The Chant of Savant

Sunday 12 December 2010

Nukuu za gwiji je wewe unasemaje?



Gwiji letu leo ni profesa Issa Shivji.

"Tanzania hatuna wanasiasa bali kuna wapenda madaraka kwa kuwa wanapenda madaraka, basi wanakimbilia huko nawashauri wananchi kungalia hilo."



"Siku moja aliulizwa swali moja la nani anafaa kuwa kiongozi bora, Mwalimu Nyerere alijibu kuwa 'kiongozi bora ni yule ambaye hataki kuwa kiongozi, lakini analazimika kuongoza kwa kuwa hataki wapumbavu watawale."

No comments: