The Chant of Savant

Thursday 1 March 2012

Wakati wafadhiliwa wakitanua, wafadhili wanapatilizwa


Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa amekumbwa na kasheshe za kuzomewa na kutupiwa mayai visa hadi kukimbilia kwenye baa alipojificha kujinusuru na hasira za wananchi wanaochukia utawala wake. Inashangaza hasa kwa watawala wetu ambao ni miungu hasa ikizingatiwa kuwa wanaowafadhili na kuwawezesha kubakia madarakani wanatenzwa kama wasio na cheo. Je inakuwaje wafadhili wafadhaishwe na watu wao lakini wafadhili hao hao wawavumilie watawala wanaofadhaisha wananchi wao ukiachia mbali kuwanyonya na kuwadhalilisha. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.

No comments: