  May (5)
    • ►  April (4)
    • ►  March (6)
    • ►  February (8)
    • ►  January (6)
  • ►  2024 (92)
    • ►  December (7)
    • ►  November (4)
    • ►  October (11)
    • ►  September (9)
    • ►  August (7)
    • ►  July (9)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (7)
    • ►  March (6)
    • ►  February (7)
    • ►  January (8)
  • ►  2023 (118)
    • ►  December (10)
    • ►  November (10)
    • ►  October (9)
    • ►  September (2)
    • ►  August (4)
    • ►  July (6)
    • ►  June (9)
    • ►  May (8)
    • ►  April (18)
    • ►  March (13)
    • ►  February (9)
    • ►  January (20)
  • ►  2022 (208)
    • ►  December (14)
    • ►  November (14)
    • ►  October (20)
    • ►  September (20)
    • ►  August (12)
    • ►  July (25)
    • ►  June (22)
    • ►  May (18)
    • ►  April (13)
    • ►  March (18)
    • ►  February (18)
    • ►  January (14)
  • ►  2021 (323)
    • ►  December (23)
    • ►  November (34)
    • ►  October (26)
    • ►  September (13)
    • ►  August (19)
    • ►  July (21)
    • ►  June (29)
    • ►  May (25)
    • ►  April (23)
    • ►  March (43)
    • ►  February (29)
    • ►  January (38)
  • ►  2020 (290)
    • ►  December (33)
    • ►  November (37)
    • ►  October (28)
    • ►  September (35)
    • ►  August (31)
    • ►  July (26)
    • ►  June (17)
    • ►  May (21)
    • ►  April (18)
    • ►  March (15)
    • ►  February (17)
    • ►  January (12)
  • ►  2019 (160)
    • ►  December (8)
    • ►  November (7)
    • ►  October (12)
    • ►  September (9)
    • ►  August (27)
    • ►  July (18)
    • ►  June (18)
    • ►  May (11)
    • ►  April (11)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (14)
  • ►  2018 (162)
    • ►  December (12)
    • ►  November (6)
    • ►  October (13)
    • ►  September (10)
    • ►  August (20)
    • ►  July (9)
    • ►  June (14)
    • ►  May (9)
    • ►  April (16)
    • ►  March (21)
    • ►  February (17)
    • ►  January (15)
  • ►  2017 (306)
    • ►  December (20)
    • ►  November (23)
    • ►  October (20)
    • ►  September (26)
    • ►  August (31)
    • ►  July (31)
    • ►  June (34)
    • ►  May (26)
    • ►  April (24)
    • ►  March (20)
    • ►  February (28)
    • ►  January (23)
  • ►  2016 (269)
    • ►  December (22)
    • ►  November (21)
    • ►  October (22)
    • ►  September (15)
    • ►  August (12)
    • ►  July (27)
    • ►  June (24)
    • ►  May (23)
    • ►  April (29)
    • ►  March (26)
    • ►  February (27)
    • ►  January (21)
  • ▼  2015 (399)
    • ►  December (34)
    • ▼  November (24)
      • Jiji la Dar: Bomoa bomoa isiishie kwa vidagaa
      • Dr Magufuli needs to learn from Sokoine's tragedy
      • Si tu connais francais regarde ici
      • Whisky Soda
      • Kijiwe chamkaribisha Majaliwa
      • Mr. President: Bashing office is not the way forward
      • Very interesting
      • Economic Immigrants, What Europe Must Do
      • Kijiwe champongeza na kumshauri Magufuli
      • Open notelet to president Magufuli
      • Mlevi akumbuka Kiquete kuingiana EPA kuondoka na E...
      • Kijiwe chahoji baadhi ya mambo kwenye uapishaji
      • Habith Salva Rweyemamu ang'atuka ikulu
      • Bongo suffers from PPD malady
      • Wapiga kura waliikataa CCM UKAWA wakairejesha
      • If Africa were a one united country!
      • King Kinya got it right here
      • Kama uliserebuka na kitu hii na kuvaa bunga ujue u...
      • Samia Suluhu Hassan ni nani?
      • Hii kitu wakati ikiwika ulikuwa wapi?
      • Kijiwe champongeza Dk Kanywaji kwa urahis
      • Kwa vijana wa zamani tu
      • When Bongo politics became nastily bongo-bongo
      • Magufuli: Kupambana na ufisadi anza na Kikwete
    • ►  October (22)
    • ►  September (34)
    • ►  August (29)
    • ►  July (37)
    • ►  June (22)
    • ►  May (32)
    • ►  April (35)
    • ►  March (46)
    • ►  February (47)
    • ►  January (37)
  • ►  2014 (502)
    • ►  December (47)
    • ►  November (49)
    • ►  October (47)
    • ►  September (37)
    • ►  August (40)
    • ►  July (42)
    • ►  June (30)
    • ►  May (35)
    • ►  April (47)
    • ►  March (44)
    • ►  February (39)
    • ►  January (45)
  • ►  2013 (399)
    • ►  December (37)
    • ►  November (27)
    • ►  October (31)
    • ►  September (26)
    • ►  August (33)
    • ►  July (39)
    • ►  June (28)
    • ►  May (40)
    • ►  April (44)
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (29)
  • ►  2012 (597)
    • ►  December (27)
    • ►  November (26)
    • ►  October (27)
    • ►  September (30)
    • ►  August (47)
    • ►  July (94)
    • ►  June (86)
    • ►  May (119)
    • ►  April (83)
    • ►  March (23)
    • ►  February (17)
    • ►  January (18)
  • ►  2011 (261)
    • ►  December (20)
    • ►  November (19)
    • ►  October (20)
    • ►  September (21)
    • ►  August (27)
    • ►  July (12)
    • ►  June (15)
    • ►  May (20)
    • ►  April (27)
    • ►  March (32)
    • ►  February (24)
    • ►  January (24)
  • ►  2010 (205)
    • ►  December (25)
    • ►  November (23)
    • ►  October (23)
    • ►  September (23)
    • ►  August (17)
    • ►  July (13)
    • ►  June (12)
    • ►  May (10)
    • ►  April (18)
    • ►  March (9)
    • ►  February (16)
    • ►  January (16)
  • ►  2009 (163)
    • ►  December (19)
    • ►  November (14)
    • ►  October (11)
    • ►  September (6)
    • ►  August (12)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (20)
    • ►  April (22)
    • ►  March (14)
    • ►  February (12)
    • ►  January (13)
  • ►  2008 (191)
    • ►  December (12)
    • ►  November (11)
    • ►  October (14)
    • ►  September (15)
    • ►  August (16)
    • ►  July (23)
    • ►  June (10)
    • ►  May (19)
    • ►  April (16)
    • ►  March (19)
    • ►  February (17)
    • ►  January (19)
  • ►  2007 (33)
    • ►  December (13)
    • ►  November (20)

About Me

My photo
View my complete profile

Travel theme. Powered by Blogger.